Hivi hili la mzumbe university limekaaje?

nikuambie kitu we chalii,usintafutie ban ya nguvu..ni vema uulze kwanza ni program gan zinazozungumziwa hapa na co unaleta u.m.a.l.a.y.a. wako wa huko mzumbe hapa jf.

sasa kama unajua kuna baadhi ya programu,kwanini ume-generalize mambo,...!!andika vitu vinavyoeleweka usiwe kama "elton john" bwana...!!
Senetor shida yako kubwa "MASABURI yako yanawasha hayo" mazali prince kafika atakutafuna ili yaache kuhuma.
 
senetor kama upo Dar naomba ufike pale Upanga wana cumpus yao kama upo Morogoro ushindwe mwenyewe ,mbeya na Mwanza nako pia wana cumpus..Naona sasa mnafanya JF kuwa kijiwe cha soga za kijinga jinga....Unadhani vyuo vinapimwa kwa wingi au uchache wa kozi.....Hata kama kuna kozi 100 kama hawajui ni hawajui tu..Mzumbe nao ni bomu tu hakuna kitu pale maana staff wao nawafahamu sana.
 
nimekuwa karibu na employers wengi sana tz na ktk kufanya maamuzi ya nani apewe kazi, ukweli ni kwamba wana imani ndogo sana na hawa graduates labda ashikwe mkono..! au competition isiwepo lkn BAF wanaaminika

msijenge chuki kwenye ukweli.
 
Wakuu naomba kuwa mkweli,

mzumbe ni chuo changu nimegraduate ila kile chuo kina mapungufu yake kama ifuatavyo,

1. Mzumbe ukiwa na pesa za kutosha hata usipo soma unaweza ondoka GPA kali sana, mfano kuna secretary mmoja wa department ya hrm, alikuwa ni bingwa wa kubadilishia wanafunzi max, ukimpa kilo moja anakutengenezea gps ya kufa mtu.

2. Mzumbe mitihani inavuja na nazani ndo chuo pekee hapa bongo ambacho huwa paper inavuja, nikiwa pale ilisha wahi vuja

3. Sababu ya kua GPA KALI nyingi ni kwamba hata paper huwa kuna walimu wanatoa maswali yatakayo toka kwenye peper na kweli ukiingia unayakuta kama yalivyo.

4. Na mitihani mzumbe huvuja kupitia kwa mademu, mademu pale mzumbe wanapewa sana maswali ya mitihani, ilikuwa ikikalibia kipindi cha paper watu walikuwa wanaanza kuwa kalibu na mademu.

5. Walimu wengi wa mzumbe wana qualification za kuunga uunga sana na kama mtakumbuka mwaka jana au juzi kuna walimu kama watatu walinyang'anywa u doctor wao kisa wamesoma kwenye vyuo visivyo tambulika so wale walimu hata class hufundisha mambo mepesi mepesi tu,
 
wakuu naomba kuwa mkweli,

mzumbe ni chuo changu nimegraduate pale , ila kile chuo kina mapungufu yake kama ifuatavyo,

1. Mzumbe ukiwa na pesa za kutosha hata usipo soma unaweza ondoka GPA kali sana, mfano kuna secretary mmoja wa department ya hrm, alikuwa ni bingwa wa kubadilishia wanafunzi max, ukimpa kilo moja anakutengenezea gps ya kufa mtu.

2. Mzumbe mitihani inavuja na nazani ndo chuo pekee hapa bongo ambacho huwa paper inavuja, nikiwa pale ilisha wahi vuja

3. Sababu ya kua GPA nyingi ni kwamba hata paper huwa kuna walimu wanatoa maswali yatakayo toka kwenye peper na kweli ukiingia unayakuta kama yalivyo.

4. Na mitihani mzumbe huvuja kupitia kwa mademu, mademu pale mzumbe wanapewa sana maswali ya mitihani, ilikuwa ikikalibia kipindi cha paper watu walikuwa wanaanza kuwa kalibu na mademu.

5. Walimu wengi wa mzumbe wana qualification za kuunga uunga sana na kama mtakumbuka mwaka jana au juzi kuna walimu kama watatu walinyang'anywa u doctor wao kisa wamesoma kwenye vyuo visivyo tambulika so wale walimu hata class hufundisha mambo mepesi mepesi tu,

wakuu c jaandika hapa kupondea chuo ila nilicho kiandika ni cha ukweli asilimi 100, kama kuna mtu anabisha basi apinge kwa hoja na c polojo
 
Wakuu naomba kuwa mkweli,

mzumbe ni chuo changu nimegraduate pale 2008, ila kile chuo kina mapungufu yake kama ifuatavyo,

1. Mzumbe ukiwa na pesa za kutosha hata usipo soma unaweza ondoka gps kali sana, mfano kuna secretary mmoja wa department ya hrm, alikuwa ni bingwa wa kubadilishia wanafunzi max, ukimpa kilo moja anakutengenezea gps ya kufa mtu.

