Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 3,797
- 6,868
Efficiency ni ndogo kwa sababu wasomi wengi wanawaza mshahara na sio ufanisi katika kazi.Shida inakuja efficiency ya kazi kwa wasomi ni ndogo pia.
Efficiency ni ndogo kwa sababu wasomi wengi wanawaza mshahara na sio ufanisi katika kazi.Shida inakuja efficiency ya kazi kwa wasomi ni ndogo pia.
Wanazihangaikia kama tegesha ya teuzi.Unadhani wasingekuwa bungeni wangezihangaikia hizo masters? Tubutuuu
Hamna cha plan wala nini
Ni uvivu wa kufikiri, mtu kamaliza masters afu anarudi kitaa kutupiga mizinga, inaboa kinoma
Hiyo ada ilitosha kabisa kufungua biashara
Hii ni misemo Uchwara ambayo haijawahi kutekelezwa.Mabadiliko yanaanza na wewe
Hiyo mi hainihusu Dunia Ina watu billion 8, so Dunia sio watanzania tu.Hii ni misemo Uchwara ambayo haijawahi kutekelezwa.
Wewe unaweza kubadilika ndio lakini kundi kubwa la watanzania hawataki mabadiliko wameridhika na walipo.
Kuelimika ndio kupoje mkuu? I mean tafsiri halisi ya mtu aliyeelimika ni ipi?We fala tu watu wanasoma kuelimika sio kuajiriwa
Kuelimika ni kupata maarifa katika nyanja mbali mbali kwenye mazingira yanayokuzunguka wewe binadamu.Kuelimika ndio kupoje mkuu? I mean tafsiri halisi ya mtu aliyeelimika ni ipi?
Sasa turejee kwenye mada husika, ni kwa namna Gani masters degree inaweza kuwa na msaada kwa jobless?Kuelimika ni kupata maarifa katika nyanja mbali mbali kwenye mazingira yanayokuzunguka wewe binadamu.
So mkuu masters degree Haina content za kumuongezea mtu maarifa nje ya kumsaidia kupata ajira? Halafu hata kama mtu atakuwa jobless masters aliyoipata isifanye abague kazi. Anaweza fanya hata kazi za Mtu ambaye hajasoma ila kwa kuboresha.Mtu hata kama jobless ila akiwa na masters Kuna vitu anajua ambavyo vinaweza leta impact kwenye dunia hata kama yeye atakufa maskini. Cha muhimu tofautisha kupata elimu na kupata ajira au pesa. Elimu ina nafasi yake kwenye jamii pia pesa Ina nafasi yake.Sasa turejee kwenye mada husika, ni kwa namna Gani masters degree inaweza kuwa na msaada kwa jobless?
Mwanzoni comment Yako ya kwanza, uliongea as if unapoteza muda. Hukuweza kutetea hoja Yako.So mkuu masters degree Haina content za kumuongezea mtu maarifa nje ya kumsaidia kupata ajira? Halafu hata kama mtu atakuwa jobless masters aliyoipata isifanye abague kazi. Mtu hata kama jobless ila akiwa na masters Kuna vitu anajua ambavyo vinaweza leta impact kwenye dunia hata kama yeye atakufa maskini. Cha muhimu tofautisha kupata elimu na kupata ajira au pesa. Elimu ina nafasi yake kwenye jamii pia pesa Ina nafasi yake.
Kwanza ishu ya kuongeza maarifa inategemea ni fani gani. Kuna fani bila masters maarifa bado hujaiva mfano mtu aliyesoma degree ya mathematics ili aweze kuwa mathematician mzuri lazima asome masters maana ndo nondo zilipo bachelor degree haitoshi. Japo mpaka hapo lazima awe na uwezo wa kugundua hesabu mpya pia so ikibidi hata phd itahusika hapoMwanzoni comment Yako ya kwanza, uliongea as if unapoteza muda. Hukuweza kutetea hoja Yako.
Jobless mwenye degree, akiongeza masters, maana yake atakuwa jobless mwenye masters. Kama ameshindwa kupata ajira akiwa na degree, Kwan hizo hela za kwenda kujisomesha masters asizifanye mtaji, maana ameelimika, maarifa anayo?
Achana na mathematicians, twende na degree zingine ambazo ni common. Kwanini mtu atoe hela ndefu kujisomesha masters, wakati hana ajira? Sio matumizi mabaya ya hela?Kwanza ishu ya kuongeza maarifa inategemea ni fani gani. Kuna fani bila masters maarifa bado hujaiva mfano mtu aliyesoma degree ya mathematics ili aweze kuwa mathematician mzuri lazima asome masters maana ndo nondo zilipo bachelor degree haitoshi. Japo mpaka hapo lazima awe na uwezo wa kugundua hesabu mpya pia so ikibidi hata phd itahusika hapo
Mkuu mtaani watu kibao tunawaona Wana masters na CPA lakini hawana kazi yoyote.So mkuu masters degree Haina content za kumuongezea mtu maarifa nje ya kumsaidia kupata ajira? Halafu hata kama mtu atakuwa jobless masters aliyoipata isifanye abague kazi. Anaweza fanya hata kazi za Mtu ambaye hajasoma ila kwa kuboresha.Mtu hata kama jobless ila akiwa na masters Kuna vitu anajua ambavyo vinaweza leta impact kwenye dunia hata kama yeye atakufa maskini. Cha muhimu tofautisha kupata elimu na kupata ajira au pesa. Elimu ina nafasi yake kwenye jamii pia pesa Ina nafasi yake.
Achana na mathematicians, twende na degree zingine ambazo ni common. Kwanini mtu atoe hela ndefu kujisomesha masters, wakati hana ajira? Sio matumizi mabaya ya hela?
Ishu ya kazi sio mpaka uwe umesoma, ukiwa na masters na cpa halafu huja ajiriwa haimaanishi elimu Yako Haina maana.Mkuu mtaani watu kibao tunawaona Wana masters na CPA lakini hawana kazi yoyote.