Msomi mzima hana akili, naye anasimama kwenye jukwaa tena nyumbani kwao anachochea vijana wake wa kazi kuuwa. Kwa nini hao akina Mbowe hatusikii wakiuawa huko kwao?
ningekuwa mi ndo hakimu,ningetoa hukumu kitila mkumbo apigwe miaka 300 na viboko ishirini,kumi wakati anaingia,kumi wakati anatoka akamwonyeshe mke wake.
Msomi mzima hana akili, naye anasimama kwenye jukwaa tena nyumbani kwao anachochea vijana wake wa kazi kuuwa. Kwa nini hao akina Mbowe hatusikii wakiuawa huko kwao?
Tatizo la kusoma vichwa vya habari vya magazeti bila kufuatilia habari kwa undani matokeo yake unaibuka na hoja kama hizi, ungekuwa wewe ni police nadhani mahabusu zingekuwa zimejaa maana unatoa conclusion na hukumu kabisa pasipofanya uchunguzi
2015 Mwigulu ataikumbuka ajira yake aliyoiacha BOT.
Nani angemuajiri hakimu mpumbavu na mwehu kama wewe?ningekuwa mi ndo hakimu,ningetoa hukumu kitila mkumbo apigwe miaka 300 na viboko ishirini,kumi wakati anaingia,kumi wakati anatoka akamwonyeshe mke wake.
Katika kile kinachoonekana ni vita sasa kati ya serikali na CDM jeshi la polisi nchini limeamua kumfungulia mashtaka mhadhiri wa chuo kikuu cha DSM na mjumbe wa Kamati kuu CDM Dr Kitila Mkumbo kwa kile wanachodai ni uchochezi wake aliofanya siku alipohutubia mkutano katika kata ya Ndago jimbo la Iramba Magharibi.
Wachunguzi wa mambo wanadai mbunge wa jimbo hilo Mwigulu Nchemba ameapa kutumia kila njia kumzuia Dr Kitila Mkumbo asipate nafasi ya kugombea katika jimbo hilo hasa kutokana na kuwa Dr Kitila ni chaguo la wanaIramba wengi na ana heshima kubwa huki kwao hasa kutokana na hekima na busara zake anapozungumza.
Wakati anaapa ulikuwepo?mkumbo ana umaarufu gani hadi mtu aumize kichwa,mweupe sana yule.
wewe ambaye unapatia taarifa zako kwny magazeti ;bona umeshindwa kumshauri huyo kitulo na mnyika wake wasiuwe?kwanini walimkimbiza yohana hadi kwny nyumba ya mwalim na kumuua?nao wanyongwe tu.
Mimi nilikuwepo kwenye mkutano. Dr hakufanya uchochezi wowote.
nikisikia jina la 'Mwigulu' napata kichefuchefu!
Katika kile kinachoonekana ni vita sasa kati ya serikali na CDM jeshi la polisi nchini limeamua kumfungulia mashtaka mhadhiri wa chuo kikuu cha DSM na mjumbe wa Kamati kuu CDM Dr Kitila Mkumbo kwa kile wanachodai ni uchochezi wake aliofanya siku alipohutubia mkutano katika kata ya Ndago jimbo la Iramba Magharibi.
Wachunguzi wa mambo wanadai mbunge wa jimbo hilo Mwigulu Nchemba ameapa kutumia kila njia kumzuia Dr Kitila Mkumbo asipate nafasi ya kugombea katika jimbo hilo hasa kutokana na kuwa Dr Kitila ni chaguo la wanaIramba wengi na ana heshima kubwa huki kwao hasa kutokana na hekima na busara zake anapozungumza.
Source: ITV (Dondoo za gazeti la Nipashe la Ijumaa)
Msomi mzima hana akili, naye anasimama kwenye jukwaa tena nyumbani kwao anachochea vijana wake wa kazi kuuwa. Kwa nini hao akina Mbowe hatusikii wakiuawa huko kwao?
Katika kile kinachoonekana ni vita sasa kati ya serikali na CDM jeshi la polisi nchini limeamua kumfungulia mashtaka mhadhiri wa chuo kikuu cha DSM na mjumbe wa Kamati kuu CDM Dr Kitila Mkumbo kwa kile wanachodai ni uchochezi wake aliofanya siku alipohutubia mkutano katika kata ya Ndago jimbo la Iramba Magharibi.
Wachunguzi wa mambo wanadai mbunge wa jimbo hilo Mwigulu Nchemba ameapa kutumia kila njia kumzuia Dr Kitila Mkumbo asipate nafasi ya kugombea katika jimbo hilo hasa kutokana na kuwa Dr Kitila ni chaguo la wanaIramba wengi na ana heshima kubwa huki kwao hasa kutokana na hekima na busara zake anapozungumza.
Source: ITV (Dondoo za gazeti la Nipashe la Ijumaa)
Katika kile kinachoonekana ni vita sasa kati ya serikali na CDM jeshi la polisi nchini limeamua kumfungulia mashtaka mhadhiri wa chuo kikuu cha DSM na mjumbe wa Kamati kuu CDM Dr Kitila Mkumbo kwa kile wanachodai ni uchochezi wake aliofanya siku alipohutubia mkutano katika kata ya Ndago jimbo la Iramba Magharibi.
Wachunguzi wa mambo wanadai mbunge wa jimbo hilo Mwigulu Nchemba ameapa kutumia kila njia kumzuia Dr Kitila Mkumbo asipate nafasi ya kugombea katika jimbo hilo hasa kutokana na kuwa Dr Kitila ni chaguo la wanaIramba wengi na ana heshima kubwa huki kwao hasa kutokana na hekima na busara zake anapozungumza.
Source: ITV (Dondoo za gazeti la Nipashe la Ijumaa)
nahisi asiye na akili ni wewe unaekurupuka na kuongea usichokielewe,,, Dr Kitila alisimama kuongea wakati vurugu zimeshamalizika, na kauli yake ya kwanza ilikuwa ni kushangaa vurugu hizo kwa kusema wanyiramba hatujawahi kuwa wahuni na kwamba hizi vurugu za leo zimeichafua Iramba...usikurupuke kama umefumaniwa na kuropoka ovyo!!!