Hivi kweli mama zetu ndio wawe watunzaji wa mali zetu? Mnawajua mama zetu walivyo?

Bora jasho liliwe na mama yako kuliko mdangaji mmoja anaeamini mahusiano ni source ya income
100% acha azile zoteeee kwanza huwezi kulipa fadhila za mama hata umpe dunia yote hii, me ata akifuja mali zangu ni sawa tu. Mke ni special sana ila kwa mama hagusi hata nusu ya thamani yake
 
Watanzania wengi hii habari wanaisoma juu juu alichofanya hakimi kamuandika kila kitu bi mkubwa ila vitu vyote yeye ndio ana access navyo yaani mama yake hawezi fanya chochote bila hakimi maana document zote anazo hakimi ila mali kaandika majina ya mama na akajiandika yeye ndio next kin kwamba mama akitangulia basi vitu vyote vinakuwa chini yeye mama yeye ni kama bortion tu na hiyo ni kawaida kwa familia za waarabu kwao kufanya hvyo hii ni tofauti na Adebayor alipuandika kila kitu kwa mama yake halafu akamuachia mpaka document zikae kwake.
Hiyo sio maana ya next of kin. Next of kin ni mtu ambaye atakuwa wa kwanza kutafutwa endapo litatokea na kutokea na sio kwamba ukiandikwa next of kin ndo mrithi wa Mali.
 
Umechanganya nambo. Hakimi hakumfanya mama yake awe msimamizi au muendelezaji wa mali zake. Hakimi alimfanya mama yake kama ndio mmiliki wa mali kwabiyo ni kama mama alimwajiri Hakimi aziendeshe mali zake.

Ni kama bakresa ni mwenye mali lkn kwa sasa shighuli za uendeshaji mali amewaachia watoto wake.

Halafu mother ako inaonekana ni b..... au basi.
 
Kisa cha mchezaji wa PSG Achraf Hakimi kuandikisha mali zake kwa jina la mama yake halafu mkewe kuambulia patupu mara baada ya kuachana kimewafanya wanaume wengi kupata muamko wa kutaka kuiga hiyo style. Lakini kuna mambo watu huenda wanasahau kuhusu hawa mama Zetu hususani huku Afrika. Kwa uchache sana nitaweka hapa.

Mama zetu wengi (huenda 90%) wako hivi;
1. Upeo duni wa kutunza na kuendeleza mali. (Kumuachia mali zako ni zaidi ya kucheza kamari)

2. Wako chini ya himaya ya waume zao (waume hao wanaweza kuwa ni baba zetu wa kutuzaa au baba wa kambo)

3. Wanategemewa na familia na koo zao. (Yaani kuna msururu wa ndugu wamekaa wanasubiri kuvuna kwa migongo ya mama zetu).

4. Waumini holela wa imani tofauti tofauti. (Leo unaweza kumkukuta kwa mganga wa kienyeji, kesho kwa Mwaposa, keshokutwa kwa Sharif Majini nk. Kote huko anamwaga pesa).

5. Hawajatulia kabisa (wengi ni single mothers walioshindikana, wadangaji, mijishangazi, walevi, washirikina, wafitini nk)

6. Maisha yao yamezungukwa na kuathiriwa na watu wa ovyo ovyo balaa (hapo kuna majirani, ndugu, jamaa, marafiki, mashosti nk na hao ndio wenye kuamua mtindo wa maisha ya mama zetu hususani mama zetu wakiwa na mali).

Hitimisho langu.
Mtu sahihi wa kumuandikisha umiliki wa mali zako:
-Wa kwanza ni wewe mwenyewe
-Wa pili ni mkeo
-Wa tatu ni mtoto wako wa kumzaa.
Acha upuuzi,
Kwani kumpa mama umiliki hilo si ni jina tu kwenye makaratasi. Habari za uduni hazitatokea kwakuwa mimi ndiye director wa kila hatua.

Yaani bado utoto wako unakuaminisha kuwa mke yuko upande wako?
 
O
Kuna tofauti kubwa sana kati ya mama yako na mkeo.
Kwa haraka sana, mama yako ni mtu aliyekuzaa na kukulea, hakuna kitu kingine alichonacho cha zaidi. Unapaswa kumpenda, kumtunza na kumheshimu. Lakini mtu huyo (mama yako) anaweza kuwa mjinga, kichaa, mwizi, malaya, mchawi nk na isiweze kufanya chochote kumkwepa kama mzazi wako. Kiujumla jumla hatoshei kuwa mmiliki wa mali zako.

