Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,628
- 175,954
Lazma utasononeka sana mkuu hilo halifichikiTugeuze sarafu. Vipi uwe hayo matatizo yote uliyotaja halafu HUNA HELA? Unafananishaje hayo mazingira?
Lazma utasononeka sana mkuu hilo halifichikiTugeuze sarafu. Vipi uwe hayo matatizo yote uliyotaja halafu HUNA HELA? Unafananishaje hayo mazingira?
Unaona ajabu sababu X5 huna. Ungekuwa nayo ungegundua intensity ya stress iko strong katika kila level. Hujawahi sikia Don mwenye X5 kachapiwa mke ameamua kujipiga risasi tuEti stress anazozipata mtu aliyekua ndani ya X5 ilingane sawa na stress anayeipata mtu aliyeshindia uji na muhogo! Sio kweli.
angekuwa maskini huyo ungekuta tunasoma hitma...kazikwa siku mingi....usichezee kitu pesa...yupo sewhajji ana pesa Mungu mwenyewe tajiri....wewe maskini sewhaji utaendaje utahudumiwaje utakufa kabla ya siku zako...Ubaya ni kwamba hio afya unayoibeza ndio inaku support kufungua macho, kutembeza miguu na mikono bila kusahau vidole unavyobofya bofya hio simu ili kuandika kebehi kama ulivyofanya humu. Unasahau kuna wenzako walioko Sewahaji na Mwaisela ambao pengine wana fedha hata kukuzidi ila wamelaza mbavu kwa miezi kibao hawana ubavu wa kubonyeza simu.
Ukitaka kujua hela sio kinga ya stress siku moja utatombewa huyo mpenzi wako ambaye unampa kila kitu na kumjaza mahela 😂😂😂View attachment 2869545
Friends stars mpaka ilipoanza 1995 average salary ya cast member ilikuwa $22,000 per episode. Wakati inaisha 2004 walikuwa wanalipwa $1 million per episode.
Baada ya kuisha kila mwaka walikuwa wanapata rights za rerun zaidi ya mshahara wa episodes kila mwaka, yaani wanauwezo wa kuishi maisha yao yote bila ya kufanya kazi.
Sasa Warner Bros wanatengeneza $1 billion annually kwa reruns worldwide (more than today movie blockbusters), kila member wa friends anapata $20 million dollars.
Matthew Perry kafa kwa stress na drug abuse pamoja na kuwa stable financially.
Hela muhimu ila sio kila kitu.
Kufa ni inevitableangekuwa maskini huyo ungekuta tunasoma hitma...kazikwa siku mingi....usichezee kitu pesa...yupo sewhajji ana pesa Mungu mwenyewe tajiri....wewe maskini sewhaji utaendaje utahudumiwaje utakufa kabla ya siku zako...
Tuchukulie kuna masikini na tajiri, wote wana utajiri wa afya njema.Utajiri wa kwanza ni afya njema tu kisha ndio pesa inafuata.
Mada haijasema usipokuwa na pesa una furaha, Wala ukiwa na pesa lazima ukose furaha, bali; unaweza ukawa na pesa na usiwe na furaha, in some conditions kama zilivyoelezwa na wenzetu.Sawa mkuu uko sahihi! Na vipi unaumwa U.T.I na hauna hata mia tano ya panadol? Furaha utaipata?
Au haujapata hata andazi la shilingi mia tangia asubuhi, furaha utaipata?
Na unajua kuna maskini ana afya tele ila usiku wa leo atalala na njaa?Ubaya ni kwamba hio afya unayoibeza ndio inaku support kufungua macho, kutembeza miguu na mikono bila kusahau vidole unavyobofya bofya hio simu ili kuandika kebehi kama ulivyofanya humu. Unasahau kuna wenzako walioko Sewahaji na Mwaisela ambao pengine wana fedha hata kukuzidi ila wamelaza mbavu kwa miezi kibao hawana ubavu wa kubonyeza simu.
Tumia akili wewe inamaana hapo haujaelewa nimeitaja buku kwa minajili ipi? Hizi shule za kata ni zaidi ya upumbavuKwa hiyo kununua vocha ya buku ni utajiri, UTAJIRI huanza na afya njema kwanza
Sent from my A004SH using JamiiForums mobile app
I concur by 100%Hakuna material thing yoyote inayoweza kukupa furaha na amani halisi, furaha yake inakuaje temporary .
Huenda ikawa kweliNa unajua kuna maskini ana afya tele ila usiku wa leo atalala na njaa?
Hapa nakubaliana na wewe sababu tajiri ataweza ku afford comfort zones sababu ana pesa.Tuchukulie kuna masikini na tajiri, wote wana utajiri wa afya njema.
Ila masikini hana utajiri wa pesa na huyo tajiri ana utajiri wa hela,
Alafu turudi kwenye context ya mtoa mada,
"Unaweza kukosa furaha?"
Jibu ni ndio, inawezekana, ila kuna uwezekano mkubwa wa tajiri kuwa na furaha kuliko masikini
Mondi Kuna Mambo hawezi Rudi yafanya Tena kwa level aliyonayo Sasa Uhuru ule haupoMaskini gani anajiachia na ana uhuru yupi?, Labda maskini wa ulaya aliyekuja bongo
na wewe unatakiwa uelewe kuwa afya inaanzia kwenye uchumi bora,..yani pesaUnatakiwa uelewe kuwa furaha inaanzia na well being ya mwili kwa maana afya kwanza.
Pesa hujazaliwa nazona wewe unatakiwa uelewe kuwa afya inaanzia kwenye uchumi bora,..yani pesa
pia kuna ambao hawajazaliwa na afya....Pesa hujazaliwa nazo
Hayo mawazo achaKha, kumbe hii hali inatukuta watu wote hapa Duniani enheee! nilidhani ni mimi tu.
Binafsi nisipo kua na fedha nakua mnyonge sana, yani napagawa na kujuta kwa nini nilizaliwa.
Hukosa furaha na kujiisi Dunia imesimama.
Hujawa na uzuni na kumlaumu mpa dingi kwanini alishindwa kunitengezea maisha bora.
Nashindwaga kujinyonga tu.
Ila sasa zikiingia, ghafra furaha hurejea, mwili unanawili hata wazo la kulaumu wazazi halinijii.
Dunia huiona ni sehem safi na salama.
Kiufupi jamani, pesa tamu hata tusiongopeane.
Hayo matatizo hayachagui mtu, haijalishi tajiri au masikini.
Alafu bora uugue ukiwa na pesa kuliko kuugua kipindi hauna pesa.
TUSIO NA PESA TUKAZANE KUZITAFUTA.