mlimbwende
Member
- Jul 15, 2011
- 74
- 26
Asante ndugu. Muungwana usema ukweli, wewe ni muungwana. Ukweli utasaidia kuleta mabadiliko na kurekebisha mapungufu. Sio wengine wanao ficha uozo. Big up!
mzumbe kiboko bwana hata kama wana kozi 25 tunawakubali huku maofisini. ukumpa kazi kuifanya hupati tabu. hasa accounts ni wazuri kwa kweli.