Mkeo ni mwenzi wako kimaisha (Life Partner), mbia kamili wa maisha yako, mrithi kamili wa mali zako ikiwa leo haupo duniani. Unaamua kumchagua katikati ya wanawake wote waliopo duniani. Kiujumla jumla ni mtu sahihi kuwa mmiliki wa mali zako.
Oyaa kama wanawake wameshakuloga usifosi tufanane mama ndio kila kitu wewe muandikishe mkeo usituletee ujinga hapa wakujifanya nice guy
 
Kwa hiyo wale wamama wa kule kaskazini wanaovuka boda kwenda kupigwa miti kule Kenya ni watakatifu?

Ama wale mama wa kule Arusha wanatafuna mrungi na kutupia konyaji kama maji ndio wapambanaji?
Ndio, kama unabisha kunywa wewe konyagi na tumia mirungi ndio unatakapo jua kuwa wama wale ni vyuma kweli kweli.🤪
 
Sema "mama yako" siyo "mama zetu" usigeneralize... Kila mtu atashika msalaba wake mkuu kwenye maisha binadamu hatufanani, kilicho applicable kwa huyu kina weza kisiwe applicable kwako. Just deal with what life gave you.

Conclusion: We Are Not The Same. Thread Closed.
 
Wa mama wa pwani.

Wa mama wa kiislam

Wana tofauti kubwa na wamama wa bara na wamama wa kikristo.

Wamama wa pwani elimu dunia ama elimu ya kusimamia fedha na mali huwa hawafundishwi na jamii zao. ( dini ya kiislam na utamaduni wa pwani haumfundishi mwanamke mambo ya mali na pesa )

Wamama wa bara hata kama hawajaenda darasani..ila wanafundishwa elimu ya kusimamia fedha na mali kutoka kwa wakubwa zao.
Stop this nonsense and unproven generalization. Hivi mama samia ni nani vile?
 
Wamama wa bongo utakuta amegawia wadogo zako, wajomba zako, majirani, wajukuu. Labda uwe mtoto pekee! Na hapo uhakikishe ameandika kabisa wosia na kukupa umiliki wa hizo mali ikitokea akafariki kabla yako. msije kuiga, mtakuja kulia humu. Wamama wengi hata ukimkopesha usitegemee sana kulipwa. (Sio wote lakini)
Bila shaka utakuwa mwanamke wewe.
 
Stop this nonsense and unproven generalization. Hivi mama samia ni nani vile?

Umefanya kitu kinaitwa strawman fallacy kitaalamu. Yaani unataka kuhamisha mada kwa swali lako

Pia Mama samia anatoka Zanzibar. Na pia hoja yangu imeongelea mambo ya kusimamia pesa hata kwa wanawake ambao hawajaenda shule. Kati ya wa bara na wa pwani

Mama samia mwenyewe analaumiwa kwa matumizi mabovu kwenye awamu yake. Mikopo mingii.. watu wanatumbua tu

UNAWEZA UKAWA RAIS ILA BADO UKASHINDWA KUSIMAMIA FEDHA VIZURI. WANANCHI WAKALALAMIKA
 
Kisa cha mchezaji wa PSG Achraf Hakimi kuandikisha mali zake kwa jina la mama yake halafu mkewe kuambulia patupu mara baada ya kuachana kimewafanya wanaume wengi kupata muamko wa kutaka kuiga hiyo style. Lakini kuna mambo watu huenda wanasahau kuhusu hawa mama Zetu hususani huku Afrika. Kwa uchache sana nitaweka hapa.

Mama zetu wengi (huenda 90%) wako hivi;
1. Upeo duni wa kutunza na kuendeleza mali. (Kumuachia mali zako ni zaidi ya kucheza kamari)

2. Wako chini ya himaya ya waume zao (waume hao wanaweza kuwa ni baba zetu wa kutuzaa au baba wa kambo)

3. Wanategemewa na familia na koo zao. (Yaani kuna msururu wa ndugu wamekaa wanasubiri kuvuna kwa migongo ya mama zetu).

4. Waumini holela wa imani tofauti tofauti. (Leo unaweza kumkukuta kwa mganga wa kienyeji, kesho kwa Mwaposa, keshokutwa kwa Sharif Majini nk. Kote huko anamwaga pesa).

5. Hawajatulia kabisa (wengi ni single mothers walioshindikana, wadangaji, mijishangazi, walevi, washirikina, wafitini nk)

6. Maisha yao yamezungukwa na kuathiriwa na watu wa ovyo ovyo balaa (hapo kuna majirani, ndugu, jamaa, marafiki, mashosti nk na hao ndio wenye kuamua mtindo wa maisha ya mama zetu hususani mama zetu wakiwa na mali).

