Hivi ni Kweli Tulihitaji Katiba Mpya au ilikuwa ni katika Njia tu za Kumsumbua Kikwete?

Naweza kuwaita ninyi wapuuzi tena wapuuzi kwelkweli. Mnayoyaongea hayana critics na hata chembe ya hoja kusupport mnachokisema. Na hata hilo mnalotaka kuliibua hamjui madhara yake. Laiti mngelikua meonja sumu ya udini, msingebinua midomo yenu kuongelea suala la dini kwenye public forum kama hii. Jaribuni kufiri namna ya kutatua matatizo yenu kwenye nyanja zote hasa maendeleo na si kuanza kuzusha mijadala yenye impact kubwa na sensitive kama dini. Watanzania tujifunze jaman!
Asante sana. We only need development and not religious activities.
 
wazo lako zur na hilo jambo nmekuwa nkirifikilia pia, ila natofautiana na ww katka hzo sababu
hapa swala cyo JK, wala udini hata kidogo,
tatzo hapa ni sehem ya kusemea
[HASHTAG]#Dodoma[/HASHTAG] kwa wagogo kumebanwa
[HASHTAG]#huku[/HASHTAG] mtaan ukiongea lazma uhesabu maneno yako na ufunge madirisha mana uktereza tu unaeza valshwa sare za S/M segerea
[HASHTAG]#kwenye[/HASHTAG] social media ndo vle tena (..bas bas ncjekutolewa mfano bure..)
Kumbuka pia huko kote mazur na ya kujengwa husemwa ambayo yamkini huambatana na mambo wacyopenda au kuwasilishwa wacvyopenda sasa hapo ndo busara ya kiranja wa zamu inahtajka
wacjewakanikuta
 
Watu wenye fikra zako wanapaswa kufikishwa mbele ya dola mara moja. Huu ndyo uchochez wa kupigwa vita na kila mzalendo
 
Back
Top Bottom