my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,017
- 2,384
Leo nikasema ngoja niangalie vya nyumbani nimefungua YouTube. Nikawa naangalia tamthilia moja ya bongo muvi, asa kuna sehem mama mjamzito amepigwa risasi basi watu waliomzunguuka wakaita ambulance. "hallo ambulance kuna ajali hapa" na yule ambulance akajibu "sawa nakuja" 😂
Nikajisemea mwenyewe asa anakuja, anakuja wapi wakati aliepiga simu ata hakutoa maelezo juu ya tukio na sehem ajali ilipotokea 🤦♀️
Haikuishia hapo mara ambulance ikafika wakachukua majeruhi wakampeleka hospital. Kufika hospital badala ya kumpeleka emergency wakampeleka chumba cha mapunziko wakati kwa maelezo yao na muonekano wa majeruhi alikua ameumia damu kila sehem alaf ni mjamzito. Nilivoona ivo tu nikaacha kuangalia, sijui wanatuchukuliaje hawa wanatuona mazoba flani ivi
Muvi na tamthilia zao hazina uhalisia. Kabla ya kuigiza nendeni sehem husika mkapate maelezo kwanza kabla ya kuigiza vitu ambavo havina uhalisia.
Kwa Kawaida mtu ukiita ambulance anaepiga simu lazime aeleze mahali tukio limetokea na atoe adresi ili iwe rahisi ambulance kufika. Na anatakiwa aeleze hali ya mgonjwa ilivo kwa kifupi. Kama ni mjamzito inabidi useme. Na ni ajali ya nini. Inabidi aeleze yote haya kwa ufupi kwa mda usiozidi hata dakika 3.
Alafu sio lazima muigize kila kitu. We tangu lini Tanzania kukawa na ambulance za kufata watu nyumbani kama sio uongo nini. Jirekebisheni au kama sio mtazidi kulamika hatupendi vya kwetu wakati nyie mnatufanya sisi wajinga. Sijui huwa mnatuchukuliaje 👀
Nikajisemea mwenyewe asa anakuja, anakuja wapi wakati aliepiga simu ata hakutoa maelezo juu ya tukio na sehem ajali ilipotokea 🤦♀️
Haikuishia hapo mara ambulance ikafika wakachukua majeruhi wakampeleka hospital. Kufika hospital badala ya kumpeleka emergency wakampeleka chumba cha mapunziko wakati kwa maelezo yao na muonekano wa majeruhi alikua ameumia damu kila sehem alaf ni mjamzito. Nilivoona ivo tu nikaacha kuangalia, sijui wanatuchukuliaje hawa wanatuona mazoba flani ivi
Muvi na tamthilia zao hazina uhalisia. Kabla ya kuigiza nendeni sehem husika mkapate maelezo kwanza kabla ya kuigiza vitu ambavo havina uhalisia.
Kwa Kawaida mtu ukiita ambulance anaepiga simu lazime aeleze mahali tukio limetokea na atoe adresi ili iwe rahisi ambulance kufika. Na anatakiwa aeleze hali ya mgonjwa ilivo kwa kifupi. Kama ni mjamzito inabidi useme. Na ni ajali ya nini. Inabidi aeleze yote haya kwa ufupi kwa mda usiozidi hata dakika 3.
Alafu sio lazima muigize kila kitu. We tangu lini Tanzania kukawa na ambulance za kufata watu nyumbani kama sio uongo nini. Jirekebisheni au kama sio mtazidi kulamika hatupendi vya kwetu wakati nyie mnatufanya sisi wajinga. Sijui huwa mnatuchukuliaje 👀