Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,261
- 12,786
Bongo movie inakufa, sababu si quality (japo kweli quality ni chini) kama wengi wanavyodhani bali ni hawana namna ya kuuza movie zao. Ilianza kwa kuuza VHS za kina Majuto. Ikaja CD na DVD. Kipindi hiki walau walikuwa wanapata chochote. Ghafla watu wakaanza kupirate DVD na kuziweka kwenye flash.
Hapa ndipo wizi mkubwa ulivyoanza, leo karibu kila nyumba yenye TV wana flash ya kuwekea movies, watu hawanunui tena DVD. Wabongo movie hawana namna tena ya kuuza kazi zao.
Hawawezi kupeleka kwenye majumba ya cinema kama Ulaya, au kuziweka kwenye streaming services sababu watanzania hatuna utamaduni wala uwezo wa mambo hayo. Kwa sasa households nyingi zinatumia flash kucheza movies.
Nafikiria kama inawezekana wakaziuza movies zao kwenye flash. Yaani movie inawekwa kwenye flash ambayo inakuwa encrypted, mtu anaweza kuicheza tu na si kuihamisha. naona wholesale ya flash za 1GB inaanzia kama 0.5$, kama Tsh 1,200 hivi. Inawezekana kuuza movies kwa mtindo huu, na pengine hata inaweza kutumika kuuza album za muziki pia. inawezekana?
Hapa ndipo wizi mkubwa ulivyoanza, leo karibu kila nyumba yenye TV wana flash ya kuwekea movies, watu hawanunui tena DVD. Wabongo movie hawana namna tena ya kuuza kazi zao.
Hawawezi kupeleka kwenye majumba ya cinema kama Ulaya, au kuziweka kwenye streaming services sababu watanzania hatuna utamaduni wala uwezo wa mambo hayo. Kwa sasa households nyingi zinatumia flash kucheza movies.
Nafikiria kama inawezekana wakaziuza movies zao kwenye flash. Yaani movie inawekwa kwenye flash ambayo inakuwa encrypted, mtu anaweza kuicheza tu na si kuihamisha. naona wholesale ya flash za 1GB inaanzia kama 0.5$, kama Tsh 1,200 hivi. Inawezekana kuuza movies kwa mtindo huu, na pengine hata inaweza kutumika kuuza album za muziki pia. inawezekana?