Hivi ukipewa mkopo 100% ile Admition Fees unailipa au nayo unalipiwa?

Mkopo 100% means, umelipiwa ada, pesa kwa ajili ya vifaa vya kitaaluma, chakula na malazi ( Tuition fee, books & stationery, meals and accommodation) kwahyo wewe itakacho lipia Chuo ni vitu vingine vidogo vidogo kama gharama za usajili, medical fee etc... Depending na chuo husika.
 
Mkopo 100% means, umelipiwa ada, pesa kwa ajili ya vifaa vya kitaaluma, chakula na malazi ( Tuition fee, books & stationery, meals and accommodation) kwahyo wewe itakacho lipia Chuo ni vitu vingine vidogo vidogo kama gharama za usajili, medical fee etc... Depending na chuo husika.
Mkuu unataka kusemaa umepigaa 100%
 
Unamaanisha registration fee? Kama ni hyo inailipa wewe ipo nje ya mkopo
Kwa baadhi ya vyuo huwa wanaita direct costs.
Ukipewa mkopo 100% unahitajika kulipa ile direct cost ambayo ndani yake Kuna vitu Kama examination fees, identify card cost, students union, as well as bima ya afya ( hivi vyote serikali huwa haigharamikii)
 
MKOPO Asilimia Mia maana yake umelipiwa Ada nzima but kuhusu Admission fees/ direct cost /other charges unalipa wewe mwenyewe vyuo vingi haizidi 200k so unaweza hata ukaipata kupitia Boom utakalopewa la kwanza ili kulipa hizo Mambo Kama ukata ni Mkubwa Sana kwa Familiya yako na wewe mwenyewe , sema Kama umemaliza six jiongeze mtaani ujitaftie riziki yako
 
Back
Top Bottom