Penny
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 575
- 48
Asante sana kwa kutoa msisitizo. Tatizo hawapendi kuambiwa ukweli. Mbona Mungu alipomuumba Adam alimpa msaidizi Eva. Kwa nini hakumpa wasaidizi Eva, Penny, Pretty, Mwanahawa, Aisha...nk? Ndo maana nilisema ni ulimbukeni na ujinga eti wa ufahari kwa kufanya hayo yote. Naukiangalia in deep who is the looser...them the wajinga walipia ngono. Kwa nini usimchukue demu mmoja na ukae naye utulize hizo hamu! Tatizo kudanganyana kwingi ndo kunapelekea mambo yote haya hamna lolote. MIANAUME MILIMBUKENI BADILIKENI!Swadakta Penny, Uanamume ni kuweza kujiheshimu na kuji-control, Uanaume si kufungua zipu kwa kila mwanamke umwonaye, Uanaume ni uwezo wa kujitawala na ku-control hisia zako, Uanaume ni kumiliki na kujimiliki.