Kwenye Biblia,Mw 2:18 imeandikwa;"BWANA Mungu akasema,Si vema huyo mtu awe peke yake,nitamfanyia msaidizi wa kufanana nae".Ndipo akamletea wanyama kibao lakini hakuonekana wa kufanana nae,Mw 2:19-20,ndipo Mungu alipomuumba mwanamke kutoka ubavuni mwa Adam. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Hapa nimegundua kuwa,Mwanaume alianza kuhitaji msaidizi wa kawaida lakini ngono sio sababu ya kuumbwa mwanamke.Pili,mwanaume alihitaji kusaidiwa,hii maana yake ni kwamba,Mwanaume kamwe hawezi kutimiza majukumu yake bila mwanamke.Tatu,mwamke aliumbwa kwaajili ya mwanaume,lakini mwanaume hakuumbwa kwaajili ya mwanamke.Nne,kazi iliyomleta au kusababisha mwanamke kuumbwa ni kumsaidia mwanaume tu.Tano,malengo ya uumbaji wa Mungu hayakumhusisha mwanamke,yaani mwanamke yupo duniani si kwaajili ya kutimiza malengo ya uumbaji wa Mungu bali kumsaidia mwanaume kuyatimiza malengo ya Mungu. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Jamani msinirushie mawe,kama Mungu hakumaanisha hivyo leta tafsiri yako,unless uwe huiamini Biblia.Hebu tujadiliane inawezekana nimepotoka!
Heeheee! Nimelitoa kwenye Biblia! Na suala la kusudi la kuumbwa kwa mwanamke, na tukio zima la mwanamke huyohuyo kudanganywa na yule nyoka vina maelezo ya aina nyingi na mengine ya ajabu sana! Vipi unawaogopa sana nyoka?!Suala la nyoka umelitoa wapi?
Kwani mwanamke aliumbwa kwaajili ya nani?
Heeheee! Nimelitoa kwenye Biblia! Na suala la kusudi la kuumbwa kwa mwanamke, na tukio zima la mwanamke huyohuyo kudanganywa na yule nyoka vina maelezo ya aina nyingi na mengine ya ajabu sana! Vipi unawaogopa sana nyoka?!
Heeheee! Nimelitoa kwenye Biblia! Na suala la kusudi la kuumbwa kwa mwanamke, na tukio zima la mwanamke huyohuyo kudanganywa na yule nyoka vina maelezo ya aina nyingi na mengine ya ajabu sana! Vipi unawaogopa sana nyoka?!
Eiyer , kama kila mtu kaumbiwa wake, mbona mpaka leo ni single.......na kwanin Bikira Maria awe single woman kama alishawekewa mwenzi wake?
Na kwanini Mungu apoteze hesabu ya kuwa wanawake wazidi population ya wanaume, hakujua kama kutasababisha excess supply?
Mtambuzi bana,nijuavyo mimi ni kuwa mpagani haamini katika Mungu wala uumbaji,unaposema "sisi wapagani tunaamini Mungu alimuumba mwanamke na mwanaume" unanichanganya.Pia unaposema kuoa wanawake wasiokua na idadi,nafikiri hiyo sio tabia ya kibinadamu,wanyama wasiofikiri ndo wanafanya mapenzi bila kupima wala kufikiri.Kuwa na mwanamke mmoja ni nature ya ubinadamu!
Mkuu kila dini ina Mungu wao, kwa mfano kule India kuna Miungu zaidi ya 1000, na hata wapagani wana Mungu wao............ Yaani yule wanayeamani kwamba ndio aliyewaumba na kuwaleta hapa duniani.Mtambuzi bana,nijuavyo mimi ni kuwa mpagani haamini katika Mungu wala uumbaji,unaposema "sisi wapagani tunaamini Mungu alimuumba mwanamke na mwanaume" unanichanganya.Pia unaposema kuoa wanawake wasiokua na idadi,nafikiri hiyo sio tabia ya kibinadamu,wanyama wasiofikiri ndo wanafanya mapenzi bila kupima wala kufikiri.Kuwa na mwanamke mmoja ni nature ya ubinadamu!