Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,015
- 95,369
Hehehehe unafikiri wakati anachukuliwa jamaa alikuta kitu sealed? thubutu kilisha kuwa used.
Mkuu umerudi Tukuyu na mambo mapya! Hahahaha! Lol! Kwa hiyo mshosti alishananihino kabla ya kiapo?
Hehehehe unafikiri wakati anachukuliwa jamaa alikuta kitu sealed? thubutu kilisha kuwa used.
Unajua ZD, Kufurahia tendo hata bila kutest yawezekana maana inahitaji experience ya muda hadi kuwa compatible.Naamini wanawake hao kama waume zao waliwajali basi with time waliweza kufurahia.Kama wanaume wenyewe nao hawakujali basi itakuwa ni shughuli.Niliwahi kusikia pia kwamba wanawake wengine wa enzi hizoooo hawakujua hata O iko vipi.Kwa vile mwanaume yeye kaumbwa kuweza kufika kuleeee kunako bila ufundi wa ziada basi ndio maana wanaume huweza kufurahi hata bila kutest in advance.Wanaume hao hao bado jamii iliweza kuwafumbia macho pale walipotoka kutafuta ladha tofauti tofauti baada ya ndoa na hili liko wazi halihitaji mjadala kuthibitisha.
Mkuu umerudi Tukuyu na mambo mapya! Hahahaha! Lol! Kwa hiyo mshosti alishananihino kabla ya kiapo?
Hahahaha mpwa bado sijarudi nimejikita NJB hapa nakula winter la adabu vekesheni inaendelea.
kutest muhimu bana, wewe utanunua kitu used bila kukijaribu ufanisi wake wa kazi??
kutest muhimu bana, wewe utanunua kitu used bila kukijaribu ufanisi wake wa kazi??
Ni kweli mkuu. Wewe used, na unachochukua nacho used. Ahhh lazima mikoko itestiwe bana. Vinginevyo injini zinaweza kunoki.
Kama kutest muhimu,mbona watu kibao ninaona wameshindwa kwenye ndoa zao pamoja na kwamba walitest? Kama kutest kungekuwa na faida kwa nini wanaume wanatafuta nyumba ndogo na wanawake wanaishia kwa hausiboi/serenget boys?
Kama kutest muhimu,mbona watu kibao ninaona wameshindwa kwenye ndoa zao pamoja na kwamba walitest? Kama kutest kungekuwa na faida kwa nini wanaume wanatafuta nyumba ndogo na wanawake wanaishia kwa hausiboi/serenget boys?
aaah sana mkuu!, mi bana kuna demu aliniambiaga yuko bikra, sikuamini nikamwambia nipe nitest bana nione kama kweli ama vp, kutest mzee kitu brand new kweli!!.
kwahiyo kutest ni muhimu, usije uziwa mbuzi kwenye gunia
Mzee baada ya kukuta kitu brand new, bado unaendelea kutest au ndio msepo tayari. Manake kitu kinaweza kuwa brand new lakini cha kichina. Lol!
aaah sana mkuu!, mi bana kuna demu aliniambiaga yuko bikra, sikuamini nikamwambia nipe nitest bana nione kama kweli ama vp, kutest mzee kitu brand new kweli!!.
kwahiyo kutest ni muhimu, usije uziwa mbuzi kwenye gunia
baada ya kuanza kujisevia si utamu ukaisha!, hahaaaaa kama bigijii vile nikatema nikanunua nyingine.
Hapo ndio yaleeee, kila siku ugali maharage! Inakinaisha. Au vinginevyo walitesti kiduchu. Unatakiwa utest kama miaka miwili hivi ili upate ladha kamili ya mapishi yote. Sasa unatest mwezi mmoja unatangaza ndoa, unategemea nini? Mi nilitesti mpaka katoto kakaibuka, nikaangalia sura yake inafanana na yangu ndio nikatangaza ndoa. Najilia vitu kwa raha zangu!
....Kwani ikiwa sealed inaongeza nini? na ikiwa used kuna lolote linalopungua?? Msaada pleasee!!1!Hehehehe unafikiri wakati anachukuliwa jamaa alikuta kitu sealed? thubutu kilisha kuwa used.
aaah sana mkuu!, mi bana kuna demu aliniambiaga yuko bikra, sikuamini nikamwambia nipe nitest bana nione kama kweli ama vp, kutest mzee kitu brand new kweli!!.
kwahiyo kutest ni muhimu, usije uziwa mbuzi kwenye gunia
Sasa ulioa mtoto wa watu? au ndo ulimwacha solemba pamoja na kukupa lulu yake.
Kwi kwi kwi! we kweli kiboko.Lakini nahisi haupo kama hayo maneno yako.Nahisi ni kama kaka mmoja mpole sana kama sio bushoke.