Hii ya wake wa viongozi wastaafu kuanza kulipwa ni zaidi ya too much

Simnaona matumizi ya bajeti yameongezeka? Bas tujitahidi kulipa kodi kwa wingi,nahata ikibidi kaasilimia kakodi kapande kidogo ili tuweze kuwaakomodeti vipenzi waviongozi wetu.
 
Ukiwa kwenye ofisi za umma,iba uwezavyo.Ukitaka kujua angalia mtumishi wa umma akifariki kabla ya kustaafu,bila michango ya wafanyakazi wenzio mambo hayaendi,sanduku linawekwa kwenye Carrier ya cruiser.Wanasiasa wakifariki Hadi nyumba zao zinakarabatiwa.Uzalendo sio tz
 
Kwani hao waume zao walikuwa wanapokea kiasi gani? Hii ingewahusu tu waliofiwa na waume zao ambao waliwahi kuwa marais. Waliohai waendelee kunufaika na ile 80% ya Waume zao.
 
Mbona kama vile nchi hii ina Ufa mkubwa sana wa kujali raia wake?

Yaani mwanajeshi mstaafu kapigana vita Uganda na kaponea chupuchupu mara kadhaa vitani, daktari aliyestaafu miaka ya 1990 na Mungu amempa maisha mpaka leo au Mwalimu aliyekuwa anatumika kwa moyo wote miaka hiyo bahati mbaya kwa serikali HAJAFA hadi leo anapokea kutoka HAZINA shs laki moja kama pension kila mwezi lakini eti wake wa viongozi nao wawe wanalipwa mamilioni 25% ya mishahara waliyokuwa wanalipwa waume zao?

Basi nchi hii ni tajiri sana! Lakini kwa nini haiwakumbuki basi hata hawa wazee waliolitumikia taifa kwa moyo mmoja enzi hizo.

Kumbukeni nazungumzia wastaafu walio staafu zamani 1998 kwenda nyuma kabla ya mifuko ya jamii haijaanza na wanalipwa na Hazina.
Kwanza sidhani kama wastaafu hawa wanazidi 5000 nchi nzima maana wengi wametangulia mbele ya haki waliobaki ni mateso tuu.

Mara ya mwisho kiwango hiki kupanda na kuwa laki moja ni miaka 10 iliyopita wakati wa JK. Waoneeni huruma acheni uchoyo.

View attachment 2744590View attachment 2744592
Jamani yupo sawa maana nchi ilikuwa imefungwa sasa imefunguka
 
Asee inasikitisha sana sasa wanapewa mapesa yote hayo ili iweje na wakati mabwana zao walikuwa maraisi ...mfano Salma Kikwete sahizi mbunge baada ya 5 years anakula over 200m ya pension ya ubunge,Mmewe kikwete ana mihela ya kutosha tu bado ana pension ya kustaafu which means their future is guaranteed with luxuries bado na hiyo 25% duh ya nini haswa....hawa watu ni heartless kabisa....watakuja kutuletea na pension ya mtoto wa raisi mwishowe
Waislamu wa pwani wengi akili mdogo sana
 
Tanganyika ina watu wa hovyo sana, tunahangaika na umeme, mafuta , maji , waroho wachache wanajipambania namna ya kujilipa ukwasi wakiwa wamekaa tu?
 
Tangu lini bunge hili la chama kimoja liliwahi kutunga au kupitisha sheria zenye manufaa kwa watanzania wote?
Nitajie sheria bora tano zilizotungwa enzi wapinzani wakiwa ndani ya bunge,twende sawa
1,........
2,........
3,.......
4,........
5,.........
 
Nitajie sheria bora tano zilizotungwa enzi wapinzani wakiwa ndani ya bunge,twende sawa
1,........
2,........
3,.......
4,........
5,.........
Ushasema lililokuwa na wapinzani..hili siyo jukwaa la historia ndugu
 
Kwaiyo mama salma kikwete atalipwa mafao Kama mwenza wa raising, mwalimu mstaafu pia na ubunge
 
Najua Tanzania fedha zipo telendio maana wanaiba lakini hawazimalizi. Cha msingi nchi ianze kuwalipa pensheni wazee wote kuanzia miaka 65 ambao hawalipwi pensheni yoyote hawa ni pamoja na wakulima, wavuvi, waliojiajiri wenyewe na wale waliokuwa wameajiriwa lakini hawakuwa na pensheni. Hapo nchi itakuwa imepiga hatua kubwa kimaendeleo. Tukiweza hilo tufikirie na vijana wanaomaliza masomo alafu wanakosa ajira nao wanastahili kulipwa posho ya kujikimu mpaka atakapofanikiwa kupata ajira.
 