Hitimisho langu.
Mtu sahihi wa kumuandikisha umiliki wa mali zako:
-Wa kwanza ni wewe mwenyewe
-Wa pili ni mkeo
-Wa tatu ni mtoto wako wa kumzaa.
Kuna sababu zilizomfanya afanye hivi,huwezi jua maisha yake na mke wake yalikuaje hatuwezi jua,nafikiri kuna ya zaidi yanayomfanya afanye hivi, kwanza kitendo cha mwanadada kudai NUSU ya utajiri wa mume wake tayari linaleta alama ya kuuliza angesema tu anataka asilimia kadhaa.....sasa mfano mzuri kaka yangu aliumwa serious kidogo tu mke wake akaanza kusema niandikishe jina langu ile nyumba unayojenga sijui wapi niandikishe jina langu sasa imagine MTU anaumwa unamwambia maneno hayo unataraji nini? Haya kapona sasa unazan kutakua na imani tena hapo?
 
Sema Mama yako ndio ana hayo mapungufu,,,na usijumuishe Mama wa wengine!!!!
 
Umefanya kitu kinaitwa strawman fallacy kitaalamu. Yaani unataka kuhamisha mada kwa swali lako

Pia Mama samia anatoka Zanzibar. Na pia hoja yangu imeongelea mambo ya kusimamia pesa hata kwa wanawake ambao hawajaenda shule. Kati ya wa bara na wa pwani

Mama samia mwenyewe analaumiwa kwa matumizi mabovu kwenye awamu yake. Mikopo mingii.. watu wanatumbua tu

UNAWEZA UKAWA RAIS ILA BADO UKASHINDWA KUSIMAMIA FEDHA VIZURI. WANANCHI WAKALALAMIKA
Hakuna Strawman fallacy in my statement. Wanawake wa bara wengi wako chini ya wanaume na mwanaume ndio muamuzi wa kila kitu kuanzia matumi ya fedha (pesa ambazo ni za mwanaume hata kama alitafuta mwanamke) hadi personal decisions ambazo logically alitakiwa kufanya mwanamke.
Kusema mwanamke wa bara ana elimu juu ya matumizi bora ya fedha ikiwa hana authority kwenye familia ni mfano hai na maana sahihi ya fallacy arguiment.
 
Kataa ndoa
Kataa ndoa
Kataa ndoa
Ndoa ni ujambazi
Kuna lijitu limesha toka kapa huko
Eti nusu kwa nusu

Kwanzia kesho naenda kwa mwanasheria wangu mavitu yooote mpaka mbwa na kuku naenda kuvihamishia kwa bibi hapo ndio lugha tutaelewana

Jamaa katoa code muhimu sana
 
Kisa cha mchezaji wa PSG Achraf Hakimi kuandikisha mali zake kwa jina la mama yake halafu mkewe kuambulia patupu mara baada ya kuachana kimewafanya wanaume wengi kupata muamko wa kutaka kuiga hiyo style. Lakini kuna mambo watu huenda wanasahau kuhusu hawa mama Zetu hususani huku Afrika. Kwa uchache sana nitaweka hapa.

Mama zetu wengi (huenda 90%) wako hivi;
1. Upeo duni wa kutunza na kuendeleza mali. (Kumuachia mali zako ni zaidi ya kucheza kamari)

2. Wako chini ya himaya ya waume zao (waume hao wanaweza kuwa ni baba zetu wa kutuzaa au baba wa kambo)

3. Wanategemewa na familia na koo zao. (Yaani kuna msururu wa ndugu wamekaa wanasubiri kuvuna kwa migongo ya mama zetu).

4. Waumini holela wa imani tofauti tofauti. (Leo unaweza kumkukuta kwa mganga wa kienyeji, kesho kwa Mwaposa, keshokutwa kwa Sharif Majini nk. Kote huko anamwaga pesa).

5. Hawajatulia kabisa (wengi ni single mothers walioshindikana, wadangaji, mijishangazi, walevi, washirikina, wafitini nk)

6. Maisha yao yamezungukwa na kuathiriwa na watu wa ovyo ovyo balaa (hapo kuna majirani, ndugu, jamaa, marafiki, mashosti nk na hao ndio wenye kuamua mtindo wa maisha ya mama zetu hususani mama zetu wakiwa na mali).

Hitimisho langu.
Mtu sahihi wa kumuandikisha umiliki wa mali zako:
-Wa kwanza ni wewe mwenyewe
-Wa pili ni mkeo
-Wa tatu ni mtoto wako wa kumzaa.
Kama humuamini mama yako kaa na mtizamo wako. Huwa wanasema huyu alikuwa mke wa fulani Ila hawajawahi sema kuwa huyu alikuwa mama/Mtoto wa fulani.
Yaani uhusiano wa mwanamke huwa unaisha.

Unachoongea unaona kilichompata eboue wa Togo akatolewa jasho lake na m belgiji ,ama unaongea tu. Pia una uhakika gani Kama mkeo anakupenda kwa dhati unajuaje labda anaishi na wewe kwa sababu iko ivyo Kuna kuolewa/kuoa.
Mwanamke sio ndugu yako
 
Back
Top Bottom