Hivi ni kweli kwamba White people wana akili kuliko Blacks?

Point yako kwamba historia huandikwa na mshindi ina reinforce ukweli kwamba notion hii ya kwamba mweusi ni inferior kwa mweupe si ya kweli, kwa sababu majority ya historia ina m potray mweuis kama inferior.Ni siku za karibuni tu ndipo watu wameanza kuandika historia objective inayoweza kuwa tested na branches nyingine za knowledge kama anthropology na archaeology.

I guess hapo kwa kiasi fulani tuko pamoja, au?

Mazingira ninayozungumzia ni shida.

Kama shida mbona tunazo lukuki tu na wala hazijaanza juzi, jana, wala leo. Zipo siku zote na zitaendelea kuwepo.

Shida inafundisha ubunifu.

Kwa kiasi kikubwa nakubaliana na huu usemi kwani hata mimi ktk maisha yangu mafupi hapa duniani nimewahi kujikuta naibuka na mawazo ambayo yalinishangaza hata mimi mwenyewe pale nilipokumbwa na matatizo.

Afrika hatukuwa na shida sana (baridi, kipindi kifupi cha kulima etc) kwa hiyo hatukuwa na haja ya kwenda mbali kutafuta biashara, chakula na makoloni.

Unasema Afrika hatukuwa na shida kama vile sasa ndiyo tuna shida zaidi kuliko zamani. What the hell? Mbona sasa tunaona haja ya kwenda mbali kutafuta maisha na mengineyo? Watu tunalowea nchi za watu. Wengine wanalowea na kwenda huko kuishi kwa kubahatisha hadi wanashindwa hata kurudi kwao wanapofiwa na wapendwa wao. Sasa ni nini kinachowapeleka huko kama sio shida za huko watokako?

Wazungu walikuwa na shida, wakajua ukatili na uchumi mapema kuliko sisi, wakajua kwenda mbali kutafuta biashara na makoloni kabla yetu. Wakajua ukatili kuliko sisi, sisi tulikuwa good natured na overly trusting.

Unataka kuniambia joto la Afrika sio shida. Hebu nenda huko Bamako ukakung'utwe na jua na joto ndio utatambua kumbe hata joto nalo ni shida inayosababisha discomfort vilevile. Kwa nini Waafrika wa huko hawakuvumbua viyoyozi?

Na kama hayo mazingira ndio yalisababisha maendeleo ya wazungu na kwa vile mazingira yetu sisi (Waafrika) hayakuleta shida sana basi sisi tulie tu kwa sababu sidhani kama mazingira yetu yamebadilika sana na yalivyokuwa enzi hizo. Bado tuna hali nzuri ya hewa na kadhalika. Kwa hiyo hatuna shida za kutosha kuchochea ubunifu wetu. Hii hoja ni kichekesho kweli.

Winston Churchill alivyofika Entebbe Uganda, akaona jinsi nchi ilivyokuwa ya kijani kutokana na uzao uliostawi, nchi ilivyokuwa imeneemeka kwa sababu ya kupata lake effect rains za kutosha throughout the year, in his typical non politically correct maner alisema - paraphrasing- hawa watu bahati yao mbaya pekee ni kwamba wana bahati nzuri sana, kwamba wamebarikiwa mpaka hii baraka inakuwa inawafanya wabweteke sasa.

In other words I think Churchill was saying look at these negroes. They don't know any better coz they don't even realize what they have.

I have to agree.Huu ndio mzizi wa matatizo yetu, hakuna kitu genetic, ni mazingira tu. Kwa nini utake kwenda ku colonize nchi nyingine wakati kila kitu kipo nchini mwako?

Kila kitu kipo lakini hujui hata ukifanyie nini. Tatizo la nani hapo kama sio wewe mwenyewe (not you personally but I'm just speaking in general) na ujinga wako. Yaani mpaka aje mtu wa kutoka mbaaaaali ndo akuambie kuwa una hiki na kile cha thamani. Umeshindwa kutambua mwenyewe kwa akili yako? I'm sorry..something is wrong with that picture.

Huko Egypt wakati huo ndio kwanza watu wa Afrika walikuwa wanaanza kuchanganyika na watu wa the crescent region na southern Europe.Teknolojia ya Egypt ilitoka kusini, hata wa Egypt wenyewe katika ramani zao "kaskazini" yao ni kusini, upper Egypt ni southern Egypt na Sudan, lower Egypt ni northern Egypt, mindset yao ilikuwa oriented kuangalia Africa, si ulaya, kwa sababu walijua civilization yao ndipo ilipotokea.

Ustaarabu wao ulitokea Afrika? Una maana gani? Kwani Egypt sio Afrika?

Wagiriki walikuwa na vyombo vya usafiri, walikuja kwa sababu walitaka elimu na Egypt ndipo palipokuwa na makao makuu ya elimu dunia nzima.

