Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,032
- 2,769
Kujali afya ya binadamu mwenzio hata kama unafanya biashara na unatafuta hela ni muhimu sana.
Wafanyabiashara mnatuua bila huruma sisi waja wema. Nimefika Mbezi mwisho barabara inayokwenda Kinyerezi kuna ofisi maalumu ambayo wanakusanya makopo na kupakia maji machafu yasiyofaa hata kidogo.
Wanaweka package na vifuniko wanayatia kwenye friji na kuwauzia wateja kama maji orijino. kwa kuwa yanakuwa baridi sana huwezi kugundua chochote. Hao wamana wanaofanya kazi hapo na mazingira ya eneo ni machafu kupindukia, makopo hayaoshwi na wanayaokota majalalani na kwenye mitaro michafu.
Makopo mengine yanakuwa na mikojo wao hawajali hilo wanachojali ni kupata pesa. Hii ni hatari sana!
Maji haya tunawanywesha watoto na wagonjwa. Ndiyo sababu magonjwa ya kuhara haishi hapa mjini. Jeshi la polisi na wenye viwanda jaribuni kubuni namna nyingine na kufanya misako kwa wenye hizi biashara. Wanatuua bila huruma.
Wafanyabiashara mnatuua bila huruma sisi waja wema. Nimefika Mbezi mwisho barabara inayokwenda Kinyerezi kuna ofisi maalumu ambayo wanakusanya makopo na kupakia maji machafu yasiyofaa hata kidogo.
Wanaweka package na vifuniko wanayatia kwenye friji na kuwauzia wateja kama maji orijino. kwa kuwa yanakuwa baridi sana huwezi kugundua chochote. Hao wamana wanaofanya kazi hapo na mazingira ya eneo ni machafu kupindukia, makopo hayaoshwi na wanayaokota majalalani na kwenye mitaro michafu.
Makopo mengine yanakuwa na mikojo wao hawajali hilo wanachojali ni kupata pesa. Hii ni hatari sana!
Maji haya tunawanywesha watoto na wagonjwa. Ndiyo sababu magonjwa ya kuhara haishi hapa mjini. Jeshi la polisi na wenye viwanda jaribuni kubuni namna nyingine na kufanya misako kwa wenye hizi biashara. Wanatuua bila huruma.