Harunahoba
Member
- Oct 15, 2019
- 33
- 45
Taasinia ya Sanaa ya michezo ya kuigiza hapa Tanzania inapitia changamoto nyingi sana zipo tunazoziona sisi mashabiki na pia zipo wanazokumbna nazo wasanii husika. Binafsi hiz ni baadhi ya changamoto ninazoziona kama mdau.
1. UKOSEFU WA SIMULIZI ( STORIES)NZURI. story nyingi za hapa kwetu hazina uhalisia ndani yake na pia ni za kujirudiarudia. ni rahis sana kujua nini kinafata utazamapo movie zetu (sisemi kwa ubaya). kuna mambo mengi ambayo Tanzania inapitia au iliwahi kupitia na raia wake tunayapitia lakin ni ngumu kuyaona. mda mwingine yanaonekana lakin katika namna ambayo sio ya kiuhalisia mfano kuna mda mtu anakamatwa na polis lakin hicho kituo cha polis unaona kabisa ni duka la mtaani hapa sijui shida nini serikari haiwaruhus kutumia sehem kama vituo vya polis vinavyojulikan kabisa?
pia unakuta mtu anaenda kazini yupo ofisin kampun inadeal na nin haijulikani ni mapenzi tu ofisin secretary kamtega boss. kuna jamaa wanaitwa BONGO HOODS hawa wanachangamoto nyingi lakin atleast unaona ideas tofauti mara madawa ya kulevya na adhari zake changudoa mara mtu anahustle na mziki lakin huku bongo movie ni mapenzi mwanzo mwisho.
hiv hatuwezi kuigiza hata visa vya kina chief mirambo na kinjekitile ngwale tuujue uhalisia wa mambo haya yanawezekana kwa maana watu wanaojua history vizuri ya Tanzania wapo taasisi pia za kufanya nao kazi ili kuongeza bajeti zipo ila tumetulia tulii
2. UKOSEFU WA WASANII WALIOSOMEA KAZI HIYO. wengi wa wasanii wetu sio watu wanaopatikana kutokana na mafunzo ya sanaa hata wanapopata nafasi kujiendeleza kielim hua hawataki kujiendeleza hivyo kukuta story zinajirudiarudia tu mfano ukiangalia yellow banana ya ray 2008 mpka akiigiza leo story kama hiyo hiyo na makosa ni yaleyale.
3. KUKOSEKANA KWA BARAZA LENYE NIA YA DHATI NA UEREDI MKUBWA KUHUSU TASINIA HII. BASATA wanatakiwa kujiangalia upya kama kweli hii ndio njia sahihi ya kuipeleka mbali sanaa yetu. Sanaa ya maigizo ni sehem ya utalii mtu anapoigiza lazima baraza limsaidie kwa kila hali hata kama ni ushauri, mafunzo, kua na vitendea kazi vya kisasa, kua na majukwaa makubwa ya sanaa hii, kuwasaidia wasanii kupata vibali vya kutumia vitu vya umma ilikupata uhalisia, kuandaa semina mbalimbali na kujifunza kuendana na technology, na mengine mengi?mbona nchi za wenzetu watu wanaigiza mpka marais kwann sisi n mapenzi tu?
1. UKOSEFU WA SIMULIZI ( STORIES)NZURI. story nyingi za hapa kwetu hazina uhalisia ndani yake na pia ni za kujirudiarudia. ni rahis sana kujua nini kinafata utazamapo movie zetu (sisemi kwa ubaya). kuna mambo mengi ambayo Tanzania inapitia au iliwahi kupitia na raia wake tunayapitia lakin ni ngumu kuyaona. mda mwingine yanaonekana lakin katika namna ambayo sio ya kiuhalisia mfano kuna mda mtu anakamatwa na polis lakin hicho kituo cha polis unaona kabisa ni duka la mtaani hapa sijui shida nini serikari haiwaruhus kutumia sehem kama vituo vya polis vinavyojulikan kabisa?
pia unakuta mtu anaenda kazini yupo ofisin kampun inadeal na nin haijulikani ni mapenzi tu ofisin secretary kamtega boss. kuna jamaa wanaitwa BONGO HOODS hawa wanachangamoto nyingi lakin atleast unaona ideas tofauti mara madawa ya kulevya na adhari zake changudoa mara mtu anahustle na mziki lakin huku bongo movie ni mapenzi mwanzo mwisho.
hiv hatuwezi kuigiza hata visa vya kina chief mirambo na kinjekitile ngwale tuujue uhalisia wa mambo haya yanawezekana kwa maana watu wanaojua history vizuri ya Tanzania wapo taasisi pia za kufanya nao kazi ili kuongeza bajeti zipo ila tumetulia tulii
2. UKOSEFU WA WASANII WALIOSOMEA KAZI HIYO. wengi wa wasanii wetu sio watu wanaopatikana kutokana na mafunzo ya sanaa hata wanapopata nafasi kujiendeleza kielim hua hawataki kujiendeleza hivyo kukuta story zinajirudiarudia tu mfano ukiangalia yellow banana ya ray 2008 mpka akiigiza leo story kama hiyo hiyo na makosa ni yaleyale.
3. KUKOSEKANA KWA BARAZA LENYE NIA YA DHATI NA UEREDI MKUBWA KUHUSU TASINIA HII. BASATA wanatakiwa kujiangalia upya kama kweli hii ndio njia sahihi ya kuipeleka mbali sanaa yetu. Sanaa ya maigizo ni sehem ya utalii mtu anapoigiza lazima baraza limsaidie kwa kila hali hata kama ni ushauri, mafunzo, kua na vitendea kazi vya kisasa, kua na majukwaa makubwa ya sanaa hii, kuwasaidia wasanii kupata vibali vya kutumia vitu vya umma ilikupata uhalisia, kuandaa semina mbalimbali na kujifunza kuendana na technology, na mengine mengi?mbona nchi za wenzetu watu wanaigiza mpka marais kwann sisi n mapenzi tu?