Man Rody
JF-Expert Member
- Aug 4, 2022
- 1,265
- 2,960
100% acha azile zoteeee kwanza huwezi kulipa fadhila za mama hata umpe dunia yote hii, me ata akifuja mali zangu ni sawa tu. Mke ni special sana ila kwa mama hagusi hata nusu ya thamani yakeBora jasho liliwe na mama yako kuliko mdangaji mmoja anaeamini mahusiano ni source ya income