jibu fupi,hakuna mapenzi ya dhati siku hizi,ndio sababu kubwa inachangia hiyo biashara kushamiri,wote wanaume/wanawake yani mkianza uhusiano poa,ila baadae migogoro inatokea ktk ndoa yenu kwahiyo kupunguza stress % kubwa ya wanaume wanaamua wanunue dada poa,ndio mana nasema mapenzi ya siku mengi ni kutamaniana na kuchokana kuliko kujenga maisha yenu na watoto,kila upande upo kutetea kwake kimaslahi,midomo zege nae kiasi fulani inachukua nafasi ila kuna wengi wana ndoa zao wanaenda kwenye biashara ndio mana nchi nyingi za ulaya zimeruhusu bashara hii na wengine wameshatalaka wake zao,wamefiwa,wapweke nk.