UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 8,556
- 7,762
Msiwe mnauliza maswali ya kitoto. Kwani nani asiyejua kuwa Lowassa ni mwizi? We unadhani hayo mapesa ya kununua uchaguzi wa ccm ameyatoa wapi? Ulizeni maswali ya maana.
sio wivu bali chunga sana kuna wanaopenda vya kunyonga humu jf, vya kuchinja hawaviwezi!!!
richmond + dowans + symbion = lowasanaomba kuelimishwa waungwana!
Naomba kuelimishwa waungwana!
Naomba kuelimishwa waungwana!
Kosa la Lowassa ni kuutaka uraisi kwa gharama yoyote ile!
pole , umebwia kwenye dimbwi la kutokufahamu, kosa la lowassa ni kufanya kazi kwa bidii na hivyo kumu outshine boss wake, na kama matokeo ya hilo wapambe wakiongozwa na membe na zoka wakamtaarifu rais kuwa lowassa anajiandaa kugombea 2010 kukuangusha, rais akaogopa akamtengenezea lowassa mtego kwa ahadi kemu kemu na mwisho akamtosa. MEMBE NA ZOKA WABISHE HAPA, AU MMM AMBAYE NI SWAHIBA MKUBWA WA MEMBE ABISHE HAPA, ANAJUA A TO Z NA NDO SABABU ANAMPIGIA MEMBE KAMPENI KUPITIA JF