Hili la Godbless Lema ni la kuiga, kubeza au kuunga mkono?

Haina mshiko hata mkiifananisha na Martin Luther King na Mandela, they had a "cause".

Sasa Lema ana "cause" ipi? ni kesi ambayo haifanani kabisa na hizo nyingine. Wajinga ndio waliwao.

Hata wao si waliambiwa haina mshiko and that they did not have a cause? Kwamba it was legally right to segragate blacks and whites?
 
Hata wao si waliambiwa haina mshiko and that they did not have a cause? Kwamba it was legally right to segragate blacks and whites?

Kuna kesi ya blacks na whites Arusha au kuna kesi ya kura?
 
Binafsi nilitarajia kuona viongozi wengine wa CDM wanafunga safari huko huko na kufanya sit ins as a politica protest.. lakini well..

Wewe umeshafunga safari? au ndio unawaendesha kwa "remote control". Ungeanza kuonesha mfano, kwanini utarajie wengine wafanye unachoshindwa wewe kukifanya? una ulema wa kutokufanya hayo unayo hubiri?
 
Hiyo si jela aliyopelekwa huyo aitake kuchanganya watu kajitakia mwenyewe ili apate umaarufu wa kisiasa eti nilitishiwa jela, kuna mtu anatishiwa jela> jela unapelekwa usipotii amri za Mahakama au ukikutwa na hatia. Mwenyekiti wako Mbowe nae si aliswekwa ndani na kusafirishwa kwa nguvu alipojidai hahudhurii mahakamani?

Kuna mtu anatishiwa kifo na muuaji? muuaji huuwa tu, hatoi hata "warning" wacha kutishia. msitake kutufanya wote mapunguani hapa. Siasa zenu hazina zaidi ya kuhadaa watu, ndio iweje ukisha jiamulia kukaa jela, useme nilifungwa kwa nguvu?

Na watu wanai shabikia humu JF kama vile huyo mtu kaonewa. Kumbe kajitakia mwenyewe kwenda kuwatembelea washkaji zake.
 
kwani kura sio "cause"? "cause" kwako ina maana gani?
Mkuu usiruhusu emotions zioverwrite facts.
Im still scratching my head over this,..... there's gotta be a "movement" and I'm trying to figure out whats the "movement" about?
I mean... what is he fighting for? and where is the crowd of supporters?
 
Haina mshiko hata mkiifananisha na Martin Luther King na Mandela, they had a "cause".

Sasa Lema ana "cause" ipi? ni kesi ambayo haifanani kabisa na hizo nyingine. Wajinga ndio waliwao.

Ukisoma post ya MMKJJ utagundua kuwa kuna cause madhubuti kabisa ambayo Lema anaisimamia. Hii ni cause ya kuondoa dhana ya kuwa watawala wetu wanaweza kuwaswaga wananchi kwa kutumia vitisho vya kuwafunga jela.

 
Ukisoma post ya MMKJJ utagundua kuwa kuna cause madhubuti kabisa ambayo Lema anaisimamia. Hii ni cause ya kuondoa dhana ya kuwa watawala wetu wanaweza kuwaswaga wananchi kwa kutumia vitisho vya kuwafunga jela.
Actually kwa uzito wake hii cause haina tofauti na ile ya Mandela.

Hakuna kitisho wala nini, kapewa masharti ya dhamana kama wanavyopewa wengine na yeye kakataa kasema mimi nakwenda jela, hiyo cause iko wapi? msitake kuwajaza watu yasiyokuwepo.

Kuna Wabunge waliokwenda jela kwa kukosa dhamana, na hii kapenda yeye mwenyewe kwenda kuwatembelea vijana wake huko.

Kuna kisa Dar Es Salaam huwa kina hadithiwa sana, sijui kama umewahi kukisikia, kuna mtu ambae kila inapomjia hamu ya kuwaona vijana wake waliopo jela huwa anafanya kila njia apelekwe jela, hupigana, hutukana na anapopelekwa mahakamani nae hukataa dhamana, ingawa ana uwezo wa kupatiwa dhamana. Hiki cha Lema hakina tofauti na hicho na msitake kuki "dramatize".

Hakuna zaidi, kataka mwenyewe kwenda huko na akae, atapoona kuwa bado hajakamilisha malengo yake akatae tena dhamana aendelee kukaa huko mpaka malengo yake yatapotimia.
 
Ukisoma post ya MMKJJ utagundua kuwa kuna cause madhubuti kabisa ambayo Lema anaisimamia. Hii ni cause ya kuondoa dhana ya kuwa watawala wetu wanaweza kuwaswaga wananchi kwa kutumia vitisho vya kuwafunga jela.

Tatizo hapa ni demonstration....
Ukiandamana kuelekea kituo cha polisi una risk shootouts au matumizi mengine ya nguvu kutoka polisi. Sasa kwa mtu ambaye ameshafanya hivyo na anajulikana, ni bora ku avoid maandamano au assembly yoyote isiyo na kibali. Kama yale yalikuwa siyo maandamano, just prove your case! na una haki ya kukubali au kukataa dhamana ili mradi siku ya kesi utokee mahakamani.
So whats the big deal?.... Mbona wanasiasa wengine hawafungwi bila mashtaka?
 
Swali ni kuiga, kubeza au kuunga mkono?

Jibu: Ni la Kuiga, igeni wote mkakae ndani. Mnaleta kero tu mitaani. Mnangoja nini hamuigi?
 