Hivyo vyombo vya usafiri vilidondoshwa kutoka mbinguni au waliviunda wao wenyewe kwa kutumia ubunifu wao? Na unasema walikwenda Egypt kwa sababu walitaka elimu. Unajua inahitaji akili ya kiwango fulani kutambua ubora wa kitu fulani. Kwa hiyo walitambua kuwa ujuzi walio nao wao hautoshi na wakaona ni bora watembee wajionee na wajifunze. Nawaongeza kwa hilo. Kwa nini Wahehe au Waluguru hawakuunda mitumbwi au majahazi ya kwendea huyo Egypt ili na wao wakaelimike zaidi?

By the way wa Egypt nao walikuwa wanatengeneza vyombo vya kusafiri katika mto Nile na bahari ya Sham, waliweza kufanya biashara na nchi zilizokuwa kusini further into Africa kwani waliona huko ulaya ni kwa ma barbarian tu hakuna deal. there was a PBS Nova special on this a few weeks ago on Egyptian shipbuilding, kwa hiyo kama ulitaka ku imply kwamba wao hawakujua kutengeneza vyombo vya kusafiri hii si kweli.

Halafu mbona case in point ni Egypt tu? Hakuna kwingine?
 
Usisahau pia Wazungu pia walitumia nguvu kubwa sana ya Watumwa kwa miaka chungu nzima na kuwatumikisha kuliko hata wanyama tena bila ujira. Watumwa hao walisaidia sana katika kuleta maendeleo ya nchi zilizoshiriki katika biashara ya Utumwa zikiwemo Marekani na Uingereza.


Wajinga walikuwa hao watumwa na watu waliowauza huko utumwani. Si wangekataa tu kutumikishwa na wazungu.

Kuwa nyuma kwa nchi za Kiafrika kunasababishwa sana na kutokuwa na vision na utendaji finyu wa Viongozi wetu ambao mara nyingi maamuzi yao hayaweki mbele maslahi ya nchi.

Vision nzuri zinaanzia vichwani mwa watu. Kwa hiyo kama mtu ana vision mbovu ujue huyo kichwani haziwaki. Na hao viongozi wetu wanatoka kwenye pool ya wananchi wanaowaongoza. Kwa hiyo kama viongozi ni wabovu basi hata wananchi na wenyewe ni wabovu vilevile. Kumbuka: viongozi wetu ni reflection yetu sisi wenyewe.

Kwa mfano unadhani nchi kama za Asia au Ulaya zingekubali kusaini mkataba wa kuchimba madini yao ya dhahabu na kuambulia 3% tu ya mapato? lakini kwa Afrika Viongozi wengi wanaweza kusaini mkataba kama huo na kuutetea kwa nguvu zao zote eti una maslahi kwa nchi zao! Tumepiga kelele tangu 2000 miaka 10 iliyopita kuhusu mkataba na makampuni hayo, hadi hii leo hauna lolote lililofanyika na jamaa wanaendelea kuiba utajiri wetu. Sasa katika hali kama hii maendeleo yatapatikana vipi!?

Ndio ujinga wenyewe ninaouzungumzia huo Bubu maana na sisi bado tunawachagua viongozi hao hao kila kukicha. Wakati mwingine wala hata hatuwachagui bali wanajiweka madarakani na sisi tunwakubali tu hatufanyi lolote. Stupid is as stupid does.
 
....... Does this mean that all white people are more intelligent than all black people? Guys no no no... this can't be true.

Hapana mama tunazungumzia majority.. Vile vile whites tunazungumzia ni wote warusi, british, europeans, asian na n.k

Nakuja na evidence ya kufa mtu kutokana na research ilikuwa conducted na one black guy..

White vibonde wengi tu mbona....

Wanasayansi (Whites)
Isaac newton---white
Galileo----white
Kekule---white
Kalman---White
Michael faraday-- white
Eistern ----White
sijui nani----white

Wazee wa kazi (unaweza kuwa search google)
Mandigo-----Black
wesley pipes---Black
Roxy ronald-----black
Nataka kupata walau wawili watatu weusi.....

Hatuzungumzii hizi akili za darasa za kupata one na kumaliza uni....
extraodinary people..

Namwaga data soon...............
 
Hapana mama tunazungumzia majority.. Vile vile whites tunazungumzia ni wote warusi, british, europeans, asian na n.k

Nakuja na evidence ya kufa mtu kutokana na research ilikuwa conducted na one black guy..

White vibonde wengi tu mbona....

Wanasayansi (Whites)
Isaac newton---white
Galileo----white
Kekule---white
Kalman---White
Michael faraday-- white
Eistern ----White
sijui nani----white

Wazee wa kazi (unaweza kuwa search google)
Mandigo-----Black
wesley pipes---Black
Roxy ronald-----black
Nataka kupata walau wawili watatu weusi.....

Hatuzungumzii hizi akili za darasa za kupata one na kumaliza uni....
extraodinary people..

