Wadau kwenye frige hapa nyumbani tunatumia makopo ya maji ya kawaida haya ya lita moja na nusu ndio huwa tunahifadhia maji lakini kadri siku zinavyoenda makopo mengi huwa yanabadilika na kuwa na rang kama ya udongo hv je hapa kuna mechanism gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.