flash

  1. Jimz Group

    🔒 Backups ni Muhimu: Jipatie Flash Drives kwa Jumla na Reja Reja!

    Katika enzi ya teknolojia, ulinzi na usalama wa data zako ni muhimu zaidi kuliko hapo awali. Picha, nyaraka muhimu, na mafaili ya kazini vyote vinahitaji kutunzwa na vizuri kuwa na backup. Na USB Flash Drive, inakupa suluhisho unalolihitaji. 📁 Nafasi Kubwa ya Hifadhi: Hifadhi picha, video, na...
  2. Mr Lukwaro

    Ni App gani ya manunuzi mtandaoni, naweza kuagiza bidhaa kama vile Flash disk au T-Shirt , na zikawa Printed kwa Jina ninalotaka mimi?

    Najaribu kufanya research ya kuangalia kati ya Aliexpress, Kikuu au Alibaba App ambayo ina uhakika na wanaweza kuniletea bidhaa kwa jina ninalotaka mimi. Naomba msaada.
  3. David Chriss

    Chimbo la Flash Disks, Memory Card na Vifaa vya Simu Original za JUMLA

    Habari wana JF, Kwa anayefahamu chimbo la bidhaa za Jumla, za Flash Disks, Memory Card, na Phone Accessories.. Location iwe Arusha au Dar.. Sana sana Arusha kama zipo..
  4. GENTAMYCINE

    Flash ikiwa inasoma katika PC yako ila ukiifungua hukuti Documents zako hapa kuna nini?

    Flash ikiwa inasoma katika PC yako ila ukiifungua hukuti Documents zako hapa kuna nini? Na je, utatuzi wake upoje Wakubwa?
  5. FRANCIS DA DON

    Je, ni kwanini ubongo haujai kama Flash Disk?

    Nilitegemea binadamu baada ya kurekodi matukio ya maisha yake kwa muda wa miezi kadhaa basi ubongo wake ujae, lakini cha ajabu na cha kushangaza, mtu anafika hadi miaka 100 ila anakumbuka matukio yote ya utotoni. Sasa naomba kujua, ni mechanism ipi inayotumika kwenye ubungi kiasi unashindwa...
  6. chiembe

    Hivi Dar Technical wanaweza kutengeneza hata flash disk?

    Nimeuliza tu, china ilijengwa kiteknolojia na watundu wa vyuo vya kati. DarTech, MoshiTech, hatuoni mrejesho wa wasomi wenu
  7. Wababa13

    Nifanyaje ili Flash yenye ukubwa wa 64 GB iweze kusoma kwenye Flat TV tena (Hisense Smart TV)?

    Wana jukwaa habari ya muda huu, naomba kuuliza kwenu kwanini Flash yenye ukubwa wa 64 GB au kuanzia 64 GB huwa hazisomi kwenye TV? Na je, nifanyaje ili iweze kusoma kwenye TV?
  8. Bzero

    Nimenunua flash 32gb lakini ukiweka movies au audio au photo haziplay na wala hazioneshi

    Flash nmenunua ila kwenye computer inasoma vizuri na ukiweka movies zinaonyesha zimeingia ila ukiitoa kwenye computer halafu ukairudisha tena hazionekani movies yaani inasoma haina kitu kama kuna msaada naweza kuupata kwa anayefahamu jinsi ya kuiseti.
  9. Philemon38

    APP ya ku flash simu

    Naomba msaada kwa yeyote mwenye software za ku flash smart phone. Nahitaji ku flash VIVO Y1S
  10. F

    Msaada jinsi ya kufanya flash disk formated fat32 ibebe vitu zaidi ya gb 32

    Wakuu habari zenu, Kama mjuavyo flash drive ya kwanzia gb 64 + 1 TB uki format kwa fat32 hua inapoteza uwezo wake wa kubeba vitu vingi na badala yake itahifadhi vitu mwisho gb 32 tu. Naomba msaada jinsi ya kuvunja hiyo limitation na kufanya ibebe vitu vingi zaidi ya gb 32 bila kubadilisha...
  11. DR HAYA LAND

    Naomba wataalamu wa Nyimbo za zamani mnitajie list, nataka nimuekee nyimbo Mzee wangu kwenye Flash

    Wadau wa nyimbo za zamani zile Kali Kali Naomba mniandikie hapa chini nataka kumchukilia mzee wangu Flash then nimuwekee nyimbo . Pia na za ki-congo na hata za kizungu za miaka ya zamani zile nzuri.
  12. kunonu

