Unaweza ukawa na PhD ya Bongo na Performance yako ikawa sawa au Chini ya Mtu Mwenye Degree Moja

the power

Member
Oct 18, 2012
85
105
Nimefanya kazi na watu watu wenye elimu (academic performance)mbalimbali na uzoefu mbalimbali (working experiences) kwenye fani mbalimbali (faculties).

Kwa sasa ninaweza kuthibisha kati ya waliofanya kazi na mimi basi wale waliokuwa na PhDs walikuwa na ufahamu na ufanisi mzuri (competency and skills) mkubwa kuliko wale wenye masters na degree moja kwa wingi wao.

Ila kilichonishangaza na kunifanya nitoke na andiko hili ni kwamba kuna PhDs nyingine zilinishtua na kunifadhaisha sana, hasa kwenye uwezo wao wa kujenga hoja za kisayansi, kumake a case, kuanalyse na kusumarize content, kunarrate na kuelezea plans na findings kisayansi kunatia mashaka

Wengi kati ya hao performers ambao hawakumeet my expectation according to their level of education wamepatia PhD zao either hapa hapa Bongo au ni zile za thesis bila kufanya comprehensive research. Kibaya nyingi ni za faster-faster kwa kutumia project research ambazo either zilifanywa na team ya wataalamu kama project , wao wakazitumia kuzishap na kuziredesign na kuandikia maandiko ya PhD

Ebu tupatie uzoefu wako ya wataalamu wetu hawa bila kutumia lugha ya kusikashfu hizi PhDs na tunajua nyingine chache hasa wa vyuo vikuu ilibidi zifutwe ?

Naomba nieleweki sina wivu na ninawapongeza kwani msoto wa PhD sio mchezo na simahanishi hakuna PhD nzuri za Bongo wala simahanishi PhD za harakaharaka za thesis-bases ni mbaya, ila kwa uzoefu wangu nimeconclude kulingana na personal observation .

Lesson learnt ni kwamba siku nikitaka kuchukua PhD basi itanibidi nijitahidi nijue niichukulie wapi na iwe ya aina gani na modality ipi?. This is my personal obervation so my conclusion, please don't take it personal, I might be wrong since my conclusion was not derived from scientific analysis thus sikuweza kucontrol other confounders (variables) ambazo ni nyingi.
 
Wapo akina profesa majalala nk
Hakuna siku nilipokwazika sana kama siku ile. Yule jamaa alikuwa profesa na mkuu wa idara kwa miaka zaidi ya 25 . Hivi je kama wanafunzi inatakiwa wabebe philosofia na ideologies za maprofesa wao, atakuwa amezalisha product za namna gani kwa miaka zaidi ya 35 aliyokaa pale chuo kikuu.

Kwa kweli alitakiwa aombe radhi kwa academic communities za universities zote kwa kuziita wanafanya kazi jalalani. Ogopa njaa ,power, prosperity ni vitu vibaya sana.
 
Tz bana ukiwa na elimu kosa kilamtu anataka uwe na mi-data kama ChatGPT, muda wote mijitu inakuangalia angalia yaani utaishi kama roboti yaani.

Tz bora usisome hauta enjoy maisha kabisa muda wote wewe tu
 
Nimefanya kazi na watu watu wenye elimu (academic performance)mbalimbali na uzoefu mbalimbali (working experiences) kwenye fani mbalimbali (faculties).

Kwa sasa ninaweza kuthibisha kati ya waliofanya kazi na mimi basi wale waliokuwa na PhDs walikuwa na ufahamu na ufanisi mzuri (competency and skills) mkubwa kuliko wale wenye masters na degree moja kwa wingi wao.

Ila kilichonishangaza na kunifanya nitoke na andiko hili ni kwamba kuna PhDs nyingine zilinishtua na kunifadhaisha sana, hasa kwenye uwezo wao wa kujenga hoja za kisayansi, kumake a case, kuanalyse na kusumarize content, kunarrate na kuelezea plans na findings kisayansi kunatia mashaka

Wengi kati ya hao performers ambao hawakumeet my expectation according to their level of education wamepatia PhD zao either hapa hapa Bongo au ni zile za thesis bila kufanya comprehensive research. Kibaya nyingi ni za faster-faster kwa kutumia project research ambazo either zilifanywa na team ya wataalamu kama project , wao wakazitumia kuzishap na kuziredesign na kuandikia maandiko ya PhD

Ebu tupatie uzoefu wako ya wataalamu wetu hawa bila kutumia lugha ya kusikashfu hizi PhDs na tunajua nyingine chache hasa wa vyuo vikuu ilibidi zifutwe ?