Namwaga data soon...............

people, get a life and stop these meaningless debates.
 
I guess hapo kwa kiasi fulani tuko pamoja, au?
Word

Kama shida mbona tunazo lukuki tu na wala hazijaanza juzi, jana, wala leo. Zipo siku zote na zitaendelea kuwepo.

Tofautisha shida za kujitakia na shida inescapable. Kuna watu walikuwa na shida hawana land 14th century, wakati hii nchi inayoitwa Tanzania probably ilikuwa hata haina watu milioni 1 Ki-italy tayari kilishakuwa na watu milioni 8, Ufaransa ilikuwa tayari ina watu takriban milioni 12. Watu wakawa washajiingiza katika ma serfdom, ma system ya uchumi, ma classic societies, ma banking system, sie tunaokota maembe tu, hatuna shida ukitoka pori hili unaenda kuwinda pori lile, hamna hata haja ya tile deed. Sasa shida hii ndiyo iliyofanya wazungu kuingia baharini na kutafuta makoloni, sie tutafute makoloni ili iweje? Tuanzishe banking system ili iweje, wakati tuna neema?


Kwa kiasi kikubwa nakubaliana na huu usemi kwani hata mimi ktk maisha yangu mafupi hapa duniani nimewahi kujikuta naibuka na mawazo ambayo yalinishangaza hata mimi mwenyewe pale nilipokumbwa na matatizo.

Killer Cam would say "You already know"


Unasema Afrika hatukuwa na shida kama vile sasa ndiyo tuna shida zaidi kuliko zamani. What the hell? Mbona sasa tunaona haja ya kwenda mbali kutafuta maisha na mengineyo? Watu tunalowea nchi za watu. Wengine wanalowea na kwenda huko kuishi kwa kubahatisha hadi wanashindwa hata kurudi kwao wanapofiwa na wapendwa wao. Sasa ni nini kinachowapeleka huko kama sio shida za huko watokako?

Again kuna shida inescapable na kuna shida za kujitakia. Kila kipindi cha historia inabidi kiangaliwe kwa miwani yake, ama sivyo utakuwa katika hatari ya kuvilinganisha visivyolinganika.

Kusema Afrika hatukuwa na shida si lazima kumaanishe kwamba sasa hivi tuna shida zaidi kuliko zamani - although a case for that particular argument can still be made- kusema hivyo kuna lengo la kuonyesha tu kwamba misingi ya matatizo yetu imejikita katika neema yetu.Tulikuwa tumebarikiwa uoto wa asili mzuri na hali ya hewa nzuri, vitu vilivyotubweteza kiasi hatukuangaika kujishughulisha sana, matokeo yake wenzetu ambao hawakujaliwa sana walivyokuja waka take advantage, by the time tunaanza kushtuka walikuwa tayari wameshatengeneza new world order, washatuwekea na mipaka na kila kitu.

Sasa tunaona haja ya kwenda kwa watu kwa sababu wao ndio rule makers. Wame cointrol world markets kwa miaka kibao, kwa kutumia jasho la african slaves, matokeo yake stock markets zenye nguvu kabisa ziko New York na London, ukichunguza stock market zinazokuja juu Hong Kong, Beijing na Tokyo, wote hawajatawaliwa significantly hawa, wote wako very strong katika kujitambua wao wenyewe kama watu.Sisi tushakuwa brainwashed na hizi notions za kusema kwamba waafrika ni inferior, tena siku hizi mzungu wala hahitaji kusema kwamba waafrika ni inferior.It is actually considered politically incorrect kusema hivyo, mzungu anaonekana backwards. Anakuua kwa reverse psychology tu, tena anakuandikia mpaka vitabu vinavyokuonyesha jinsi gani muafrika alivyo na akili, anajua kashaweka machinery itakayo ku confuse weak mind ufikiri kwamba kwa kuwa aliharibu system ya uongozi na kupandikiza vibaraka wake, walioharibu na wanaoendelea kuharibu, kwa kuwa anacontrol UN, WB, IMF et, ata ku control muafrika kwa remote control,through controlling your misleaders.

Umeuliza kwa nini tunakimbilia viwanja? Uongozi mbovu, uongozi mbovu umevuruga nchi, umefanya watu wakose elimu partly ina consiratorial move to ensure power is not lost.Sasa utategemea mtu anayeona opportunities nchi za watu ataziachia? Not me. Lakini tunarudi pale pale, tatizo letu ni mazingira, nurture, not nature. Ukitaka kujua angalia watoto wetu wanaozaliwa katika nchi hizi zinazoitwa "zilizoendelea", kama mtu una mazingira fresh nyumbani watoto wanafanya vizuri kama wazungu, tenma mara nyingi naona vitoto vya kiafrika vinavyokulia katika mazingira ya Ulaya/ Marekani vinakuwa smarter kuliko wenzao wenyeji.Kama kweli waafrika wangekuwa hawana akili per se (ukiondoa influence za mazingira) basi hawa watoto wasingeweza klufanya vizuri, na hii ingeonyesha kwamba sababu zao kufanya vibaya ni genes zao za uafrika.Lakini hatulioni hili.Tunaona sababu zote za failures za mtu mweusi kuwa ni mostly za kimazingira.

