Calyx24
Senior Member
- Jan 13, 2018
- 180
- 243
Kuna taratibu za mirathi, kama marehemu kaacha wosia juu ya mgawanyiko wa mali basi itakuwa rahisi kuzipata, lakin zaid ya hapo utazungushwa sana, lakin pesa utazipata kama zilivyo
mkuu kuna uwezekano wa msimamizi wa mirathi kwa mfano kaka wa marehemu kwenda benk kutoa fedha za mirathi za watoto wa marehemu bila uwepo wao