Naomba nieleweki sina wivu na ninawapongeza kwani msoto wa PhD sio mchezo na simahanishi hakuna PhD nzuri za Bongo wala simahanishi PhD za harakaharaka za thesis-bases ni mbaya, ila kwa uzoefu wangu nimeconclude kulingana na personal observation .

Lesson learnt ni kwamba siku nikitaka kuchukua PhD basi itanibidi nijitahidi nijue niichukulie wapi na iwe ya aina gani na modality ipi?. This is my personal obervation so my conclusion, please don't take it personal, I might be wrong since my conclusion was not derived from scientific analysis thus sikuweza kucontrol other confounders (variables) ambazo ni nyingi.
Ukidadisi sana andiko lako, utagundua huna PhD. Hivyo utafiti (?) wako inaonesha ulikuwa biased. Acha kudadisi vitu vilivyo juu yako
 
Ahaaaa, ndiyo maana ya normative norms, kuna expetations za jamii lazima uzimeet kama uko competent kwa kiwango cha elimu ulichowaaminisha wanajamii haohao
 
Mnnh mie kwa bongo sionagi tofauti yoyote ya msomi na mtu asiesoma, wote level yao moja tu. Na tena ambae hajasoma anaweza kumzidi aliesoma katika kuchanganua mambo. Ni hivi baba levo au mwijaku hawana tofauti na mwigulu au nape. Waziri wa fedha anasema mambo mazuri kwa vile number za magari zinasonga ???Kweli???
 
Nimefanya kazi na watu watu wenye elimu (academic performance)mbalimbali na uzoefu mbalimbali (working experiences) kwenye fani mbalimbali (faculties).

Kwa sasa ninaweza kuthibisha kati ya waliofanya kazi na mimi basi wale waliokuwa na PhDs walikuwa na ufahamu na ufanisi mzuri (competency and skills) mkubwa kuliko wale wenye masters na degree moja kwa wingi wao.

Ila kilichonishangaza na kunifanya nitoke na andiko hili ni kwamba kuna PhDs nyingine zilinishtua na kunifadhaisha sana, hasa kwenye uwezo wao wa kujenga hoja za kisayansi, kumake a case, kuanalyse na kusumarize content, kunarrate na kuelezea plans na findings kisayansi kunatia mashaka

Wengi kati ya hao performers ambao hawakumeet my expectation according to their level of education wamepatia PhD zao either hapa hapa Bongo au ni zile za thesis bila kufanya comprehensive research. Kibaya nyingi ni za faster-faster kwa kutumia project research ambazo either zilifanywa na team ya wataalamu kama project , wao wakazitumia kuzishap na kuziredesign na kuandikia maandiko ya PhD

Ebu tupatie uzoefu wako ya wataalamu wetu hawa bila kutumia lugha ya kusikashfu hizi PhDs na tunajua nyingine chache hasa wa vyuo vikuu ilibidi zifutwe ?

Naomba nieleweki sina wivu na ninawapongeza kwani msoto wa PhD sio mchezo na simahanishi hakuna PhD nzuri za Bongo wala simahanishi PhD za harakaharaka za thesis-bases ni mbaya, ila kwa uzoefu wangu nimeconclude kulingana na personal observation .

Lesson learnt ni kwamba siku nikitaka kuchukua PhD basi itanibidi nijitahidi nijue niichukulie wapi na iwe ya aina gani na modality ipi?. This is my personal obervation so my conclusion, please don't take it personal, I might be wrong since my conclusion was not derived from scientific analysis thus sikuweza kucontrol other confounders (variables) ambazo ni nyingi.
Performance ipi hiyo,

maana wapo watu mjini na digrii na masterz zao wanaburuza viatu kutafta kazi tangu 2015 mpaka sasa hakijaelewaka, hana mtoto, hana plot, hana mchumba, hana pesa ni vizinga tu, nguvu za kijinsia zimeanza kulegalega, anaishi kwa uncle na shemeji, mvi zimemjaa n.k

halafu kuna uliemaliza nae darasa la saba miaka ya nyuma kule kijijini, ana watoto 7, mahekalu mawili ya kuishi na familia yake, ana gest house &lodge, ana tugari tuwili twakutembelea na treckta moja, ana shamba ekari 500 na godown mbili zilizosheheni mazao, ana ng'ombe, mbuzi, kondoo na punda wasio pungua 1000 n.k

sasa kwa mfano hapo performance utaipima aje kwa mwenye digrii, masters na PhD 🐒

au nani anastahili kua na PhD apo 🐒
 
Sababu ni moja tu mwenye PhD anapewa kazi ya kufanya ya mtu mwenye digrii moja
Mwenye PhD anatakiwa apewe kazi inayolingana na PhD yake
 