Unataka kuniambia joto la Afrika sio shida. Hebu nenda huko Bamako ukakung'utwe na jua na joto ndio utatambua kumbe hata joto nalo ni shida inayosababisha discomfort vilevile. Kwa nini Waafrika wa huko hawakuvumbua viyoyozi?

Bamako washashi walikuwa (na bado mpaka leo) wakisikia joto wana dip katika mto Niger.Afrika ilivyobarikiwa mpaka kwenye jangwa huko Sahel kuna mito inapita. Nenda Novaya Zemlya kaangalie arctic tundra huko uone kama utakuwa na option nyepesi kama ya kuingia mtoni.

Na kama hayo mazingira ndio yalisababisha maendeleo ya wazungu na kwa vile mazingira yetu sisi (Waafrika) hayakuleta shida sana basi sisi tulie tu kwa sababu sidhani kama mazingira yetu yamebadilika sana na yalivyokuwa enzi hizo. Bado tuna hali nzuri ya hewa na kadhalika. Kwa hiyo hatuna shida za kutosha kuchochea ubunifu wetu. Hii hoja ni kichekesho kweli.

Wewe kwa nini unafikiri tunapiga kele kila siku hapa lakini hakibadiliki kitu?

Kimsingi Tanzania bado hatuna shida.Shida inaleta ubunifu, shida inaleta ukatili, shida inaleta maendeleo. Ukichukulia societies hizi hizi za Afrika hapa, Rwanda wanatuacha hawa.Rwanda ki inchi kidogo sana hiki, wanatuacha sasa hivi.Huyu Kagame mtazameni hivi hivi anaweza kufanya maajabu pale.kwa nini? Wana shida, wana shida ya ardhi, wana shida ya resources, wameshapitia ukatili wa kuuana, sasa inabidi wawe waangalifu sana kila kitu wanachofanya, hapo wataanza uangalifu, ubunifu, wanajua ukikosea watu hawakawii kuchinjana.Hamna kuremba remba kiuongo na kusema "nchi yetu ina amani" wakati watu wanakufa njaa.Hapa hapa Afrika tusipoangalia tutaona nchi zinapiga hatua ya paradigm shift.Tayari Rwanda washakamilisha e-government.Tayari Rwanda washatupita in terms of economic growth percentage wise. Huu ni mfano mdogo tu, hapa hapa Africa, jinsi gani shida inavyoweza kufundisha industriousness.


In other words I think Churchill was saying look at these negroes. They don't know any better coz they don't even realize what they have.

This is precisely our problem. Especially nchini kwangu Tanzania.

Wamachinga wanafikiri wana shida kwa sababu hawana televisheni uswahilini/ kijijini.

Mjapani anawashangaa wameacha acres and acres of land kwao, wakati Tokio hapo watu wana rent vijeneza kabla ya kufa, si kwa ajili ya kuzikwa, wame downgrade from renting a room to renting a jeneza size straight jacket.Si hadithi, mambo yanatokea hivi tunavyosema watu wanarent vijeneza kulala, and these are not homeless/ jobless people.These are office workers!

Then unasema tuna matatizo wakati Mbezi Beach viwanja mpaka leo vipo.Hong Kong wenzetu wanajenga viwanja vya ndege from reclaimed land. Sie mpaka kesho bonde la mto Rufiji tunalikenulia meno, wakati lile bonmde lina potential ya kulisha not only Tanzania, but the entire eastern and central Africa.Sijaingia hata nyanda za juu kusini huko kwenye the big five, sijaongelea hata Malagarasi, hayo maziwa ndiyo usiseme, ukipewa ramani ya dunia (physical features) ukaambiwa chora ramani ya Tanzania wala huna shida, unaangalia usawa wa pemba inapoinshia pale, unapiga mstari straight about 45 degrees mpaka anga za mlima Kilimanjaro, unaweka ki upper bend kidogo kuuzunguka mlima (asset) unaendeleza mstari mwingine straight about 45 degrees mpaka ziwa Victoria (asset, third largest body of inland water in the world) straight line kukata ziwa mpaka Rwanda, unapiga manouvres mbili tatu, unaufuata mto Kagera (asset, Dubai wangetamani hata tuwape kimto kimoja tu mshenzi chetu) unaendelea Kagera ndiyo mpaka na Rwanda, unaenda unakutana na mto Malagarasi (asset) ndiyo mpaka na Burundi unaendelea mpaka Ziwa Tanganyika (second deepest lake in the world, unakata katikati ya ziwa mpaka mitaa ya Mbeya, unafuata vi border vya kati hapo vi mito kibao, mpaka unaingia Lake Nyasa (asset, the lake with the most fish in the world) wamalawi wanasema mpaka uko pwani ya ziwa lakini kata katikati (miramani ya Mjerumani tunayo) tafute usawa wa Mto Ruvuma (asset) chukua usawa wa mto Ruvuma mpaka baharini.

