Najiuliza je sababu ya Pemba kuwa nyuma kimaendeleo ni kwamba ni mbali sana na kisiwa cha Unguja ambacho ndiyo makao makuu ya serikali ya visiwa hivyo viwili. Pemba ipo zaidi ya km 130 na ipo karibu na Tanga kuliko Unguja.
Je, kwa kuleta maendeleo Pemba ni sababu gani hasa inayozuia mpaka leo Pemba wasiwe na kiongozi wao na unguja iwe na kiongozi wake ili kuleta maendeleo badala ya sasa watu kuendelea ni mpaka waende Tanga, Unguja au Dar?
Mfano kwasasa wazanzibar wanataka mafuta yakipatikana yasaidie Zanzibar na yasiwe ya muungano swali Je mafuta yakipatikana Pemba karibu na Tanga halafu mapato ya mafuta yakaishia Unguja🤔!
Kwa hili kutakuwa na sababu gani ya msingi ya serikali ya Tanzania kwa ujumla wake kukubali hili? Tusije tukawa na nchi ambayo ina mabwanyeye ambao wao tu ndiyo wanataka maendeleo wakati ndugu zetu wa Pemba pamoja na rasilimali zao wanabaki na umasikini.
Isije ikawa watu wa unguja wanadai haki ambazo wenzao wa Pemba hawana. Sisi kama Watanzania tusikubali kuwaacha wenzetu wa Pemba wakiwa wanabaguliwa na Unguja halafu tukasema haituhusu sio sawa.
Kama kuna mtu ana mawazo tofauti anielimishe!
Je, kwa kuleta maendeleo Pemba ni sababu gani hasa inayozuia mpaka leo Pemba wasiwe na kiongozi wao na unguja iwe na kiongozi wake ili kuleta maendeleo badala ya sasa watu kuendelea ni mpaka waende Tanga, Unguja au Dar?
Mfano kwasasa wazanzibar wanataka mafuta yakipatikana yasaidie Zanzibar na yasiwe ya muungano swali Je mafuta yakipatikana Pemba karibu na Tanga halafu mapato ya mafuta yakaishia Unguja🤔!
Kwa hili kutakuwa na sababu gani ya msingi ya serikali ya Tanzania kwa ujumla wake kukubali hili? Tusije tukawa na nchi ambayo ina mabwanyeye ambao wao tu ndiyo wanataka maendeleo wakati ndugu zetu wa Pemba pamoja na rasilimali zao wanabaki na umasikini.
Isije ikawa watu wa unguja wanadai haki ambazo wenzao wa Pemba hawana. Sisi kama Watanzania tusikubali kuwaacha wenzetu wa Pemba wakiwa wanabaguliwa na Unguja halafu tukasema haituhusu sio sawa.
Kama kuna mtu ana mawazo tofauti anielimishe!