Ukidadisi sana andiko lako, utagundua huna PhD. Hivyo utafiti (?) wako inaonesha ulikuwa biased. Acha kudadisi vitu vilivyo juu yako
Inaonekana uwezo wako wa kusoma andiko una mapungufu mengi. Kila ulichoongelea nimekitaja ila nimeconclude strength na weakness ya conclusion yangu. Ila sio mpaka uwe na PhD ndipo uwe na uwezo wa kufanya research, wengi wana publication kibao lakini hawana PhD. Na ninafikiri wewe ni mmoja kati ya waliotajwa hapo kwani umereact irrationally. Kumbuka na ninarudia tean na nimesema hii ni obsevation research mara nyingi ina strength na weakness zake. Rudia kusoma andiko vizuri limejieleza lenyewe. Paragraph ya pili imetoa general conclusion, ila kuna baadhi ya outlayers ndio niliowaongelea.Pole kama nimekukwaza
 
Aliyesema "umenitoa jalalani " kumbe hapo ni majalala tu! Mwenye uzi labda umetumia hayo maneno katika kujenga hoja yako.
 
Performance ipi hiyo,

maana wapo watu mjini na digrii na masterz zao wanaburuza viatu kutafta kazi tangu 2015 mpaka sasa hakijaelewaka, hana mtoto, hana plot, hana mchumba, hana pesa ni vizinga tu, nguvu za kijinsia zimeanza kulegalega, anaishi kwa uncle na shemeji, mvi zimemjaa n.k

halafu kuna uliemaliza nae darasa la saba miaka ya nyuma kule kijijini, ana watoto 7, mahekalu mawili ya kuishi na familia yake, ana gest house &lodge, ana tugari tuwili twakutembelea na treckta moja, ana shamba ekari 500 na godown mbili zilizosheheni mazao, ana ng'ombe, mbuzi, kondoo na punda wasio pungua 1000 n.k

sasa kwa mfano hapo performance utaipima aje kwa mwenye digrii, masters na PhD 🐒

au nani anastahili kua na PhD apo 🐒
Yaani wabongo bwana hatuwezi kusoma between lines tunasoma ili kumbishia aliyeandika hivi ni wapi mimi nimesema suala la kulinganisha PhD na degree nyingine na kufanikiwa kimaisha. Ebu tuwe tunasoma maandiko kwa kutulia.

Unaulizia performance ipi? Hivi rudia paragraph ya kwanza wewe kama msomi nimeandika hivi (copy and paste)

"Nimefanya kazi na watu watu wenye elimu (academic performance)mbalimbali na uzoefu mbalimbali (working experiences) kwenye fani mbalimbali (faculties)"

Lakini nimeendelea kuongelea masuala ya kumake a case, planning and analysis skills, Halafu mtu anauliza performance ipi? narudia tena wabongo tunasafari ndefu sana hasa kwenye upande wa kuelewa logic na kujenga hoja (make a case). Sisi tuna-safari ndefu sana
 
Nimefanya kazi na watu watu wenye elimu (academic performance)mbalimbali na uzoefu mbalimbali (working experiences) kwenye fani mbalimbali (faculties).

Kwa sasa ninaweza kuthibisha kati ya waliofanya kazi na mimi basi wale waliokuwa na PhDs walikuwa na ufahamu na ufanisi mzuri (competency and skills) mkubwa kuliko wale wenye masters na degree moja kwa wingi wao.

Ila kilichonishangaza na kunifanya nitoke na andiko hili ni kwamba kuna PhDs nyingine zilinishtua na kunifadhaisha sana, hasa kwenye uwezo wao wa kujenga hoja za kisayansi, kumake a case, kuanalyse na kusumarize content, kunarrate na kuelezea plans na findings kisayansi kunatia mashaka

Wengi kati ya hao performers ambao hawakumeet my expectation according to their level of education wamepatia PhD zao either hapa hapa Bongo au ni zile za thesis bila kufanya comprehensive research. Kibaya nyingi ni za faster-faster kwa kutumia project research ambazo either zilifanywa na team ya wataalamu kama project , wao wakazitumia kuzishap na kuziredesign na kuandikia maandiko ya PhD

Ebu tupatie uzoefu wako ya wataalamu wetu hawa bila kutumia lugha ya kusikashfu hizi PhDs na tunajua nyingine chache hasa wa vyuo vikuu ilibidi zifutwe ?

Naomba nieleweki sina wivu na ninawapongeza kwani msoto wa PhD sio mchezo na simahanishi hakuna PhD nzuri za Bongo wala simahanishi PhD za harakaharaka za thesis-bases ni mbaya, ila kwa uzoefu wangu nimeconclude kulingana na personal observation .