2. Mzumbe mitihani inavuja na nazani ndo chuo pekee hapa bongo ambacho huwa paper inavuja, nikiwa pale ilisha wahi vuja

3. Sababu ya kuoa gps nyingi ni kwamba hata paper huwa kuna walimu wanatoa maswali yatakayo toka kwenye peper na kweli ukiingia unayakuta kama yalivyo.

4. Na mitihani mzumbe huvuja kupitia kwa mademu, mademu pale mzumbe wanapewa sana maswali ya mitihani, ilikuwa ikikalibia kipindi cha paper watu walikuwa wanaanza kuwa kalibu na mademu.

5. Walimu wengi wa mzumbe wana qualification za kuunga uunga sana na kama mtakumbuka mwaka jana au juzi kuna walimu kama watatu walinyang'anywa u doctor wao kisa wamesoma kwenye vyuo visivyo tambulika so wale walimu hata class hufundisha mambo mepesi mepesi tu,

Kama hayo yote hayatopingwa basi hakuna Chuo pale!
 
sasa kama unajua kuna baadhi ya programu,kwanini ume-generalize mambo,...!!andika vitu vinavyoeleweka usiwe kama "elton john" bwana...!!
Senetor shida yako kubwa "MASABURI yako yanawasha hayo" mazali prince kafika atakutafuna ili yaache kuhuma.

Namna hii mnatukanisha usomi wenu na hivyo vyuo vyenu, kwanini msijibizane hoja kwa hoja?
 
Harafu ukitaka masters bila kuingia darasani nenda Mzumbe ya Dar, maana utamtuma mtu atakulipia ada, atafanya registration, na utaongea na walimu wa pale utafanyiwa kila kitu mpaka dissertation na hizo dissertation huwa hawasomi wanasign tu. Lakini huo mfumo wa mzumbe ndo unaenea sehemu nyingi za Tanzania except UDSM kidogo bado wana standards when you compare with other tz universities.

Vipi kuhusu SUA?
 
wakuu naomba kuwa mkweli,

mzumbe ni chuo changu nimegraduate pale , ila kile chuo kina mapungufu yake kama ifuatavyo,

1. Mzumbe ukiwa na pesa za kutosha hata usipo soma unaweza ondoka gps kali sana, mfano kuna secretary mmoja wa department ya hrm, alikuwa ni bingwa wa kubadilishia wanafunzi max, ukimpa kilo moja anakutengenezea gps ya kufa mtu.

2. Mzumbe mitihani inavuja na nazani ndo chuo pekee hapa bongo ambacho huwa paper inavuja, nikiwa pale ilisha wahi vuja

3. Sababu ya kuoa gps nyingi ni kwamba hata paper huwa kuna walimu wanatoa maswali yatakayo toka kwenye peper na kweli ukiingia unayakuta kama yalivyo.

4. Na mitihani mzumbe huvuja kupitia kwa mademu, mademu pale mzumbe wanapewa sana maswali ya mitihani, ilikuwa ikikalibia kipindi cha paper watu walikuwa wanaanza kuwa kalibu na mademu.

5. Walimu wengi wa mzumbe wana qualification za kuunga uunga sana na kama mtakumbuka mwaka jana au juzi kuna walimu kama watatu walinyang'anywa u doctor wao kisa wamesoma kwenye vyuo visivyo tambulika so wale walimu hata class hufundisha mambo mepesi mepesi tu,

wakuu c jaandika hapa kupondea chuo ila nilicho kiandika ni cha ukweli asilimi 100, kama kuna mtu anabisha basi apinge kwa hoja na c polojo

dah!!kazi kweli kweli,kumbe mara mia mtu ukakomae zako hata udom tu.
 
kwa credits hours,mzumbe hadi mtu anagraduate,anatakiwa awe nazo 60,yani 10 per each semister nd 2@cours,udsm mtu anatakiwa awe nazo 108 yan 18 @semister nd 3@cours,sua anakua nazo 72, 12@semistr

Ili uweze kufikia hitimisho sahihi la hoja yako tazama pia course contents kwa degree zinazofanana baina ya vyuo tofauti. Zipo courses ambazo ni combination ya courses mbili hadi tatu (kulinganisha chuo na chuo) na zipo nyingine zimegawanywa kwa idadi hiyo hiyo. Anza na courses unazosoma wewe katika degree yako hapo UD linganisha na SAUT, SJUT,UDOM na MU.
 
kwa credits hours,mzumbe hadi mtu anagraduate,anatakiwa awe nazo 60,yani 10 per each semister nd 2@cours,udsm mtu anatakiwa awe nazo 108 yan 18 @semister nd 3@cours,sua anakua nazo 72, 12@semistr
Saut 120 so?
 
