King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,643
- 68,593
Chonde chonde ngoma ni nomaaaaaa!
Hahahahahahaaa Ndetirima hii nimeipenda sana lolUtatosheka tuu maana hata wanaopiga puli huwa wanatosheka kuliko kawaida ndio maana baada ya muda hawawezagi kufanya mapenzi na mwanamke tena hata awe mzuri kama malaika ila kupiga puli anaweza. Hiyo ni akili yako ya tamaa za mwili tu lakini wote wako sawa tu.
Huyu jamaa yangu kwa umri alio nao angepaswa kuwa amewowa, lakini kila siku anaendela kupima.........Mara leo yuko na huyu kesha kabalidisha mwingine.....................Yaani kaazi kweli kweli
Anatumia MKUYATI
Mie natokea MKWAJA kule Pangani Tanga, na niliwahi kuishi Lushoto maeneo ya VUGA.............Mkuyati ni koboko ya mambo asikwambie mtu.......................Mtambuzi umeniacha sina mbavu,na umenikumbusha mbali,hivi wewe watoka Tanga nini?.Umenikumbusha wakati ndio tunabalehe/tunakua kule Kisosora Tanga kunajamaa yetu alipata kidate na mtoto aliyemsumbua kwa muda mrefu basi akaagizia MKUYATI toka Sambaani, bwana,mbona ilikuwa tukio,mdada alikimbia na chupi kashika mkononi maana jamaa wasaa mawili hashuki na hata dalili hazikuwepo,mdada akaomba kwenda chooni ndio ikawa safari tena kwa kukimbia.
Niko hapa maeneo ya Mlimani City na mfanyakazi mwenzangu ambaye bado hajaoa Tumesimama mahali ambapo kila anayeingia na kutoka hapa Mlimani City tunamuona.................. Kuna mabinti wengi wazuri wa kuvutia wakiwa na vivazi ambavyo ukiwaangalia.............Mashaaallah, wamejaaliwa hasa........ Wenye Pedo haya wenye Skin Jinzi haya, wenye Suruwale za kubana makalioni tena mlegezo wakiwa vitovu nje nao wapo, wenye Vikuku haya wenye Viatu vya Makhirikhiri twende kazi, ili mradi kila mmoja kapendeza kama mamtoni mwanawane..................
Yule mwenzangu nilipomuangalia namuona kawakodolea macho huku domo limemlegea utadhani fisi aliyeona mnofu...............
Namuuliza, Mwenzangu kulikoni umetoa macho kiasi hicho?
Aisee..... Kweli Mungu anajua kuumba, mabinti wazuri namna hii, hivi mimi nitatosheka na mwanamke mmoja kweli....................! Alinijibu huku akiendelea kuwakodolea macho.........
Mh! Nilibaki kuguna..............
cha msingi ni kufaya maamuzi na kuamini uliye nae ndo zaidi ya wote