Lesson learnt ni kwamba siku nikitaka kuchukua PhD basi itanibidi nijitahidi nijue niichukulie wapi na iwe ya aina gani na modality ipi?. This is my personal obervation so my conclusion, please don't take it personal, I might be wrong since my conclusion was not derived from scientific analysis thus sikuweza kucontrol other confounders (variables) ambazo ni nyingi.
Tanzania tuna shida moja, hatu utilize wasomi based on walichokisomea. Leo wizara hii ina mtu ana phd ya kitu kingine kabisa. Leo tuna mkuu wa idara fulani kasomea hiki lakini anapews majuku mengine kabisa. Unadhani ata perform?

Elimu yetu watu wanasoma wapate pesa, si kuitumikia elimu. Ni wachache sana
 
Nimefanya kazi na watu watu wenye elimu (academic performance)mbalimbali na uzoefu mbalimbali (working experiences) kwenye fani mbalimbali (faculties).

Kwa sasa ninaweza kuthibisha kati ya waliofanya kazi na mimi basi wale waliokuwa na PhDs walikuwa na ufahamu na ufanisi mzuri (competency and skills) mkubwa kuliko wale wenye masters na degree moja kwa wingi wao.

Ila kilichonishangaza na kunifanya nitoke na andiko hili ni kwamba kuna PhDs nyingine zilinishtua na kunifadhaisha sana, hasa kwenye uwezo wao wa kujenga hoja za kisayansi, kumake a case, kuanalyse na kusumarize content, kunarrate na kuelezea plans na findings kisayansi kunatia mashaka

Wengi kati ya hao performers ambao hawakumeet my expectation according to their level of education wamepatia PhD zao either hapa hapa Bongo au ni zile za thesis bila kufanya comprehensive research. Kibaya nyingi ni za faster-faster kwa kutumia project research ambazo either zilifanywa na team ya wataalamu kama project , wao wakazitumia kuzishap na kuziredesign na kuandikia maandiko ya PhD

Ebu tupatie uzoefu wako ya wataalamu wetu hawa bila kutumia lugha ya kusikashfu hizi PhDs na tunajua nyingine chache hasa wa vyuo vikuu ilibidi zifutwe ?

Naomba nieleweki sina wivu na ninawapongeza kwani msoto wa PhD sio mchezo na simahanishi hakuna PhD nzuri za Bongo wala simahanishi PhD za harakaharaka za thesis-bases ni mbaya, ila kwa uzoefu wangu nimeconclude kulingana na personal observation .

Lesson learnt ni kwamba siku nikitaka kuchukua PhD basi itanibidi nijitahidi nijue niichukulie wapi na iwe ya aina gani na modality ipi?. This is my personal obervation so my conclusion, please don't take it personal, I might be wrong since my conclusion was not derived from scientific analysis thus sikuweza kucontrol other confounders (variables) ambazo ni nyingi.
Wazee wa zaman hawakua na PHD Wala kisomo Ila walikua na ELIMU kubwa na waliweza kuyatawala maisha yao..

NB:
Ukiwa na PHD ambayo haikusaidii kuweza kutawala Maisha YAKO hauna tofauti na kina """JOHN KISOMO"""

Kuna tofauti kidogo kwenye ELIMU kuelimika na ELIMU vyeti...

ELIMU kwangu inabakia kua confidence na huwaga sinaga EXCUSES Kama rafik yangu mmoja ambae hujilaumu ""NINGESOMA"" so ELIMU kwangu Ni ngao na nyenzo muhimu ya kupambana na maisha DEGREE ZANGU ZOTEE ZIPO KABATINI na Wala sijawai kuniona Bora ama kujivuna na kujiweka mbali na jamii yangu..

✍️ Dr am 4 real PhD
 
Aliyesema "umenitoa jalalani " kumbe hapo ni majalala tu! Mwenye uzi labda umetumia hayo maneno katika kujenga hoja yako.
Ahhaaa, nimekuelewa sentiment yako mkuu, hiyo connection lazima uwe umesoma between lines na kuangalia big picture ya andiko lenyewe ili uweze kuconnect na tamko la jalalani
 
Tanzania tuna shida moja, hatu utilize wasomi based on walichokisomea. Leo wizara hii ina mtu ana phd ya kitu kingine kabisa. Leo tuna mkuu wa idara fulani kasomea hiki lakini anapews majuku mengine kabisa. Unadhani ata perform?

Elimu yetu watu wanasoma wapate pesa, si kuitumikia elimu. Ni wachache sana
Nakubaliana na hoja mkuu. Hizi ndizo relevant and logic counter-attack urguments tunazozitegemea jamii forum.

Kwamba inawezekana performance zao hazionekani kwa sababu kitu walichosomea na kazi na mazingira ya ufanyaji kazi sio wezeshi au havifanani kabisa, huwezi kuona tija ya PhD hapo.

Nakubaliana kabisa na hoja yako mkuu. Aksante
 
Back
Top Bottom