Familia ya Mzee Nyerere, ya Mzee Mkapa na Mzee Magufuli zinaendelea kuhudumiwa kinyume cha sheriaMama kaona mzee ana dalili ya kuvuta nini
Sheria zirekebishwe mambo yafanywe kisheria
Familia ya Mzee Nyerere, ya Mzee Mkapa na Mzee Magufuli zinaendelea kuhudumiwa kinyume cha sheriaMama kaona mzee ana dalili ya kuvuta nini
Endelea kusubiria meli pale temeke bus terminalNa ni kweli wanaona hivyo maana kila wanalotaka ndio linakuwa hivyo, sie tunasubiri hadi siku ya kutokea ccm kutoka madarakani.
NCHI YA HOVYÒ SANA HII WAJINGA NI WENGI NDIO MAANA VIONGOZI WANAWAGEUZA KAMA CHAPATI ZA MAJI NIKIFIKIRIA MAFAO WANAUOPATA RAIS MAKAMU WA RAIS NA WAZIRI MKUU KWA MAISHA YAO YOTE SERIKALI YENYE HURUMA NA WANANCHI WAKE ISINGEKUJA NA MSWAADA WA HOVYO KAMA HUUMbona kama vile nchi hii ina Ufa mkubwa sana wa kujali raia wake?
Yaani mwanajeshi mstaafu kapigana vita Uganda na kaponea chupuchupu mara kadhaa vitani, daktari aliyestaafu miaka ya 1990 na Mungu amempa maisha mpaka leo au Mwalimu aliyekuwa anatumika kwa moyo wote miaka hiyo bahati mbaya kwa serikali HAJAFA hadi leo anapokea kutoka HAZINA shs laki moja kama pension kila mwezi lakini eti wake wa viongozi nao wawe wanalipwa mamilioni 25% ya mishahara waliyokuwa wanalipwa waume zao?
Basi nchi hii ni tajiri sana! Lakini kwa nini haiwakumbuki basi hata hawa wazee waliolitumikia taifa kwa moyo mmoja enzi hizo.
Kumbukeni nazungumzia wastaafu walio staafu zamani 1998 kwenda nyuma kabla ya mifuko ya jamii haijaanza na wanalipwa na Hazina.
Kwanza sidhani kama wastaafu hawa wanazidi 5000 nchi nzima maana wengi wametangulia mbele ya haki waliobaki ni mateso tuu.
Mara ya mwisho kiwango hiki kupanda na kuwa laki moja ni miaka 10 iliyopita wakati wa JK. Waoneeni huruma acheni uchoyo.
View attachment 2744590View attachment 2744592
Kumbe wewe hausubiri hadi ccm itoke madarakani sasa unafanya nini badala yake?Endelea kusubiria meli pale temeke bus terminal
Ebu kanawe miguu ulaleKumbe wewe hausubiri hadi ccm itoke madarakani sasa unafanya nini badala yake?
Ccm ni watawala haramu kwani wanatawala bila ridhaa ya walio wengi!! Hilo linawezekana tu kwa kuwa wanatumia vyombo vya usalama; bila hivyo wasingekuwa na serikali!Tulishasema kuwa kiendelea kuichagua ccm ni sawa na kujichombia kaburi sisi wenyewe.
Kuichagua ccm ni sawa na kujikaanga wenyewe kwa mafuta yetu.
HakikaCcm ni watawala haramu kwani wanatawala bila ridhaa ya walio wengi!! Hilo linawezekana tu kwa kuwa wanatumia vyombo vya usalama; bila hivyo wasingekuwa na serikali!
Tanzania muda huu ni asubuhi.Ebu kanawe miguu ulale
Sawa sister angupambania koo yako iwe ya tano …au nawe unasubiria Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi ?
Kuna watu hadi sasa bado wana mapenzi na ccm na wanawapigia kura, hao ndio wenye kuwapa nguvu ccm kuendelea kuwa madarakani kuliko hata hivyo vyombo vya usalama.Ccm ni watawala haramu kwani wanatawala bila ridhaa ya walio wengi!! Hilo linawezekana tu kwa kuwa wanatumia vyombo vya usalama; bila hivyo wasingekuwa na serikali!
Wachana na wazaramo wa mbwindeSawa sister angu
Hakuna ukweli kuwa watu wanao ipigia kura ccm wana nguvu kuliko vyombo vya dola na tume.Kuna watu hadi sasa bado wana mapenzi na ccm na wanawapigia kura, hao ndio wenye kuwapa nguvu ccm kuendelea kuwa madarakani kuliko hata hivyo vyombo vya usalama.
Wangekuwa na wananchi wengi wanaowapenda wasingekuwa wananunua na kuiba kura wakati wa uchaguzi!Kuna watu hadi sasa bado wana mapenzi na ccm na wanawapigia kura, hao ndio wenye kuwapa nguvu ccm kuendelea kuwa madarakani kuliko hata hivyo vyombo vya usalama.
Huyu mke wa Kikwete alidhiki tu mbona familia yake wanaifadi hii nchi ya kutosha bado ni mbunge na bado anataka kulipwa mafao ya mumewe ya kustaafu duuh jamani Mungu atusaidie WatanzaniaMbona kama vile nchi hii ina Ufa mkubwa sana wa kujali raia wake?
Yaani mwanajeshi mstaafu kapigana vita Uganda na kaponea chupuchupu mara kadhaa vitani, daktari aliyestaafu miaka ya 1990 na Mungu amempa maisha mpaka leo au Mwalimu aliyekuwa anatumika kwa moyo wote miaka hiyo bahati mbaya kwa serikali HAJAFA hadi leo anapokea kutoka HAZINA shs laki moja kama pension kila mwezi lakini eti wake wa viongozi nao wawe wanalipwa mamilioni 25% ya mishahara waliyokuwa wanalipwa waume zao?
Basi nchi hii ni tajiri sana! Lakini kwa nini haiwakumbuki basi hata hawa wazee waliolitumikia taifa kwa moyo mmoja enzi hizo.
Kumbukeni nazungumzia wastaafu walio staafu zamani 1998 kwenda nyuma kabla ya mifuko ya jamii haijaanza na wanalipwa na Hazina.
Kwanza sidhani kama wastaafu hawa wanazidi 5000 nchi nzima maana wengi wametangulia mbele ya haki waliobaki ni mateso tuu.
Mara ya mwisho kiwango hiki kupanda na kuwa laki moja ni miaka 10 iliyopita wakati wa JK. Waoneeni huruma acheni uchoyo.
View attachment 2744590View attachment 2744592