Joyboy
JF-Expert Member
- Sep 16, 2023
- 1,364
- 3,408
Kuna tabia moja imekuwa inanishangaza sana kwa muda mrefu kuhusu uongozi wetu wa hii nchi. Sijui kwanini tupo hivi ila unakuta kiongozi wa serikali mfano amefanya mambo ya ajabu wizara flani baada ya kugundulika eti ana hamishwa ile wizara anapelekwa wizara nyingine.
Mfano mwingine, Unakuta Kiongozi wa wizara fulani anagundulika aliiba hela za wizara ana hamishwa pale anapelekwa kuwa mkurugenzi wa taasisi nyingine.
Nchi za wenzetu kama Japan, China, North Korea na Russia watu kama hawa huwa wanachukuliwa hatua za kisheria kama sio kunyongwa, ila sisi huku tunafuga hawa watu, eti unamuhamisha kweny sehemu nyingine, hii ndio njia sahihi ya kudeal na watu wa namna hii kweli?
Kwanini tunafuga corrupt leaders?
Je Serikali inawaonea aibu hawa watu?
Karibuni
Mfano mwingine, Unakuta Kiongozi wa wizara fulani anagundulika aliiba hela za wizara ana hamishwa pale anapelekwa kuwa mkurugenzi wa taasisi nyingine.
Nchi za wenzetu kama Japan, China, North Korea na Russia watu kama hawa huwa wanachukuliwa hatua za kisheria kama sio kunyongwa, ila sisi huku tunafuga hawa watu, eti unamuhamisha kweny sehemu nyingine, hii ndio njia sahihi ya kudeal na watu wa namna hii kweli?
Kwanini tunafuga corrupt leaders?
Je Serikali inawaonea aibu hawa watu?
Karibuni