Hivi ni kweli kwamba White people wana akili kuliko Blacks?

what I know Blacks were created to be dominant from gene to everything. Whites have just managed to treacherously degrade black people and most blacks has accepted it!
Ukweli ni kwamba if you are smart and you work with them, they are happy when you make mistakes because they are jealous of your smartness!
niambie kama kuna mchezo wowote ambao blacks they don't dominate
niambie which science blacks people haven't put any handful contribution in it despite marginalization
tell me which music and movies dont have blacks dominance
tell me the dominance of blacks in politics despite being marginalized
etc.
Blacks have extra ordinary gift from God, the only biggest problem now is the way we are smart in a positive side, we can also be very smarts on the negative side and the white people has capitalized on this.

Watu kama nyie ndio mnaprove mzungu anaakili kuliko mtu mweusi. Hapa anaaongelewa mtu mweusi na mzungu as a whole sio mmoja mmoja, kama wewe ukikosea kazini kwako wazungu wanafurahi that doesn't prove anything, haimaanishi wazungu wote wanakosea na waafrika wote wanapatia, kwa huo mfano wako is like a drop in the ocean yaani irrelevant.

Pili, umeongelea mambo yasiyo na msingi hata Kidogo na kuwapa wazungu credits zaidi bila kujijua ukidhani ndio kipimo cha akili. Akili Ni uwezo wa kutatua matatizo kwenye mazingira husika, weredi, maarifa, uvumbuzi, utatuzi wa kero/majanga asilia au "natural catastrophes" if you will.

Mifano yako ya eti blacks wanatawala movies, music, politics, sports ni nonsense. Maisha yapo, yalikuwepo na yataendelea kuwepo bila uwepo wa chochote kile kati ya hivyo ulivyovitaja ambavyo weusi wanatawala. Hivyo vyote ni more of luxury na si vitu vya msingi kwa maisha ya mwanadamu, zaidi havitatui matatizo yeyote ya kila siku yamkumbayo mwanadamu so sio kipimo cha akili kwa namna iwayo yeyote ile.

You talked about whites marginalizing blacks that is yet another point in favor of white people. Siku zote mnyonge ndio anakandamizwa either mnyonge wa akili au wa nguvu hivyo kama weusi wanaminywa basi wamezidiwa na wazungu.

Hii mada ni way hard for you to comprehend bora uiache kuliko kuleta vitu irrelevant na wenzio wanakusapoti
 
jiulize kwanza akili ni kitu gani na utapata jibu.

kimsingi mwanadamu anapozaliwa huwa kichwa chake kitupu hakuna kitu chochote.

lakini kadiri anavyokua anaanza kuingiza taarifa kutoka mazingira yaliyomzunguka na taarifa hizi anazozitunza mwanadamu ndio huwa "reference" yake katika kufanya maamuzi mbalimbali ya kimaisha katika maisha yake.

hivyo mwanadamu anayezungukwa na mazingira ambayo hayamjengi katika kupata majibu sahihi ya changamoto zinazomkabili matokeo yake hutafsiriwa kuwa na akili ndogo na yule anayejengwa katika kupata majibu sahihi huyo hutafsiriwa kuwa na akili zaidi.

yawezekana wanadamu wote wakawa na uwezo sawa wa kutunza kumbukumbu ana kuzifanyaia kazi ila uzoefu wa maisha ndio huwatofautisha kutokana na kumbukumbu walizoziweka kichwani na wanaweza vipi kuzitumia kutatua changamoto za maisha.

ni wazi kuwa ukiwauliza watu wawili maswali yule atakayekupa jibu sahihi la swali lako ndiye utaona ana akili na yule aliyekosa utaona hana akili.

maisha yetu ndiyo swali letu la kimaisha.

jiulize ni jamii gani kati yetu sisi waafrika na wazungu wanapata majibu sahihi kwa changamoto zao? pengine hilo linaweza kukuonyesha njia ya kutafuta jibu la swali lako.

lakini cha kujua ni kuwa ukweli huu hauwezi kubadilishwa na propaganda kwa sisi kuanza kuenezeana propaganda kuwa tuko sawa au tunawazidi bali kwetu sisi kubadilisha mazingira yetu kwa kuweka taratibu na kanuni na kuzisimamia na hivyo jamii yetu ikajengwa katika kupata majibu sahihi ya changamoto zinazotukabili ndio tunaweza kubadili mzani wa kipimo cha akili.

