Itakua alizikopea au ziko fixed accountKuna mtu alifariki January mwaka jana taratibu zote zikafuatwa na msimamizi wa Marathi na pesa katika bank accounts zote zikapatikana lakini cha ajabu pamoja na kukamilisha kila kitu pesa bado hajapewa mkewe. Anaambiwa zipo hazina hajui tena afanye nini kishajichokea.
hahahahhahaaTafuteni zenu.
Na wewe pia Boss wangu, Mungu atupe uzima tuumalize salama na huu piaHAPPY NEW YEAR 2021
Badae kidogo ntakufafanuliaBushmamy kuna matukio mengi wamama wamelazimika kuacha mali za familia ziuzwe baada ya waume zao kufariki ili warithi wagawiwe mali. Mimi sio mwanasheria na sijui hii sheria ya mirathi imekaaje hapo?
AmenNa wewe pia Boss wangu, Mungu atupe uzima tuumalize salama na huu pia
Baada ya kuugua nikajifunza kitu ,Kisha nikajiona mi mjinga kutomshirikisha wife kwenye masuala nyeti.Saizi anajua password zangu zote za ki bank pamoja na simu card .Ni muhimu watu wajitambue,watoto wanaweza kosa stahiki zao kipumbavu sababu ya password zenye tarakimu nne tu au tatu,mgogoro pia hauepukiki kwa nduguIla mimi hii hoja nimeiangalia kwa masikitiko sana na namna ya Maisha ya sasa yanavyokwenda.
Ni dhahiri kwamba mahusiano ya ndoa mengi hayana mpango chochote. Yaani watu wanaishi siku ziende.
How could that be mke hajui password ya Mpesa ya Mume wake ? How could that be mke au mume hajui ATM password ya mwenzi wake ?
Kuliko kuishi maisha ya kipumbavu kama hayo ni bora nisiwe na mwanamke.
Ninachojua mimi Mke wako au Mume wako ndio mtu wa kwanza Kwenye maisha yako kujua hizo details. It is such a shame mtu kufungua thread na kutuambia mke hajui password za ATM na MPESA. Huu ni WIZI unataka kufanyika. Na ndugu wa Marehemu watizame hili suala kwa karibu ; huenda kuna kitu bado hakipo sawa.
Ungesema utaratibu wa kufuatilia Mali za Marehemu kama vile Majumba, Viwanja, pesa zake ndani ya Bank n.k ingekuwa ni SAWA kuomba Ushauri na utaratibu.
But Akaunti ya MPESA au ATM , mke hajui, that is shame!
Yaani Mimi kama huyo aliyekufa ni kaka yangu; literally mwanamke atachukua share ndogo sana maana sioni kama ni Mtu mwenye akili ikiwa hujui hizo details za mtu unaelala nae kitanda kimoja na probably mna watoto . USELESS!
Anyway, .... tambua Mahakamani haitokuwa peke yako, bali ni familia halisi ya marehemu. Ndugu zake pamoja na watoto, wazazi kama wapo hai ambao watapewa nafasi pia.
maisha hayawezi kuwa so simple Kwenye hiyo chain.
Ni kweli pesa za mirathi baada ya mahakama kutoa hukumu ya mirathi na msimamizi wa mirathi kujulikana, pesa zote zilizopo kwenye accounts za mabenki au kwenye makampuni ya simu uhamishwa kwenda Hazina wizara ya fedha kwenye akaunti ya Mirathi Benki Kuu ya Tanzania. Na baada ya hapo Hazina uandika hundi kwa kila mhusika kwa mujibu wa sheria na wosia wa marehemu.Kuna mtu alifariki January mwaka jana taratibu zote zikafuatwa na msimamizi wa Marathi na pesa katika bank accounts zote zikapatikana lakini cha ajabu pamoja na kukamilisha kila kitu pesa bado hajapewa mkewe. Anaambiwa zipo hazina hajui tena afanye nini kishajichokea.
Mkuu soma hii link.Ni kweli pesa za mirathi baada ya mahakama kutoa hukumu ya mirathi na msimamizi wa mirathi kujulikana, pesa zote zilizopo kwenye accounts za mabenki au kwenye makampuni ya simu uhamishwa kwenda Hazina wizara ya fedha kwenye akaunti ya Mirathi Benki Kuu ya Tanzania. Na baada ya hapo Hazina uandika hundi kwa kila mhusika kwa mujibu wa sheria na wosia wa marehemu.
Kumbuka mabenki na makampuni ya simu kisheria hawana uwezo wa kutoa pesa za marehemu kwa wafiwa moja kwa moja bali kupitia Hazina kupitia Benki Kuu ya Tanzania.
Bank inawezekana iwapo mna vielelezo husika lakini kwa hawa Mpesa duh..!Wajuzi naomba msaada.
Ndugu kafa. Ana akaunti benk ila password hazijulikani pia ana mpesa na pesa zipo ila no password. Mkewe ana death certificate. Atapataje pesa za mmewe? Pia ana cheti cha ndoa.
Msaada
Msichoke hela huwa inatoka..fuateni taratibubhusika hasa kesi ilipofanyikia..maana hela huwa inaenda BOT....so ikishaenda hukwo ni jukumu la kuarrange na mahakama iliyokuwa inasikiliza kuwapa uhalali wa malipo ya hela yenu iliyopo BOT
Kwanza poleni kwa msiba mkuu.Wajuzi naomba msaada.
Ndugu kafa. Ana akaunti benk ila password hazijulikani pia ana mpesa na pesa zipo ila no password. Mkewe ana death certificate. Atapataje pesa za mmewe? Pia ana cheti cha ndoa.
Msaada
Wajuzi naomba msaada.
Ndugu kafa. Ana akaunti benk ila password hazijulikani pia ana mpesa na pesa zipo ila no password. Mkewe ana death certificate. Atapataje pesa za mmewe? Pia ana cheti cha ndoa.
Msaada