GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,689
- 109,119
Yaani mtu kajiuzuru mwenyewe kutokana na Ufisadi wake ambao Umeigharimu nchi pakubwa (hasa kwa kuitia hasara) halafu leo kafariki tunasema/tunamuita ni Waziri Mkuu Mstaafu!
Lowassa alistaafu Uwaziri Mkuu wake kama wengine au alijiuzuru kutokana na Kashfa zake za Ufisadi alizojaribu kuzizima kwa Utajiri wake mkubwa na wa kutukuka?
GENTAMYCINE hiki kikombe cha Unafiki na Upuuzi (Ujuha) kilichopo kwa Watanzania wengi (hasa kwa huu msiba) wala sitokinywa kabisa kutokana na Dhambi zake kubwa za Ufisadi na Utajiri wake wa Mashaka ambao Ulimshtua na hata Kumuumiza Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.
Lowassa alistaafu Uwaziri Mkuu wake kama wengine au alijiuzuru kutokana na Kashfa zake za Ufisadi alizojaribu kuzizima kwa Utajiri wake mkubwa na wa kutukuka?
GENTAMYCINE hiki kikombe cha Unafiki na Upuuzi (Ujuha) kilichopo kwa Watanzania wengi (hasa kwa huu msiba) wala sitokinywa kabisa kutokana na Dhambi zake kubwa za Ufisadi na Utajiri wake wa Mashaka ambao Ulimshtua na hata Kumuumiza Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.