Yaani kuanzia Pemba mpaka Ruvuma unapoingia baharini hamna sehemu isiyo na deal, na humo ni mipakani tu, ukiingia ndani humo ndiyo kabisaaa.Unaambiwa ukiichukua Kenya na Uganda uzichanganye pamoja hata hazifikii 87% ya Tanzania, ardhi kibao



Kila kitu kipo lakini hujui hata ukifanyie nini. Tatizo la nani hapo kama sio wewe mwenyewe (not you personally but I'm just speaking in general) na ujinga wako. Yaani mpaka aje mtu wa kutoka mbaaaaali ndo akuambie kuwa una hiki na kile cha thamani. Umeshindwa kutambua mwenyewe kwa akili yako? I'm sorry..something is wrong with that picture.



Ustaarabu wao ulitokea Afrika? Una maana gani? Kwani Egypt sio Afrika?



Hivyo vyombo vya usafiri vilidondoshwa kutoka mbinguni au waliviunda wao wenyewe kwa kutumia ubunifu wao? Na unasema walikwenda Egypt kwa sababu walitaka elimu. Unajua inahitaji akili ya kiwango fulani kutambua ubora wa kitu fulani. Kwa hiyo walitambua kuwa ujuzi walio nao wao hautoshi na wakaona ni bora watembee wajionee na wajifunze. Nawaongeza kwa hilo. Kwa nini Wahehe au Waluguru hawakuunda mitumbwi au majahazi ya kwendea huyo Egypt ili na wao wakaelimike zaidi?


Halafu mbona case in point ni Egypt tu? Hakuna kwingine?

Egypt ndiyo sehemu iliyokuwa accessed na wazungu zamani sana kwa hiyo pale palikuwa ni meeting point of cultures.Kuna mifano mingi tu huko Carthage, Songhai, Zimbabwe etc etc.Tatizo hatukuwa na maandishi, watu wa Egypt ndio waliokuwa na maandishi kwa sababu wale kidogo walianza kuasi zile kanuni za secret societies za Africa.Africa ilikuwa so secretive hawakutaka hata kuandika vitu.
 
Hapana mama tunazungumzia majority.. Vile vile whites tunazungumzia ni wote warusi, british, europeans, asian na n.k

Nakuja na evidence ya kufa mtu kutokana na research ilikuwa conducted na one black guy..

White vibonde wengi tu mbona....

Wanasayansi (Whites)
Isaac newton---white
Galileo----white
Kekule---white
Kalman---White
Michael faraday-- white
Eistern ----White
sijui nani----white

Wazee wa kazi (unaweza kuwa search google)
Mandigo-----Black
wesley pipes---Black
Roxy ronald-----black
Nataka kupata walau wawili watatu weusi.....

Hatuzungumzii hizi akili za darasa za kupata one na kumaliza uni....
extraodinary people..

Namwaga data soon...............

Mbona ushatajiwa juu, au kusoma issue?
 
Mbona ushatajiwa juu, au kusoma issue?

Kiranga !

Ebwana siku soma ila nitasoma soon ...

nimepata hii clip hapa ya huyu jamaa ebu cheki kidogo..

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=lxkdwz9CIBA[/ame]
 
people, get a life and stop these meaningless debates.

It can be meaningless to you lakini ikawa meaningfully to us, tunataka kujua na kufahamu ukweli wa suala hili. Ndio maana watu wana conduct research based on IQ and Race.

Na hawa jamaa wangekuwa na fikra kama zako nadhani tusingeweza kupata faida ya mambo mengi. Its good to knw our position and human nature in general.

If u think is meaningless to you move on tafuta topic ambayo unadhani ni meaningfully to u.


Michael faraday kutoka na research zake....tunafaidika na umeme leo hii... yani anamchango mkubwa ktk umeme..

Kwanini tusitake kujua kwanini watu weusi hatupo ktk uvumbuzi mkubwa? Nimesoma o level, high school, undergraduate, masters, phd now lkn hakuna hata sehemu moja kaonekana HARUNA MBUKUZI, MASANGULA, MASALU au MAGANGA aliyevumbua kitu so lazima tujiulize... It make sense to me to discuss issue hii na nimepata faida kubwa kutoka na baadhi ya majibu ya wadau.
STEP OUT KAMA UNAFIKIRI HAIKUHUSU.....
NB: Angalia ma professor wa nguvu wanadiscuss issue hii ambayo wewe kitima sijui katoma unaita meaningless discussion
[ame]http://www.youtube.com/watch?v=ufzI1dnd0Uw&feature=related[/ame]

ziko nyingi youtube unaweza kutafuta..

