Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Hello jf!!eti ni kweli watu wanaograduate mzumbe,pindi wanapoenda kufanya masters kwenye vyuo vingne,wengi wao huwa wanafeli ukilinganisha na wenzao waliotoka udsm na sua,kama ni kweli tatzo ni nin hadi washndwe au ni wapi mzumbe wanapwaya ukiwalinganisha na wenzao wa sua na udsm?