Ukiwa nje nadhani watu wengi watakuwa na msimamo hasi ju saut lakini binafsi si makazini tu ila hata ktk sehemu mbalimbali nimeona product ya saut imekuwa marketable sana,hapa kwetu mkurugenzi anasema angekuwa anaajili yeye anawapenda sana product ya huko,naambiwa wanasoma vitu vingi kuliko vyuo vyote hapa nchini,hivi ni kweli au?mana eti mtu mpaka anamaliza mfano education anakuwa amesoma coz kama 60 hivi.wat about other university
 
acheni upuuzi na manmeno ya mtaani angalikeni kwa umakini nimesoma cheti udism dip tumaini bach mzumbe nakiri elimu ya mzumbe japo sio nzuri sana ina complecation hasa kwa miaka ya karibuni its the only chuo no 1 can get GPA 5 POINTS ,CHUNGUZENI

ndugu yangu hiyo ni Mzumbe ipi?? au ni ile Campus ya Mirembe!
 
Ukiwa nje nadhani watu wengi watakuwa na msimamo hasi ju saut lakini binafsi si makazini tu ila hata ktk sehemu mbalimbali nimeona product ya saut imekuwa marketable sana,hapa kwetu mkurugenzi anasema angekuwa anaajili yeye anawapenda sana product ya huko,naambiwa wanasoma vitu vingi kuliko vyuo vyote hapa nchini,hivi ni kweli au?mana eti mtu mpaka anamaliza mfano education anakuwa amesoma coz kama 60 hivi.wat about other university

yani huyu nae anakiongelea kile chuo cha vilaza hapa,sasa wewe ungekuwa mzazi na una mwanao ungemshauri kati ya udsm au saut,sua au saut,mzumbe au saut,ardhi au saut achague wapi kama kapata div 1 au div 2? Acha kuongea ujinga hapa jf,mtu kilaza hata akilala kitanda kimoja na professa ataendelea kuwa kilaza tu,haiwezekani mwajiri ampe kipaumbele kilaza amuache kichwa labda KAMLETE ila kwa haki lazima great thinker ndio apewe kipaumbele,na great thinkers hawapatikani saut wala vijivyuo vingine bali wanapatikana katika PUBLIC UNIVERSITIES ONLY.
 
Wakuu naomba kuwa mkweli,

mzumbe ni chuo changu nimegraduate ila kile chuo kina mapungufu yake kama ifuatavyo,

1. Mzumbe ukiwa na pesa za kutosha hata usipo soma unaweza ondoka GPA kali sana, mfano kuna secretary mmoja wa department ya hrm, alikuwa ni bingwa wa kubadilishia wanafunzi max, ukimpa kilo moja anakutengenezea gps ya kufa mtu.

2. Mzumbe mitihani inavuja na nazani ndo chuo pekee hapa bongo ambacho huwa paper inavuja, nikiwa pale ilisha wahi vuja

3. Sababu ya kua GPA KALI nyingi ni kwamba hata paper huwa kuna walimu wanatoa maswali yatakayo toka kwenye peper na kweli ukiingia unayakuta kama yalivyo.

4. Na mitihani mzumbe huvuja kupitia kwa mademu, mademu pale mzumbe wanapewa sana maswali ya mitihani, ilikuwa ikikalibia kipindi cha paper watu walikuwa wanaanza kuwa kalibu na mademu.

5. Walimu wengi wa mzumbe wana qualification za kuunga uunga sana na kama mtakumbuka mwaka jana au juzi kuna walimu kama watatu walinyang'anywa u doctor wao kisa wamesoma kwenye vyuo visivyo tambulika so wale walimu hata class hufundisha mambo mepesi mepesi tu,

umesoma course gani na umemaliza mwaka gani?
 
wakuu naomba kuwa mkweli,

mzumbe ni chuo changu nimegraduate pale , ila kile chuo kina mapungufu yake kama ifuatavyo,

1. Mzumbe ukiwa na pesa za kutosha hata usipo soma unaweza ondoka GPA kali sana, mfano kuna secretary mmoja wa department ya hrm, alikuwa ni bingwa wa kubadilishia wanafunzi max, ukimpa kilo moja anakutengenezea gps ya kufa mtu.