Regards
 
It can be meaningless to you lakini ikawa meaningfully to us, tunataka kujua na kufahamu ukweli wa suala hili. Ndio maana watu wana conduct research based on IQ and Race.

Na hawa jamaa wangekuwa na fikra kama zako nadhani tusingeweza kupata faida ya mambo mengi. Its good to knw our position and human nature in general.

If u think is meaningless to you move on tafuta topic ambayo unadhani ni meaningfully to u.


Michael faraday kutoka na research zake....tunafaidika na umeme leo hii... yani anamchango mkubwa ktk umeme..

Kwanini tusitake kujua kwanini watu weusi hatupo ktk uvumbuzi mkubwa? Nimesoma o level, high school, undergraduate, masters, phd now lkn hakuna hata sehemu moja kaonekana HARUNA MBUKUZI, MASANGULA, MASALU au MAGANGA aliyevumbua kitu so lazima tujiulize... It make sense to me to discuss issue hii na nimepata faida kubwa kutoka na baadhi ya majibu ya wadau.
STEP OUT KAMA UNAFIKIRI HAIKUHUSU.....
NB: Angalia ma professor wa nguvu wanadiscuss issue hii ambayo wewe kitima sijui katoma unaita meaningless discussion
http://www.youtube.com/watch?v=ufzI1dnd0Uw&feature=related

ziko nyingi youtube unaweza kutafuta..

Regards

Nimesema hayo kwani chimbuko la swali lako is offensive. Apart from that most research done in that (IQ and Race) field is by some dimwits who try to expose their own superiority agenda. I will be happy to hear you, HARUNA MBUKUZI MASANGULA MASALU MAGANGA doing research to link the connection between race and IQ, labda nitapata faraja kusikiliza matokeo yako. But don't come up with ideas and information passed on by those "professors wa nguvu" who do believe you HARUNA MBUKUZI MASANGULA MASALU MAGANGA is a contamination on this earth, by this I mean these racist academicians.

Unavyouliza kwanini wazungu wana akili kuliko watu weusi, unanikumbusha nilivyokua Dar watu walikuwa wakisema wahaya na wachagga wana akili kuliko the average Tanzanian. You don't need research by "professor wa nguvu" kukupatia jibu. Kwahiyo mimi naona ni sawa na mada hii.

Kwahiyo based on the western criteria of high IQ, hauhitaji maprofessa wa nguvu kukupa jibu kuwa mazingira yana'affect IQ.

Unasema umesoma mpaka PhD na muda wote huu haujasikia uvumbuzi wa mtu mweusi!! Je, ukipata hiyo PhD yako utakuwa haujavumbua kitu?

anyway, a goodnight clip for you, and HARUNA MBUKUZI MASANGULA MASALU MAGANGA.

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=gPU5h679pSw&feature=fvsr[/ame]
 
Katika "Guns, Gems and Steel" Professor Jared Diamond ali pose swali.

Kati ya M Aborigine wa Papua New Guinea ambaye akienda kufanya IQ test ya western atapata low score, na mtu wa west ambaye akienda kwenye misitu ya Papua New Guinea atashindwa kuwinda, kujua kufuata nyayo, kunusa etc kama hao natives wa Papua, nani ni intelligent zaidi?

The moral of the question is, IQ tests are subjective and depend very much on the environments.
 
Nimesema hayo kwani chimbuko la swali lako is offensive. Apart from that most research done in that (IQ and Race) field is by some dimwits who try to expose their own superiority agenda. I will be happy to hear you, HARUNA MBUKUZI MASANGULA MASALU MAGANGA doing research to link the connection between race and IQ, labda nitapata faraja kusikiliza matokeo yako. But don't come up with ideas and information passed on by those "professors wa nguvu" who do believe you HARUNA MBUKUZI MASANGULA MASALU MAGANGA is a contamination on this earth, by this I mean these racist academicians.

Unavyouliza kwanini wazungu wana akili kuliko watu weusi, unanikumbusha nilivyokua Dar watu walikuwa wakisema wahaya na wachagga wana akili kuliko the average Tanzanian. You don't need research by "professor wa nguvu" kukupatia jibu. Kwahiyo mimi naona ni sawa na mada hii.

Kwahiyo based on the western criteria of high IQ, hauhitaji maprofessa wa nguvu kukupa jibu kuwa mazingira yana'affect IQ.

