Bunge limepitisha haraka mswada wa kulipa mafao ya kustaafu wenza wa viongozi.
Huzuni kubwa ni kuwa bunge limeshindwa kuibana serikali kulipa madai ya kustaafu wastaafu wa Posta na ATCL. Madai halali hayalipwi lakini tayari sheria inatungwa kuwaongezea mafao katika maisha ya wenza wa viongozi wastaafu.
Kweli watu wote si sawa lakini kuweni na huruma wazee wastaafu hawa walipwe madai yao.
Mbona serikali inakwamisha kuwalipa wananchi wa kawaida wastaafu na kukimbilia kutunga sheria kwa aliyenacho aongezewe ili hali wastaafu wa kawaida wanakosa pesa za tiba, kujikimu na chakula kwa kuwa pesa zao zipo mikononi mwa viongozi fulani.
Bunge fanyeni hima hawa wazee walipwe kama mlivyosimamia kupitisha sheria ya wenza wa viongozi kulipwa mafao ya kustaafu.
Nchi hii ni nzuri lakini sasa aliyenacho huongezewa asiyenacho hukosa hata ili haki yake.
Huzuni kubwa ni kuwa bunge limeshindwa kuibana serikali kulipa madai ya kustaafu wastaafu wa Posta na ATCL. Madai halali hayalipwi lakini tayari sheria inatungwa kuwaongezea mafao katika maisha ya wenza wa viongozi wastaafu.
Kweli watu wote si sawa lakini kuweni na huruma wazee wastaafu hawa walipwe madai yao.
Mbona serikali inakwamisha kuwalipa wananchi wa kawaida wastaafu na kukimbilia kutunga sheria kwa aliyenacho aongezewe ili hali wastaafu wa kawaida wanakosa pesa za tiba, kujikimu na chakula kwa kuwa pesa zao zipo mikononi mwa viongozi fulani.
Bunge fanyeni hima hawa wazee walipwe kama mlivyosimamia kupitisha sheria ya wenza wa viongozi kulipwa mafao ya kustaafu.
Nchi hii ni nzuri lakini sasa aliyenacho huongezewa asiyenacho hukosa hata ili haki yake.