Je ni kweli kwamba whites wanaakili kuliko sisi (blacks).

Kama si kweli kwanini wenyewe ndio wame influence maendeleo ktk kila sector?

WAO

1.Walitutawala.

2. Wako juu kimaendeleo.

3. Ndio wavumbuzi wa kila kitu.

SISI

1. Tuko juu ktk mambo yasiyo hitaji sana matumizi ya akili kama vile riadha, kuruka, bondia, n.k yani physically tupo fit kuwazidi.
2. Ngono.
3. Uvuvi
4.Sisi tulichezea Diamond kwa kudhani haina maana.

Siwezi kuyakumbuka yote. Wao wanadai wametuzidi akili? Je wewe unadhani ni kweli au la?

NB: si mawazo yangu ni baadhi ya mawazo ya maprofessor wa kizungu. unaweza kupata video youtube kwa kuandika heading above kwa kiingereza.

Inauma kweli...Lkn sometimes personally speaking nafikiri kuna kaukweli fulani kutokana na mambo waliyoyafanya na wanayoyafanya..

nitatoa evidence nitakaporudi for the second time...lets discuss
======================================
======================================
 
je kwa kigezo chako cha uwezo wa kutatua matatizo kwenye mazingira ambacho ninaweza kusema ni uwezo wa kukabiliana na changamoto za maisha unadhani ukitupima sisi na wao kwa mizani yaleo unadhani ni jamii ipi itapata maksi zaidi baina yetu sisi na wao?


usifikirie hili kama tusi bali uliwaze kama changamoto ambayo sisi tunaouwezo wa kubadilisha hali hii na tukijua wapi tunakosea.

Watu kama nyie ndio mnaprove mzungu anaakili kuliko mtu mweusi. Hapa anaaongelewa mtu mweusi na mzungu as a whole sio mmoja mmoja, kama wewe ukikosea kazini kwako wazungu wanafurahi that doesn't prove anything, haimaanishi wazungu wote wanakosea na waafrika wote wanapatia, kwa huo mfano wako is like a drop in the ocean yaani irrelevant.

Pili, umeongelea mambo yasiyo na msingi hata Kidogo na kuwapa wazungu credits zaidi bila kujijua ukidhani ndio kipimo cha akili. Akili Ni uwezo wa kutatua matatizo kwenye mazingira husika, weredi, maarifa, uvumbuzi, utatuzi wa kero/majanga asilia au "natural catastrophes" if you will.

Mifano yako ya eti blacks wanatawala movies, music, politics, sports ni nonsense. Maisha yapo, yalikuwepo na yataendelea kuwepo bila uwepo wa chochote kile kati ya hivyo ulivyovitaja ambavyo weusi wanatawala. Hivyo vyote ni more of luxury na si vitu vya msingi kwa maisha ya mwanadamu, zaidi havitatui matatizo yeyote ya kila siku yamkumbayo mwanadamu so sio kipimo cha akili kwa namna iwayo yeyote ile.

You talked about whites marginalizing blacks that is yet another point in favor of white people. Siku zote mnyonge ndio anakandamizwa either mnyonge wa akili au wa nguvu hivyo kama weusi wanaminywa basi wamezidiwa na wazungu.

Hii mada ni way hard for you to comprehend bora uiache kuliko kuleta vitu irrelevant na wenzio wanakusapoti
 
je kwa kigezo chako cha uwezo wa kutatua matatizo kwenye mazingira ambacho ninaweza kusema ni uwezo wa kukabiliana na changamoto za maisha unadhani ukitupima sisi na wao kwa mizani yaleo unadhani ni jamii ipi itapata maksi zaidi baina yetu sisi na wao?


usifikirie hili kama tusi bali uliwaze kama changamoto ambayo sisi tunaouwezo wa kubadilisha hali hii na tukijua wapi tunakosea.

Kwa mizani ya leo ni wazi weupe wametuzidi tena mbali sana, kila nikijaribu kutetea usawa wa uwezo wa akili naona kama gape ni kubwa kiasi cha kutopingika tena.