2. Mzumbe mitihani inavuja na nazani ndo chuo pekee hapa bongo ambacho huwa paper inavuja, nikiwa pale ilisha wahi vuja

3. Sababu ya kua GPA nyingi ni kwamba hata paper huwa kuna walimu wanatoa maswali yatakayo toka kwenye peper na kweli ukiingia unayakuta kama yalivyo.

4. Na mitihani mzumbe huvuja kupitia kwa mademu, mademu pale mzumbe wanapewa sana maswali ya mitihani, ilikuwa ikikalibia kipindi cha paper watu walikuwa wanaanza kuwa kalibu na mademu.

5. Walimu wengi wa mzumbe wana qualification za kuunga uunga sana na kama mtakumbuka mwaka jana au juzi kuna walimu kama watatu walinyang'anywa u doctor wao kisa wamesoma kwenye vyuo visivyo tambulika so wale walimu hata class hufundisha mambo mepesi mepesi tu,

wakuu c jaandika hapa kupondea chuo ila nilicho kiandika ni cha ukweli asilimi 100, kama kuna mtu anabisha basi apinge kwa hoja na c polojo

nashukuru sana mkuu,ukisoma post yangu ya hapo juu basi hayo ndiyo wayasemayo waajiri wengi niliogopa kuyamwaga hapo juu kwakuwa sikupenda kuporomoshewa matusi

unayesifia SAUT pole sana, pale huwa wanaenda watu wa mikoa mingine wasioishi mwanza au ukiona tu wa mwanza ameenda pale basi ujue alikosa vyuo vyote tz so hakuwa na jinsi... butimba ttc inaheshimika kuliko saut
 
Binafsi nimechoshwa na threads za Senator. Licha ya kwamba mada za ushindani wa vyuo zilikwisha zuiwa kwa kuwa hazina tija, lakin bado anathubutu kuanzisha thread madamu wana JF waishie katika malumbano. Ninayo maswali machache ya kuwauliza kwa wale wenye mtizamo kama wa Senator.
  • Je yule anayetoa ithibati za vyuo vikuu hana upeo mkubwa zaidi kuliko Senator?
  • Anayetazama kwamba programme zinakidhi vigezo vya shahada hajaliona hilo?
  • Je kinachotolewa UDSM ndiyo standard duniani kote?
  • Je namba ya course units kwa muda wote zimekuwa sawa katika vyuo vya UDSM na SUA?
  • Je B.Com ya miaka 1990s ilikuwa na the same number of course units na zile za sasa?
  • Je course units za LLB OUT ni sawa na UDSM na SAUT?
  • Je MBA course units za UDSM ni sawa za MA (Kiswahili at the same University au MA (Public Administration? )
  • Je MHRM ya OUT ina course units sawa na MSc ya Mzumbe?
  • Kwani mtu akienda kusoma MSc.Accounting and Finance Uingereza itakuwa na similar course units na zile za Mzumbe?
  • Je Bachelor of Public Administration katika VYUO vya USA ina similar course units na zile za Japan?
(Non in quantitate sed in qualitate the latins once said)

Hata hivyo naweza jikuta natumia muda mwingi kumwelewesha mtu ambaye level yake bado iko chini sana. Kumbe Senator bado upo undergraduate na ndo unatafuta kazi uhamiaji sasa. Kwa taarifa yako hakuna graduate wa Mzumbe anayefikiria kwenda kufanya kazi uhamiaji. Watu wanapiga porojo kwa kuwa wemeishia katika frustration za kukosa kazi kinyume na walivyotegemea. Kwa yeyote anayeshabikia thread hii hebu ajibu maswali hayo hapo juu ndipo aendeleze ubishi na ushabiki usio na mantiki yoyote.

Najua kuna watu nimewakera sana.
 
acheni upuuzi na manmeno ya mtaani angalikeni kwa umakini nimesoma cheti udism dip tumaini bach mzumbe nakiri elimu ya mzumbe japo sio nzuri sana ina complecation hasa kwa miaka ya karibuni its the only chuo no 1 can get GPA 5 POINTS ,CHUNGUZENI

5 points an then empty mind?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom