Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,337
- 7,543
Inawezekana kufungua file upya mkuu, kwa sharti moja kwamba ueleze ni kwasababu gani umechelewa kufungua shauri la mirathi ndani ya muda wa miaka 3 iliyowekwa kisheria. Kimsimgi, sababu tayari umeshaitaja, na ni ya msingi kisheria, kwamba msimamizi wa mirathi alifariki kabla ya kuthibitishwa na mahakama (kama nimekuelewa vizuri).mkuu kwanza ningependa kukipata kitabu chako kinacho husu sheria katika mfumo wa soft copy
pili ningependa kuuliza swali, kuna uwezekano wa kufungua faili la mirathi kwa mtu aliye fariki miaka kumi iliyopita licha ya kuwa msimamizi wa mirathi nae alisha kufa miaka kadhaa iliyopita ?
Kitabu naweza kukupatia kwa soft copy, karibu PM.