Mwambie tamaa mbaya sana tena kwenye karne hii utakufa mapema kwani si wanawake tu cheki model mpya za magari yaani ni balaa we ukipita na ka escudo chako hadi unaweza ukajiona ni bure kabisa.
So aangalie na kuacha hapo hapo.
mwambie kama hatosheki na wanawake, aelekeze upepo kwa midume yenzake...! Mtu gani huyo asiyetoheka? ana pepo la uzinzi