Kiranga
kaongea jambo la msingi kwamba sisi waafrica hatujawahi kumbwa na janga asilia kweli kweli kiasi cha kuwa pushed to the limit. Na nchi chache Africa ambazo wamekumbwa na majanga tumeshaanza kuona wakitoka outta their comfort zone na kuanza kuendelea taratibu kiasi cha kuanza kutuacha Tanzania mf. Rwanda, Kenya n.k.

Kila nikijaribu kuchakachua naona bado kuna sehemu tunapelea maana hata changamoto za kila siku tunasubiri hadi mtu aje kututatulia, tulishindwa then tunashindwa now inawezekana hawa jamaa wametuzidi akili kweli.
 
Watu weupe hawana akili kuliko weusi. Ukiangalia historia, watu weusi walistaarabika kwanza kabla ya weupe (westerners / Caucasians). Ustaarabu na dominance ya westerners umetokea kwa wagiriki --> Warumi --> Renaissance --> British Empire --> U.S.A/ E.U

Ukiangalia Wagiriki walipata mengi sana kutoka Egypt na the crescent region.

Ukiangalia Egypt yenyewe ilipata ujstaarabu wake kutoka kusini zaidi.

Majibu ya maswali yako yote yapo katika mazingira zaidi kuliko akili. Ukitaka maelezo zaidi nitakufafanulia.

Wakati Wagiriki walipokuwa wanachochea open discussion na innovation, wa Egypt walikuwa wanachochea elitism na secret societies.

Kuna watu kama kina Imhotep, Hesy-Ra na Merit-Ptah wa Egypt ya kale waliogundua mengi wakati weupe wanaishi kwenye mapango. Kina Pythagoras na Erasthothenes walikuja kujifunza Egypt. Eratosthenes aliweza kuupima mzingo wa dunia katika kisima kilicho Syene katika Tropic of Cancer, tatizo la vumbuzi nyingi zinazosemwa kuwa ni za Wagiriki leo, originally zilikuwa za wa Egyptians ila system yao ya secret societies haikuruhusu publishing so to speak, kwa hiyo Wagiriki wakawa wanakuja kuchukua ujiko kirahisi tu.

Huu ndio ulikuwa mwanzo wa decline ya Africa na rise of the west.

Habari za kuchezea diamond ni upuuzi, kwa sababu, diamond imepewa chati kwa sababu za kibiashara tu, practical uses zake, apart from its industrial use as the hardest material, ni ndogo.

Nitakupa mfano, mkifungiwa kwenye chumba, hamna contact na outside world. Ukiambiwa uchague gunia la diamond au gunia la chakula utachagua nini? Ukichunguza utaona hizi values nyingine ni apparent/ assigned na si real.Na wazungu walitushinda kwa ku dominate trade na ku define what is valuable and what is not.Ndiyo maana nikasema hili ni suala la mazingbira zaidi kuliko intelligence.Wazungu kwao hakuna vito kama Africa, kwa hiyo naturally walivishangaa.Sisi kwetu vito ni kama mawe tu, ukienda mtoni ulikuwa unakuta almasi ziko pembeni mwa mto (kuna sehemu Angola na Sierra Leone haya mambo yapo mpaka leo). Kwa hiyo naturally laws za demand and supply zina apply.

Ukisema wazungu wana akili zaidi basically unaongea genetics, na katika genetics hakuna evidence ya hili. Nakushauri usome "Human Natures: Genes, Cultures and the Human Prospect" cha Paul R. Ehrlich.

510WYQS05ZL._BO2,204,203,200_PIsitb-sticker-arrow-click,TopRight,35,-76_AA240_SH20_OU01_.jpg


Halafu "The History of The Ancient World : From The Earliest Accounts To the Fall of Rome" cha Susan Wise Bauer

51YP3kKkOnL._BO2,204,203,200_PIsitb-sticker-arrow-click,TopRight,35,-76_AA240_SH20_OU01_.jpg


Na "The Human Story: Our History, From the Stone Age to Today" cha James C Davis.

