Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,170
aisee watu tunatofautiana kuelewa na mtazamo
mimi naamini 'confrontational politics' hazitasaidia hii nchi
sana sana zitaleta 'machafuko'
na watakaoumia ni wasio na hatia...mke wa lema anaweza kupanda ndege na watoto haooo nairobi au kampala
CCM ni kama 'machizi wenye silaha'
unahitaji kutumia 'akili' ku deal nao
na sio kuanzisha 'mapambano'
Boss unaniangusha mkuu, ina maana kwenda jela kwa hiari alikofanya Lema kutasababisha vita au? Sijaelewa hayo maandishi yako