Hakuna ukweli kuwa watu wanao ipigia kura ccm wana nguvu kuliko vyombo vya dola na tume.

Hapo hakuna ukweli mjomba.
Sio kuipigia kura tu bali wana mapenzi na ccm pamoja na yote yanayoendelea, leo hii tunasema ccm inatumia vyombo vya dola kuendelea kuwa madarakani kwa maana haikubaliki na wananchi ila ajabu bado hiyo ccm ina wana chama wengi tu na hujaa kwenye mikutano yao.
 
Wangekuwa na wananchi wengi wanaowapenda wasingekuwa wananunua na kuiba kura wakati wa uchaguzi!
Huko kuiba kura hakuna maana ya kwamba ccm haina watu wengi wa kuwapigia kura, lazima tukubali ukweli kwamba pamoja na huko kuiba kura ila bado pia ccm ina watu wengi wenye kuipenda na huipigia kura hadi leo. Sasa tusibaki kuimba tu wimbo wa ccm anaiba kura na kujisahaulisha kuwa na watu pia anao maana tunavyokuwa tunaimba wimbo wa kuiba kura tunaifanya hiyo ccm kuwa kama Chauma vile au TLP.

Nitaendelea kuamini kuwa kama si hawa watu ambao hadi bado wanashabikia na kuipigia kura ccm basi hata hivyo vyombo vya dola visingeweza kuibeba ccm miaka yote hii.
 
Ifike mahali hawa akina kikwete and the like watosheke, huyu mama hana mshipa wa aibu
Atalipwa hayo mamilioni kama mke wa Rais mstaafu. Keshalipwa mipesa mingi tu kama mbunge kwa vipindi alivyokwisha tumikia Bungeni na bado atalipwa tena akimaliza kipindi hiki. Oneni huruma kwa wale ambao hawana nafasi kama zenu. Mpo huko kutetea maslahi yenu tu. Ama kweli aliyenacho huongezwa na yule asiyenacho atanyang'anywa hata kile kidogo alichonacho.
 
Wake za wastaafu kuanza kulipwa,ila wastaafu watumishi ndio kwaaaanza wanakutana nakikokotoo.

........ Zenu ccm.
 
Atalipwa hayo mamilioni kama mke wa Rais mstaafu. Keshalipwa mipesa mingi tu kama mbunge kwa vipindi alivyokwisha tumikia Bungeni na bado atalipwa tena akimaliza kipindi hiki. Oneni huruma kwa wale ambao hawana nafasi kama zenu. Mpo huko kutetea maslahi yenu tu. Ama kweli aliyenacho huongezwa na yule asiyenacho atanyang'anywa hata kile kidogo alichonacho.
Yule siyo Kikwete tena ni mama kudai dai
 
Mbona kama vile nchi hii ina Ufa mkubwa sana wa kujali raia wake?

Yaani mwanajeshi mstaafu kapigana vita Uganda na kaponea chupuchupu mara kadhaa vitani, daktari aliyestaafu miaka ya 1990 na Mungu amempa maisha mpaka leo au Mwalimu aliyekuwa anatumika kwa moyo wote miaka hiyo bahati mbaya kwa serikali HAJAFA hadi leo anapokea kutoka HAZINA shs laki moja kama pension kila mwezi lakini eti wake wa viongozi nao wawe wanalipwa mamilioni 25% ya mishahara waliyokuwa wanalipwa waume zao?

Basi nchi hii ni tajiri sana! Lakini kwa nini haiwakumbuki basi hata hawa wazee waliolitumikia taifa kwa moyo mmoja enzi hizo.

Kumbukeni nazungumzia wastaafu walio staafu zamani 1998 kwenda nyuma kabla ya mifuko ya jamii haijaanza na wanalipwa na Hazina.
Kwanza sidhani kama wastaafu hawa wanazidi 5000 nchi nzima maana wengi wametangulia mbele ya haki waliobaki ni mateso tuu.

Mara ya mwisho kiwango hiki kupanda na kuwa laki moja ni miaka 10 iliyopita wakati wa JK. Waoneeni huruma acheni uchoyo.

View attachment 2744590View attachment 2744592

NDIO WANANCHI WA LINDI WALICHOMTUMA MAMA SALMA KUONGEA BUNGENI ….SHAME SHAME KWA FIRST LADY MZIMA
 
Back
Top Bottom