413PEH22VVL._BO2,204,203,200_PIsitb-sticker-arrow-click,TopRight,35,-76_AA240_SH20_OU01_.jpg


Tena "The African Origin of Greek Philosophy: An Exercise in Afrocentrism"

41S5wReuwIL._BO2,204,203,200_PIsitb-sticker-arrow-click,TopRight,35,-76_AA240_SH20_OU01_.jpg

Mkuu Kiranga naomba kama una soft copy ya vitabu hivyo uweke hapa tupate elimu.
 
Last edited by a moderator:
Watu weupe hawana akili kuliko weusi. Ukiangalia historia, watu weusi walistaarabika kwanza kabla ya weupe (westerners / Caucasians). Ustaarabu na dominance ya westerners umetokea kwa wagiriki --> Warumi --> Renaissance --> British Empire --> U.S.A/ E.U

Ukiangalia Wagiriki walipata mengi sana kutoka Egypt na the crescent region.

Ukiangalia Egypt yenyewe ilipata ujstaarabu wake kutoka kusini zaidi.

Majibu ya maswali yako yote yapo katika mazingira zaidi kuliko akili. Ukitaka maelezo zaidi nitakufafanulia.

Wakati Wagiriki walipokuwa wanachochea open discussion na innovation, wa Egypt walikuwa wanachochea elitism na secret societies.

Kuna watu kama kina Imhotep, Hesy-Ra na Merit-Ptah wa Egypt ya kale waliogundua mengi wakati weupe wanaishi kwenye mapango. Kina Pythagoras na Erasthothenes walikuja kujifunza Egypt. Eratosthenes aliweza kuupima mzingo wa dunia katika kisima kilicho Syene katika Tropic of Cancer, tatizo la vumbuzi nyingi zinazosemwa kuwa ni za Wagiriki leo, originally zilikuwa za wa Egyptians ila system yao ya secret societies haikuruhusu publishing so to speak, kwa hiyo Wagiriki wakawa wanakuja kuchukua ujiko kirahisi tu.

Huu ndio ulikuwa mwanzo wa decline ya Africa na rise of the west.

Habari za kuchezea diamond ni upuuzi, kwa sababu, diamond imepewa chati kwa sababu za kibiashara tu, practical uses zake, apart from its industrial use as the hardest material, ni ndogo.

Nitakupa mfano, mkifungiwa kwenye chumba, hamna contact na outside world. Ukiambiwa uchague gunia la diamond au gunia la chakula utachagua nini? Ukichunguza utaona hizi values nyingine ni apparent/ assigned na si real.Na wazungu walitushinda kwa ku dominate trade na ku define what is valuable and what is not.Ndiyo maana nikasema hili ni suala la mazingbira zaidi kuliko intelligence.Wazungu kwao hakuna vito kama Africa, kwa hiyo naturally walivishangaa.Sisi kwetu vito ni kama mawe tu, ukienda mtoni ulikuwa unakuta almasi ziko pembeni mwa mto (kuna sehemu Angola na Sierra Leone haya mambo yapo mpaka leo). Kwa hiyo naturally laws za demand and supply zina apply.

Ukisema wazungu wana akili zaidi basically unaongea genetics, na katika genetics hakuna evidence ya hili. Nakushauri usome "Human Natures: Genes, Cultures and the Human Prospect" cha Paul R. Ehrlich.

510WYQS05ZL._BO2,204,203,200_PIsitb-sticker-arrow-click,TopRight,35,-76_AA240_SH20_OU01_.jpg


Halafu "The History of The Ancient World : From The Earliest Accounts To the Fall of Rome" cha Susan Wise Bauer

51YP3kKkOnL._BO2,204,203,200_PIsitb-sticker-arrow-click,TopRight,35,-76_AA240_SH20_OU01_.jpg


Na "The Human Story: Our History, From the Stone Age to Today" cha James C Davis.

413PEH22VVL._BO2,204,203,200_PIsitb-sticker-arrow-click,TopRight,35,-76_AA240_SH20_OU01_.jpg


Tena "The African Origin of Greek Philosophy: An Exercise in Afrocentrism"

41S5wReuwIL._BO2,204,203,200_PIsitb-sticker-arrow-click,TopRight,35,-76_AA240_SH20_OU01_.jpg

Umemaliza mkuu,tatizo hapa ni la kimazingira zaidi kiasi hata ukiingia katika familia za wasomi hata vitoto ambavyo havijaanza shule za awali vinauwezo wa kimtazamo ilhali havijaanza shule,ndivyo ilivyo kwa ulimwengu ambapo tumekuwa wahanga wa kisaikolojia kuwa hatuna uwezo wa kiakili kuliko weupe.
 