    INAUZWA Hakuna kupigwa tena. Flash orijino na za uhakika kutoka Japan hizi hapa kwa bei ya tupate wote

    Kuna vitu viwili vinatukera sisi Kunonu Teknolojia kwenye jamii yetu ya Kitanzania kwenye matumizi ya teknolojia ya flash kwa matumizi ya nyumbani au ofisini. Mosi ni kwamba watu wanauziwa 'flash feki' hivyo zinawafia haraka zikiwa na vitu vyao muhimu. Pili, wengi wanauziwa 'flash' kwa bei za...
  13. H

    Jinsi ya ku "Remove write protection" kwenye used flash drive

    Kwa yeyote anaejua jinsi ya ku remove "write protection" kweny flash drive au kui format flash drive ambyo ipo write protected naomba anisaidie maana cwez kui format wala ku insert file llte. Before nilikuwa naweka mafaili kama kawaida na ku transfer lkn sahv nashangaa inazngua, inasoma "Read...
  14. Internet-Money

    DNA Unaweza kutumika Kama Flash ( Unlimited Storage)

    DNA inaweza kutumika kuhifadhi movies , songs na photos Bila kikomo. Teknolojia hii imegunduliwa Cambridge University. CHEKI VIDEO
  15. Lycaon pictus

    Hivi Bongo movie hawawezi kuuza movie zao kwenye flash?

    Bongo movie inakufa, sababu si quality (japo kweli quality ni chini) kama wengi wanavyodhani bali ni hawana namna ya kuuza movie zao. Ilianza kwa kuuza VHS za kina Majuto. Ikaja CD na DVD. Kipindi hiki walau walikuwa wanapata chochote. Ghafla watu wakaanza kupirate DVD na kuziweka kwenye flash...
  16. Nyalikanho

    Kwanini flash 64gb,128gb + hazisomi kwenye flat TV na deki nyingi?

    Wadau hivi ni kweli asilimia kubwa ya smart tv na deki zetu hizi huwa hazina uwezo wa kusoma flash ya uwezo wa 64gb kwenda juu? Note: Flash ambazo ni ORIGINAL. Maana nimetest kuanzia 8gb mpaka 32gb zinasoma ila 64gb,128gb chenga ila kwenye subwoofer mp3 zinasoma. Mwenye kujua kiundani...
  17. mrackkiramadhani

    Biashara ya memory card na flash inasaidia kujikimu

    Habari wana JF, Kama vijana tunapata changamoto nyingi katika kupambana na maisha yetu ya kila siku, na baadhi yetu tukiwa tunajiuliza tutatoka vipi? Kwani biashara nazo zimekua shida kwani baadhi yetu tumekua tukidhani tunahitaji mtaji mkubwa mnoo bila ya kujua si lazima uwe na mtaji wa kiasi...
  18. Old guard

    Onyo kwa Wadada: Usifikiri kumpa mpenzi wako kinyume na maumbile ndio atazidi kukupenda au kuzidisha upendo

    Ndugu zangu kwa miaka ya sasa hivi ukihitaj mwanamke wa maisha(future) hakikisha inakupasa umshirikishe Mola wako. Kwasababu sikuhizi wanawake wengi wameharibika wengi wanafanywa kinyume na maumbile mwanamke ameshakaa geto na mchizi zaidi ya mwezi magetoni jamaa anajilia vyombo na nyumbani kwao...
  19. EJOSMAT

    INAUZWA Vifaa vya electronics vinauzwa

    Printer hp 7500 a wide format------laki 3 Tt560 speed lite neewer------------laki na nusu Sigma lense 170-500----------------laki 4 Studio light na background yake laki 4 Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa 0717 040 837 au 0767 267 664
  20. N

    Msaada: Radio Sony genezi mhc-gtr55 inasoma "please wait" au "reading" tu nikiweka flash drive. Nini tatizo wakuu?

    Habari wakuu, Radio hii Sony genezi mhc-gtr55 tangu ikiwa mpya inasoma flash ikiamua tu. Labda kuna masharti nakosea. Naweza weka flash mara hii ikasoma fasta na kucheza nyimbo. Naweza weka baadae ikawa inasoma "please wait" au "reading" kwa muda mrefu hata siku nzima. Tatizo laweza kuwa nini...
Back
Top Bottom