Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 4,807
- 5,920
Sio kwer unatupangaSio Mara moja Ila nakuhakikishia huu Ni mwaka wa Saba sijawahi kukasirika, tofauti na nilipokua na pesa nyingi.
Sio kwer unatupangaSio Mara moja Ila nakuhakikishia huu Ni mwaka wa Saba sijawahi kukasirika, tofauti na nilipokua na pesa nyingi.
Kwanza kabisa hutoijuwa furaha mpaka uwe Muislam mwenye kuishi na kutimiza mafundisho ya Kiislam.Wengi wetu ambao hatuna hela za kukidhi mahitaji yetu vuzuri kv. mavazi, mlo kamili, usafiri, kutembea sehemu za starehe, kutalii, kutembea nchi za nje huwa tuna misemo fulani hivi ya kukatisha tamaa.
Misemo hiyo ni kama ifuatavyo;
Unaweza kuwa na hela nyingi lakini ukawa huna furaha.
Tunajihangaisha kwenye haya maisha lakini wote tutakufa.
Yote kwa yote ni ubatili
Unaweza kuwa na hela lakini huna mtoto
Hela hainunui furaha
Lakini wenye hela maisha yao ni mazuri na wanafanya wanachokipenda kushinda wasiokuwa na hela. Na wasiokuwa na hela ndio wanahangaika sana katika haya maisha.
Japokuwa kila mtu ana hela tofauti ni kiwango, mwenye mia ya kununua sigara tu hawezi kumfikia mtu mwenye uwezo wa kupata elfu kumi, ambapo hapo atanunua sigara na kula vizuri. Mwenye elfu kumi hawezi kumfikia mwenye uwezo kuingiza milioni kwa siku kwani yeye anaweza kusafiri nje ya nchi na kufanya biashara zake.
Ukweli hapo ni upi mbona tusiokuwa na hela ndio tunakuwa na kelele nyingi?
Mimi naamini asiyekuwa na hela hana furaha hata kidogo hata kama anayo hamfikii mwenye hela.
Hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya uislam na furahaKwanza kabisa hutoijuwa furaha mpaka uwe Muislam mwenye kuishi na kutimiza mafundisho ya Kiislam.
Upo sana tu, huwezi kuishi Kiislam ukakosa furaha.Hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya uislam na furaha
Hakuna kupumzika. Ila vijiji vingine vipo freshkijijini na kwenyewe taabu tu mara uchawi
nataka kumuoa muislam nifanyejeUpo sana tu, huwezi kuishi Kiislam ukakosa furaha.
Labda iwe furaha kivyako ni kucheza ngoma.
Eti stress anazozipata mtu aliyekua ndani ya X5 ilingane sawa na stress anayeipata mtu aliyeshindia uji na muhogo! Sio kweli.pesa inanunua vitu sio furaha jomba. Unaweza ukawa na kila kitu ila still furaha huna. Ushajiuliza ukishanunua Ndinga kali, ukagonga mademu wakali, ukanywa mapombe ya gharama how long can you do that before boredom kicks in?😀
Kuna mambo nilitamani nikiwa mtoto but sikuwa na uwezo nayo ila leo kila kitu niko nacho. Nimeshavizoea sioni excitement tena.
UkiidKiislam lazima uwe nakaHakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya uislam na furaha
Anza kuwa Muislam.nataka kumuoa muislam nifanyeje
bro unajifariji tu mtoto wa kwanza ni hela na mke wa kwenza ni hela....na uzima wa kwanza ni hela na pepo ya kwanza ni hela na mapenzi ya kwanza ni hela... (JIDANGANYE)1.Una billions of money bank ila moyo umefungwa "pacemaker" ile feeling ya kuwa utakata moto mda wowote inakuandama utapataje furaha.?
2.Una billions of money ila kila ukigongana na wanawake hautungishi mimba. Umenyimwa uwezo wa kuzaa ila wadogo zako wote wana watoto. Furaha inatoka wapi?
3. Una billions of money ila wewe ni mgonjwa wa sickle cell au cancer ya ini inakutafuna. Anytime parapanda inaweza ikalia hio furaha inatoka wapi.
Somo:
Utajiri wa kwanza ni afya njema tu kisha ndio pesa inafuata. Tofauti na hapo ni kujilisha upepo.
Kwa hiyo kununua vocha ya buku ni utajiri, UTAJIRI huanza na afya njema kwanzaWewe endelea kujifariji tu sasa kama utajiri wa kwanza ni afya njema basi itumie hiyo afya njema kununua bando la buku
Pambana sana uwe na hela za kutosha ili ubadili mentalitybro unajifariji tu mtoto wa kwanza ni hela na mke wa kwenza ni hela....na uzima wa kwanza ni hela na pepo ya kwanza ni hela na mapenzi ya kwanza ni hela... (JIDANGANYE)
vitu vyote vinavyomsumbua binadamu ni chanzo umaskini...na maskini...wivu umaskini wizi umaskini ufisadi umaskini uwongo umaskini husda umaskiniwatoto wa mitaani umaskini... fedha za kunitosha ninazo...Pambana sana uwe na hela za kutosha ili ubadili mentality
Ubaya ni kwamba hio afya unayoibeza ndio inaku support kufungua macho, kutembeza miguu na mikono bila kusahau vidole unavyobofya bofya hio simu ili kuandika kebehi kama ulivyofanya humu. Unasahau kuna wenzako walioko Sewahaji na Mwaisela ambao pengine wana fedha hata kukuzidi ila wamelaza mbavu kwa miezi kibao hawana ubavu wa kubonyeza simu.Wewe endelea kujifariji tu sasa kama utajiri wa kwanza ni afya njema basi itumie hiyo afya njema kununua bando la buku
Tugeuze sarafu. Vipi uwe hayo matatizo yote uliyotaja halafu HUNA HELA? Unafananishaje hayo mazingira?1.Una billions of money bank ila moyo umefungwa "pacemaker" ile feeling ya kuwa utakata moto mda wowote inakuandama utapataje furaha.?
2.Una billions of money ila kila ukigongana na wanawake hautungishi mimba. Umenyimwa uwezo wa kuzaa ila wadogo zako wote wana watoto. Furaha inatoka wapi?
3. Una billions of money ila wewe ni mgonjwa wa sickle cell au cancer ya ini inakutafuna. Anytime parapanda inaweza ikalia hio furaha inatoka wapi.
Somo:
Utajiri wa kwanza ni afya njema tu kisha ndio pesa inafuata. Tofauti na hapo ni kujilisha upepo.