Opportunity upewe na nani?
Lugha yako ina umuhimu gani kwao? Wewe unajifunza lugha yao kwa vile unaihitaji,wao hawaihitaji. Wachache wanaoihitaji wanakuja kuisoma na wanaweza tu. Mfano,China sasa hivi wazungu wanaelekeza nguvu ktk kujifunza lugha yao, sababu unajua ni nini? wanawahitaji ndio maana wanajifunza kwa kasi ya ajabu mpaka kwenye vyuo vikuu ktk foreign languages kichina wanakipromote kwa nguvu. wanataka wafanye nao business. Likewise China huko nyuma hawakuweka mkazo ktk lugha ya wazungu(kizungu/kiinglish/kiingereza sijui hivyo hivyo) lakini sasa hivi wamegundua kumbe wanahitaji,nenda kaone huko wanavyojifunza kwa kasi ya ajabu.

Ni kweli kwamba hawawezi kuihitaji lugha yetu kama sisi tunavyoipaparikia yao kwasababu mipango ya kuifanya lugha na tamaduni zao zipendwe na Weusi ilifanyika na sasa wanakula matunda tu,na moja ya matunda ni kumfanya mtu mweusi akae ajadili "kwa nini weupe wana akili"?
 
Kuna ukweli ndani yake ila kama kawaida wanadamu walio wengi wanaona ugumu kukiri udhaifu. Leo hii tukibadilishana mazingira waafrika tukaenda kuishi Ulaya na wao wakaja huku baada ya miezi sita huko tutaharibu na huku patageuka na kuwa paradise, liko tatizo la kiakili tukubali.
 
akili za mwafrika ni ndogo sana kuliko za mzungu, labda ni kwa sababu tumeathiliwa na mapokeo ya kila kitu kutoka kwa wazungu. Tulikuwa na imani zetu tumeziacha na kupokea za wazungu, ilifika mahali ili uwe mkristo au mwislam ni lazima uachane na jina lako la asili.. sasa hizo ndiyo akili?
 
Watu kama nyie ndio mnaprove mzungu anaakili kuliko mtu mweusi. Hapa anaaongelewa mtu mweusi na mzungu as a whole sio mmoja mmoja, kama wewe ukikosea kazini kwako wazungu wanafurahi that doesn't prove anything, haimaanishi wazungu wote wanakosea na waafrika wote wanapatia, kwa huo mfano wako is like a drop in the ocean yaani irrelevant.

Pili, umeongelea mambo yasiyo na msingi hata Kidogo na kuwapa wazungu credits zaidi bila kujijua ukidhani ndio kipimo cha akili. Akili Ni uwezo wa kutatua matatizo kwenye mazingira husika, weredi, maarifa, uvumbuzi, utatuzi wa kero/majanga asilia au "natural catastrophes" if you will.

Mifano yako ya eti blacks wanatawala movies, music, politics, sports ni nonsense. Maisha yapo, yalikuwepo na yataendelea kuwepo bila uwepo wa chochote kile kati ya hivyo ulivyovitaja ambavyo weusi wanatawala. Hivyo vyote ni more of luxury na si vitu vya msingi kwa maisha ya mwanadamu, zaidi havitatui matatizo yeyote ya kila siku yamkumbayo mwanadamu so sio kipimo cha akili kwa namna iwayo yeyote ile.

You talked about whites marginalizing blacks that is yet another point in favor of white people. Siku zote mnyonge ndio anakandamizwa either mnyonge wa akili au wa nguvu hivyo kama weusi wanaminywa basi wamezidiwa na wazungu.

Hii mada ni way hard for you to comprehend bora uiache kuliko kuleta vitu irrelevant na wenzio wanakusapoti

Jifunze namna ya kuwasilisha hoja kwa kujenga, unadhani hayo ya kwako ndo majibu! unaweza ukawa na point but when you sounds negative and hurting you looses value, but sikulaumu malezi ndo yamekufanya uwe hivyo
 
akili za mwafrika ni ndogo sana kuliko za mzungu, labda ni kwa sababu tumeathiliwa na mapokeo ya kila kitu kutoka kwa wazungu. Tulikuwa na imani zetu tumeziacha na kupokea za wazungu, ilifika mahali ili uwe mkristo au mwislam ni lazima uachane na jina lako la asili.. sasa hizo ndiyo akili?

