WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
- Thread starter
- #61
Kwangu mimi midume inayokulakula vyakula vya kike naona inapoteza hadhi ya kuitwa midume na kwa tamaduni zetu toto la kiume kuvaa shanga kiunoni ni uchuro mtupu.
Tamaduni zetu akina nani na zipi Mkuu?
Shanga hazihusiani na kula na kunywa tuakojadili sasa hivi.Hunda shanga tutajadili huo muda wake ukifika kwenye mapambo na mavazi.
Asante.