Domy
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 4,700
- 1,086
Msomi mzima hana akili, naye anasimama kwenye jukwaa tena nyumbani kwao anachochea vijana wake wa kazi kuuwa. Kwa nini hao akina Mbowe hatusikii wakiuawa huko kwao?
Sio bure utakuwa umetumwa na Mwigulu.