proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 5,363
- 6,903
Wengi wetu ambao hatuna hela za kukidhi mahitaji yetu vuzuri kv. mavazi, mlo kamili, usafiri, kutembea sehemu za starehe, kutalii, kutembea nchi za nje huwa tuna misemo fulani hivi ya kukatisha tamaa.
Misemo hiyo ni kama ifuatavyo;
Unaweza kuwa na hela nyingi lakini ukawa huna furaha.
Tunajihangaisha kwenye haya maisha lakini wote tutakufa.
Yote kwa yote ni ubatili
Unaweza kuwa na hela lakini huna mtoto
Hela hainunui furaha
Lakini wenye hela maisha yao ni mazuri na wanafanya wanachokipenda kushinda wasiokuwa na hela. Na wasiokuwa na hela ndio wanahangaika sana katika haya maisha.
Japokuwa kila mtu ana hela tofauti ni kiwango, mwenye mia ya kununua sigara tu hawezi kumfikia mtu mwenye uwezo wa kupata elfu kumi, ambapo hapo atanunua sigara na kula vizuri. Mwenye elfu kumi hawezi kumfikia mwenye uwezo kuingiza milioni kwa siku kwani yeye anaweza kusafiri nje ya nchi na kufanya biashara zake.
Ukweli hapo ni upi mbona tusiokuwa na hela ndio tunakuwa na kelele nyingi?
Mimi naamini asiyekuwa na hela hana furaha hata kidogo hata kama anayo hamfikii mwenye hela.
Misemo hiyo ni kama ifuatavyo;
Unaweza kuwa na hela nyingi lakini ukawa huna furaha.
Tunajihangaisha kwenye haya maisha lakini wote tutakufa.
Yote kwa yote ni ubatili
Unaweza kuwa na hela lakini huna mtoto
Hela hainunui furaha
Lakini wenye hela maisha yao ni mazuri na wanafanya wanachokipenda kushinda wasiokuwa na hela. Na wasiokuwa na hela ndio wanahangaika sana katika haya maisha.
Japokuwa kila mtu ana hela tofauti ni kiwango, mwenye mia ya kununua sigara tu hawezi kumfikia mtu mwenye uwezo wa kupata elfu kumi, ambapo hapo atanunua sigara na kula vizuri. Mwenye elfu kumi hawezi kumfikia mwenye uwezo kuingiza milioni kwa siku kwani yeye anaweza kusafiri nje ya nchi na kufanya biashara zake.
Ukweli hapo ni upi mbona tusiokuwa na hela ndio tunakuwa na kelele nyingi?
Mimi naamini asiyekuwa na hela hana furaha hata kidogo hata kama anayo hamfikii mwenye hela.