Unasema umesoma mpaka PhD na muda wote huu haujasikia uvumbuzi wa mtu mweusi!! Je, ukipata hiyo PhD yako utakuwa haujavumbua kitu?

anyway, a goodnight clip for you, and HARUNA MBUKUZI MASANGULA MASALU MAGANGA.

http://www.youtube.com/watch?v=gPU5h679pSw&feature=fvsr

Sasa bwana kitimi sijui kitinyembe wewe ndio bogus kabisa! Wewe umeona title imesema "hivi ni kweli kwamba......."? Sijasema haya ni mawazo yangu.. Nimeweka na NB pale kusisitiza kwamba ni baadhi ya maprof wa kizungu.. Sasa wewe katoma sijui katumwa unakuja oh nimeona title yako iko offensive. Kwanini usingesema title ibadilishwe? Nyinyi ndio mliosoma lkn bado rubish tupu.
Kumbuka si kila ninacho uliza sina jibu lake, Sometimes nauliza ilikupata faida zaidi na kuwanufaisha wengine. Ninaweza kuwa nawafahamu wavumbuzi watano ambao ni blacks then nikaadd more kupitia hapa na asiye fahamu akapata kuwajua wawili watatu! Kipi cha ajabu au ndio stress za box kaka?

Umeona ktk kuchangia watu wametoa mawazo tofauti which implies kwamba hii maada haiko clear kwa watu wengi. Usijefanye much knw kwa kufikiri uko sahihi kwa kila jambo. Jua kuna wanaume tulio better than u in everything.
Sometimes tunauliza ili kupata mtazamo wa watu na kwa ajili ya kunifaisha wengine, nadhani umenielewa mr kitimi who try to be like katoma...Katoma alikuwa prof at the ago of 40 sasa wewe still rubish tupu na miaka kibao uliyonayo.
 
Nimesema hayo kwani chimbuko la swali lako is offensive. Apart from that most research done in that (IQ and Race) field is by some dimwits who try to expose their own superiority agenda. I will be happy to hear you, HARUNA MBUKUZI MASANGULA MASALU MAGANGA doing research to link the connection between race and IQ, labda nitapata faraja kusikiliza matokeo yako. But don't come up with ideas and information passed on by those "professors wa nguvu" who do believe you HARUNA MBUKUZI MASANGULA MASALU MAGANGA is a contamination on this earth, by this I mean these racist academicians.

Unavyouliza kwanini wazungu wana akili kuliko watu weusi, unanikumbusha nilivyokua Dar watu walikuwa wakisema wahaya na wachagga wana akili kuliko the average Tanzanian. You don't need research by "professor wa nguvu" kukupatia jibu. Kwahiyo mimi naona ni sawa na mada hii.

Kwahiyo based on the western criteria of high IQ, hauhitaji maprofessa wa nguvu kukupa jibu kuwa mazingira yana'affect IQ.

Unasema umesoma mpaka PhD na muda wote huu haujasikia uvumbuzi wa mtu mweusi!! Je, ukipata hiyo PhD yako utakuwa haujavumbua kitu?

anyway, a goodnight clip for you, and HARUNA MBUKUZI MASANGULA MASALU MAGANGA.

http://www.youtube.com/watch?v=gPU5h679pSw&feature=fvsr

Research hizo labda ufanye wewe mwanasiasa ulishindwa kulinufaisha taifa lako mr kitimbi. Research zangu uwezi kuzielewa ata ukipata ufunuo.
 
The moral of the question is, IQ tests are subjective and depend very much on the environments.

Mimi huko kwenye IQ nilishagaondoka zamani. Nimeshagahamia kwenye ingenuity. Sidhani kama maendeleo ya watu yanatokana na IQ tu peke yake. Sisemi kwamba IQ haina mchango ktk ingenuity lakini ninachosema ni kwamba ingenuity ina mchango mkubwa sana ktk maendeleo ya aina yoyote ile.

Ni wangapi wame score alama za juu kwenye IQ tests lakini hawajavumbua chochote? Mimi "ugomvi" wangu uko zaidi ktk kutumia ustadi, ubunifu, uvumbuzi, maarifa, na werevu ktk kuyamudu na kuyabadilisha mazingira yetu. Nina uhakika kabisa ukichukua baadhi ya madaktari pale Muhimbili na baadhi ya walimu pale chuo kikuuuwape IQ test watafaulu vizuri tu tena na flying colors. Lakini uliza kama wamewahi hata kubuni au kuvumbua kitu chochote kile ktk fani zao au hata fani zingine, nina uhakika jibu litakuwa hapana.

Sisi kama Waafrika hatujulikani kama ni watu wabunifu. Tunashindwa hata kubuni sera nzuri za maendeleo yetu wenyewe. WTF?
 
wazungu kwa mtazamo wangu na ninayoyaona hadi sasa, wana akili kushinda sisi weusi. akili ya darasani haitoshi so sio hoja kusema eti mkiwa darasani unampita mzungu. for more information consult my signature down here
 
Sasa bwana kitimi sijui kitinyembe wewe ndio bogus kabisa! Wewe umeona title imesema "hivi ni kweli kwamba......."? Sijasema haya ni mawazo yangu.. Nimeweka na NB pale kusisitiza kwamba ni baadhi ya maprof wa kizungu.. Sasa wewe katoma sijui katumwa unakuja oh nimeona title yako iko offensive. Kwanini usingesema title ibadilishwe? Nyinyi ndio mliosoma lkn bado rubish tupu.
Kumbuka si kila ninacho uliza sina jibu lake, Sometimes nauliza ilikupata faida zaidi na kuwanufaisha wengine. Ninaweza kuwa nawafahamu wavumbuzi watano ambao ni blacks then nikaadd more kupitia hapa na asiye fahamu akapata kuwajua wawili watatu! Kipi cha ajabu au ndio stress za box kaka?

