Lanlady
JF-Expert Member
- Feb 27, 2019
- 1,511
- 5,021
Wamama wa bongo utakuta amegawia wadogo zako, wajomba zako, majirani, wajukuu. Labda uwe mtoto pekee! Na hapo uhakikishe ameandika kabisa wosia na kukupa umiliki wa hizo mali ikitokea akafariki kabla yako. msije kuiga, mtakuja kulia humu. Wamama wengi hata ukimkopesha usitegemee sana kulipwa. (Sio wote lakini)