Sikubaliani na wewe. Mi nafikiri mazingira ndo jumfanya MTU kuwa na akili au LA. Hata watoto nyumbani ukiwatengenezea mising mizur ya elimu toka utoto na uwezo wa kufikir lazma watakua na akili.

John Watson once said "ENVIRONMENT IS WHAT MAKES INTELLIGENT OF A PERSON".

hawana akili kuliko ss ila no mazingira tu
 
Sikubaliani na wewe. Mi nafikiri mazingira ndo jumfanya MTU kuwa na akili au LA. Hata watoto nyumbani ukiwatengenezea mising mizur ya elimu toka utoto na uwezo wa kufikir lazma watakua na akili.

John Watson once said "ENVIRONMENT IS WHAT MAKES INTELLIGENT OF A PERSON".

hawana akili kuliko ss ila no mazingira tu

Hayo mazingira bora walishushiwa na Mungu toka mbinguni au waliyaboresha kwa uwezo wa akili zao! Kwanini weusi wasiboreshe mazingira yao na wao ili kujikwamua

Wengi humu mnawapa wazungu credits kwa kudhani mnatetea black race, hiki kinaweza kuwa kipimo pia cha uwezo wa bongo ya mtu mweusi smh
 
Hayo mazingira bora walishushiwa na Mungu toka mbinguni au waliyaboresha kwa uwezo wa akili zao! Kwanini weusi wasiboreshe mazingira yao na wao ili kujikwamua

Wengi humu mnawapa wazungu credits kwa kudhani mnatetea black race, hiki kinaweza kuwa kipimo pia cha uwezo wa bongo ya mtu mweusi smh

Mkuu bado mazigira yanatubana waafrika Kujenga fikra chanya na kuendelea.
Inaonekana umekariri maana ya mazingira kuwa ni vitu vinavyomzunguka MTU.
Mazingira ya kifikra ndo hutuadhir waafrica, akili tunazo ila tumejengewa na wazungu mitazamo hasi na ss wenyewe bado hatuamini katika kusimama wenyewe
 
Mkuu bado mazigira yanatubana waafrika Kujenga fikra chanya na kuendelea.
Inaonekana umekariri maana ya mazingira kuwa ni vitu vinavyomzunguka MTU.
Mazingira ya kifikra ndo hutuadhir waafrica, akili tunazo ila tumejengewa na wazungu mitazamo hasi na ss wenyewe bado hatuamini katika kusimama wenyewe

Waafrika wengi walikuwa wanaishi kwenye mazingira yenye mahitaji yanayopatikana kwa wepesi zaidi hasa chakula.Wazungu walikuwa wanaishi kwenye bara lenye changamoto nyingi kwa hiyo walitumia muda mwingi kubuni mbinu zitakazowawezesha kuendelea kuishi na huo ndio ulikuwa mwanzo wa akili yao kupanuka.Sisi huku babu zetu walikuwa wanakula wanachotaka,wanalala wanapotaka na hata kuvaa majani.Upeo hukua kutokana na changamoto.The more the challenges the more the knowledge.
 
Waafrika wengi walikuwa wanaishi kwenye mazingira yenye mahitaji yanayopatikana kwa wepesi zaidi hasa chakula.Wazungu walikuwa wanaishi kwenye bara lenye changamoto nyingi kwa hiyo walitumia muda mwingi kubuni mbinu zitakazowawezesha kuendelea kuishi na huo ndio ulikuwa mwanzo wa akili yao kupanuka.Sisi huku babu zetu walikuwa wanakula wanachotaka,wanalala wanapotaka na hata kuvaa majani.Upeo hukua kutokana na changamoto.The more the challenges the more the knowledge.

We ni mwanafunz mzr sana umejijibu mwenyewe kuwa " environment is what makes intelligent of a person"

At a mtoto wa familia maskin weng hujitaid kufikia mafanikio maana matatizo yake ndo changamoto ya kufikir
 
Back
Top Bottom