Chongole
Member
- Jun 28, 2012
- 15
- 0
Mwalimu mmoja ameripoti kwa ajiri ya kuanza kazi kama walivyopangwa hivi karibuni, mkuu wa shule kampokea halafu akamkaribisha alale store, chumba ambacho hakuna Hata dirisha, huyu mwalimu aliyekaribishwa ni mjamzito, je, haki ya Binadamu iko wapi hususan wajawazito? ni huko Tarime mkoani mara