trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 736
Jamani penye ukweli hakuna ubishi, Dada yetu katulia na anafaa kuwa mama mwenye nyumba.
Hakunaaa....!!! Tunanullify kabla hawajafika mbali...
Jamani penye ukweli hakuna ubishi, Dada yetu katulia na anafaa kuwa mama mwenye nyumba.
Wengi wanaamini Lizzy yuko kama ilivyo Avatar yake. Na kama ni hivyo hata mimi natia timu kwake soonest!!!!!
Wengi wanaamini Lizzy yuko kama ilivyo Avatar yake. Na kama ni hivyo hata mimi natia timu kwake soonest!!!!!
Wala usisumbuke maana kila kitu kiko tofauti. .
Badala ya kuwa kipotable ni bonge la jimama, nimejichubua kidogo, kichwani mawigi sitoi alafu mfupiii.
Hahahah. . . Mbu hujaona watu wanavyolalamika kuhusu avatar na mtu kutofautiana? Bora niwaeleze mapema ili tukipeana miadi wasije wakarudi kinyumenyume baada ya kuniona.
...unajitetea ee? ha ha ha....hata ukipunguza 'maksi,' hivyo hivyo watu watatia timu!
Sijambo Lizzy wangu, habari ya wewe?
oi Ungesema baadhi me ningeelewa kwangu binafsi bado hiyo kitu haijafika namuona wa kawaida sana tu avatar ya kwaida inayoonesha Mwana dada mweye mawazo tele na Stress nyingi, kwa styre hiyo mtu unaweza kumzimikia? oi nadhani wengi wanapenda kuchat na Lizzy yupo talkative sana tu so wengi hupenda kuchat ,na Mtu muongeaji sana hupata marafiki wengi tofauti na mtu asiye ongea sana haijalishi yupoje mbaya au mzuri atapendwa tu.Leo asubuhi kabla sijaanza kujiandaa kwenda kibaruani niliona post ya kusema mtu kamzimikia Lizzy, hii ni mojawapo ya string nyingi sana ambazo zimekuwa zikitangaza kumzimikia Lizzy.
Hivi Lizzy umewapa nini hawa kila siku wanatangaza kukuzimikia? Wanapenda Avatar yako au wanapenda nini kwako? Hata wale ambao hawajaanzisha thread kuhusu Lizzy bado nahisi wanakuzimikia tu hebu nao waseme nini wanakizimikia kwako?
Mi nlisjasema..........
oi Ungesema baadhi me ningeelewa kwangu binafsi bado hiyo kitu haijafika namuona wa kawaida sana tu avatar ya kwaida inayoonesha Mwana dada mweye mawazo tele na Stress nyingi, kwa styre hiyo mtu unaweza kumzimikia? oi nadhani wengi wanapenda kuchat na Lizzy yupo talkative sana tu so wengi hupenda kuchat ,na Mtu muongeaji sana hupata marafiki wengi tofauti na mtu asiye ongea sana haijalishi yupoje mbaya au mzuri atapendwa tu.
ni vizuri ingebaririsha Heading japo kidogo uweke baadhi ya wanaume wa jf umewapa nini?
Unataka enda kiwanja gani Lizzy wangu?
oi Ungesema baadhi me ningeelewa kwangu binafsi bado hiyo kitu haijafika namuona wa kawaida sana tu avatar ya kwaida inayoonesha Mwana dada mweye mawazo tele na Stress nyingi, kwa styre hiyo mtu unaweza kumzimikia? oi nadhani wengi wanapenda kuchat na Lizzy yupo talkative sana tu so wengi hupenda kuchat ,na Mtu muongeaji sana hupata marafiki wengi tofauti na mtu asiye ongea sana haijalishi yupoje mbaya au mzuri atapendwa tu.
ni vizuri ingebaririsha Heading japo kidogo uweke baadhi ya wanaume wa jf umewapa nini?