Umeona ktk kuchangia watu wametoa mawazo tofauti which implies kwamba hii maada haiko clear kwa watu wengi. Usijefanye much knw kwa kufikiri uko sahihi kwa kila jambo. Jua kuna wanaume tulio better than u in everything.
Sometimes tunauliza ili kupata mtazamo wa watu na kwa ajili ya kunifaisha wengine, nadhani umenielewa mr kitimi who try to be like katoma...Katoma alikuwa prof at the ago of 40 sasa wewe still rubish tupu na miaka kibao uliyonayo.

mkuu pole kama nimekugusa mahala sensitive kwako. I like JF kwani unaweza kujibizana na watu lakini hufahamu walipo, umri, kazi wafanyazo etc Hata kama wakikuita majina ya ajabu mtu unabaki kucheka tu. Ungejua nilipo, umri, nifanyalo for the daily bread, zingekupa nguvu zaidi kwenda kuitafuta hiyo PhD ya Washington International Univ. I wish you all the best in the PhD, do it well and I hope you don't make them wazungu confirm why they are more intelligent than mtu mweusi.
regards
 
mkuu pole kama nimekugusa mahala sensitive kwako. I like JF kwani unaweza kujibizana na watu lakini hufahamu walipo, umri, kazi wafanyazo etc Hata kama wakikuita majina ya ajabu mtu unabaki kucheka tu. Ungejua nilipo, umri, nifanyalo for the daily bread, zingekupa nguvu zaidi kwenda kuitafuta hiyo PhD ya Washington International Univ. I wish you all the best in the PhD, do it well and I hope you don't make them wazungu confirm why they are more intelligent than mtu mweusi.
regards

Uzuri na kufahamu ndio maana nimekupa live...Nimekufahamu vipi usitake kufahamu. Point yangu iko pale pale usiite meaningless discussion kwa kuwa tu title imekuwa offensive kwako. Watu zaidi ya 50 walichangia hawakuliona hilo isipokuwa wewe?.Anyway issue hapa sio mimi na wewe ni kama title inavyojieleza. Ukisoma comments za watu utaona watu wanamtizamo tofauti ktk suala hili.

Regards.
 
Mkuu Bubu..
Hili la watumwa ... sijui kuporwa raslimali zetu mimi huwa nalipinga.... Nadhani halina effect kubwa kwenye maendeleo yetu au yao. By the way hata mtu utajiulize kwa nini sisi ndio tuchikuliwe watumwa au tuporwe na sio wao?

Please don't play down the negative effect of stealing our natural resources (Gold, Diamond etc) as well as slave trade for more than 400 years. Jibu la swali lako ni kwamba tuna viongozi ambao hawakuweka maslahi ya nchi zao mbele kama akina Mobutu, Mkapa na wengi wengineo.

~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*

The Trans-Atlantic Slave Trade

A brief review of the triangular trade with particular reference to recent statistics.



for two hundred years, 1440-1640, Portugal had a monopoly on the export of slaves from Africa. It is notable that they were also the last European country to abolish the institution - although, like France, it still continued to work former slaves as contract labourers, which they called libertos or engagés à temps. It is estimated that during the 4 1/2 centuries of the trans-Atlantic slave trade, Portugal was responsible for transporting over 4.5 million Africans (roughly 40% of the total). During the eighteenth century however, when the slave trade accounted for the transport of a staggering 6 million Africans, Britain was the worst transgressor - responsible for almost 2.5 million. (A fact often forgotten by those who regularly cite Britain's prime role in the abolition of the slave trade.)

The triangular trade

Expanding European empires in the New World lacked one major resource -- a work force. In most cases the indigenous peoples had proved unreliable (most of them were dying from diseases brought over from Europe), and Europeans were unsuited to the climate and suffered under tropical diseases. Africans, on the other hand, were excellent workers: they often had experience of agriculture and keeping cattle, they were used to a tropical climate, resistant to tropical diseases, and they could be "worked very hard" on plantations or in mines.

Africans had been traded as slaves for centuries -- reaching Europe via the Islamic-run, trans-Saharan, trade routes. Slaves obtained from the Muslim dominated North African coast however proved to be too well educated to be trusted and had a tendency to rebellion.

Between 1450 and the end of the nineteenth century, slaves were obtained from along the west coast of Africa with the full and active co-operation of African kings and merchants.


 
Back
Top Bottom