Hivi Lema kapelekwa Jela na nani? Yaani mahakama imetoa haki kwa mtuhumiwa kupewa dhamana cha kushanganza Lema kakataa..

Kweli hapa kuna kitu cha kuinga au sababu kafanya Lema wa CDM
 
Swali ni kuiga, kubeza au kuunga mkono?

Jibu: Ni la Kuiga, igeni wote mkakae ndani. Mnaleta kero tu mitaani. Mnangoja nini hamuigi?

Mbowe na a loser Dr Slaa, Ndesamburo, wana kesi Arusha..
Ingekuwa vizuri kama na wao wangeiga wamfuate Lema Jela huko ndio kwenye mapambano
 
Haina mshiko hata mkiifananisha na Martin Luther King na Mandela, they had a "cause".

Sasa Lema ana "cause" ipi? ni kesi ambayo haifanani kabisa na hizo nyingine. Wajinga ndio waliwao.
Mi sijui unataka cause ipi zaidi ya yote yaliyotokea Arusha.Kama ni mfuatiliaji kumbuka toka kipindi cha kampeni za uchaguzi hadi uchaguzi mkuu, tazama uchaguzi wa meya, tazama mwenendo wa kesi ulivyo! Naamini kama unapenda kujifikirisha utaona cause! Tena ukifikiria kwa umakini utagundua kuwa vinavyopiganiwa vinafanaa kwa maana, achilia mabali misamiati ya maneno ya yaliyotokea kwenye vipindi tofauti tofauti vya kila mmoja wao, kuanzia Luther King, Mandela na leo hapa kwetu Lema! Inahitaji kufikiria kwa umakini ili kuona ukweli, kusikia tu haitoshi!
 
Binafsi sina tatizo na uamuzi wa Lema hata kidogo ninachopinga ni kuwaingiza wananchi kwenye mateso yasiyowahusu.Kitendo cha wanazi wa CDM kulazimisha mgomo wa daladala ninakilaani kwa nguvu zote.
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Mwl. Julius K. Nyerere alikoswakoswa kwenda jela mwaka 1958 baada ya kushtakiwa na serikali ya mkoloni kuwa alitoa kauli za kashfa kwa watendaji mbalimbali wa serikali. Alikutwa na hatia na alitakiwa kufungwa jela au kulipa faini. Kwa vile walikuwa wanaelekea kwenye uchaguzi wa kwanza ambapo TANU ilikuwa inaelekea kushinda mjadala mkubwa ulikuwa ni je alipe faini au akubali kwenda jela? Yeye mwenyewe alikuwa anataka kwenda jela kama walivyokuwa wanaenda viongozi wengine wa Afrika. Lakini waasisi wenzake walimtaka akubali kulipa faini ili TANU isipoteze nafasi yake kwenye uchaguzi ule. Nyerere mwenyewe alisema kwenda jela kungekuwa ni kama “kuhitimu” katika siasa za harakati za uhuru.


Jana huko Arusha Mbunge wa Arusha Mjini Bw. Godbless Lema alikubali kufanya kinyume chake. Alikuwa na uchaguzi wa kupewa dhamana katika kesi inayomhusu na kwenda zake nje na kufurahia uhuru au kwenda jela. Katika kitu ambacho alikipanga mapema Lema aliamua kwenda jela na kukataa kuwekewa dhamana.

KUNA tofauti kubwa sana hapo. Tuache hilo la Nyerere ambalo wengi wetu humu tulikuwa hata wazazi wetu kuzaliwa walikuwa bado. Ni miaka michache tu iliyopita, kuna mama mmoja kule Sudan alishtakiwa kwa kosa la kuvaa suruali. Akahukumiwa ama kwenda jela au kulipa kiasi kidogo tu cha fedha kama faini (nazani ilikuwa abt USD 200). Mama yule kwa kupinga kile alichokiona kama uonevu, aka-opt kwenda jela ingawaje alikuwa na uwezo wa kulipa dola hizo. Nazani watu walimlipia na kuwa released (hapo inafana na Nyerere).

Huyu Lema, hana lolote....kwanza hajapelekwa jela bali kapelekwa rumande ambako hakuna shida ukilinganisha na jela. kama kweli anamaanisha anachokifanya, arudi mtaani na aanzishe maandamano na akikamatwa na kufunguliwa kesi.....hapo hapo akubali na sio kukanusha na hapo sasa ndo aende huko jela na sio kuwatisha watu kwa kwenda mahabusu.
 
MKUU! Hapa kwenye red! Sasa unafanyeje endapo una mchizi kashika mtutu na mko kundi kubwa? Bila shaka wanahitajijka wakujitosa na wengine wasalimike. Mimi nadhani Lema kajitosa na bila shaka with time.....mambo yatabadirika! Hebu fikiria, mahabusu zetu zinaweza kuweka watu wangapi bila kuwatapika? Endapo watu wanaweza kuamua na kukaa barabarani, bila shaka kutakuwepo compromise and mutual agreement. Kinachogomba hapa ni utaratibu wa polisi kuchuja mbu na kumeza ngamia! Kama ilikuwa sahihi kwa vijana CCEEM kuandamana na bila kuswekwa ndani iweje upande mwingine inakuwa dhambi?
"CCM ni kama 'machizi wenye silaha'
unahitaji kutumia 'akili' ku deal nao
na sio kuanzisha 'mapambano'[/QUOTE]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom