OMBUDSMAN mtoto
Member
- Sep 28, 2012
- 87
- 32
Tafuta ile riport ya Mwakyembe imo humu ufanye rejea. Usiwe mvivu jishughulishe.
Na hata kama angekuwa hana kosa kama ambavyo unaelekea kujiulizishia kaswali ka kizushi hapa; huwezi kufika level ya kuwa Waziri Mkuu halafu ukajipima wewe mwenyewe bila shuruti ukaamua kustep down kwa tuhuma za kutokuajibika ipaswavyo na sakata la Richmond halafu uje baadaye tukuone msafi kuwa na sifa ya kugombea hata Urais - ni Tanzania tu! Na naweza kukuhakikishia kuwa haitatokea!
Na hata kama angekuwa hana kosa kama ambavyo unaelekea kujiulizishia kaswali ka kizushi hapa; huwezi kufika level ya kuwa Waziri Mkuu halafu ukajipima wewe mwenyewe bila shuruti ukaamua kustep down kwa tuhuma za kutokuajibika ipaswavyo na sakata la Richmond halafu uje baadaye tukuone msafi kuwa na sifa ya kugombea hata Urais - ni Tanzania tu! Na naweza kukuhakikishia kuwa haitatokea!