habari yako Lizzy upo mama?
Twende mama
Nimejaa tele Nitty. . .mzima wewe?
Nimejaa tele Nitty. . .mzima wewe?
duh, from nitonye to Nitty?!!
I can transfomu from kongosho to konnie
Hehehehe. Ni wivu ama?duh, from nitonye to Nitty?!!
I can transfomu from kongosho to konnie
Mimi mzima mama yaani nilikumiss kama kiuno cha nyoka
Hahahaha. . .
Yanaendaga sana
Leo nilienda kanisani kumnong'oneza kitu Mungu
Haya swithrt n si huwa kuna nyimbo sana eeh?
Haswaa dada yangu na ndo somo ambalo wanawake wengi tunalimiscalculate kwenye mahusiano. Wengi wetu tunaamini kuwa being a YES pesrson, an obedient woman ndo silaha ya kumfanya your man astick kwako kumbe lah!! Mwanaume anapenda mcharuko kwa maana ya kuwa mwanamke mwenye principles, a non-nonsense woman. You love me, I love you, you despise me, I despise you period. That is what Lizzy is.
Hapana tutaenda jamani
Na wengine wakiona hivyo wanakimbia kama hawana akili nzuri.Now,that is not being principled,that is another miscalculation u have made!!
That is simply being arrogant and vindictive!!
Alichokimaanisha Lizzy hapo ni kwamba sisi wanaume Tunapenda mwanamke atakayetusaidia kuona kile tusichokiuno,mwanamke who will help us read btwn the lines!!
In other words,Tunampenda Mwanamke atakayeweza kutupa Wazo mbadala katika situations mbalimbali katika Maisha!!
When we find such a woman,we fly without wings!!!
Alikusikia?
Na wengine wakiona hivyo wanakimbia kama hawana akili nzuri.