John Marwa
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 275
- 28
Sura ya ukabira inatugarimu sana Chadema,lifanyiwe kazi kwanza
Ndugu zangu wana CHADEMA( nasisitiza ni chadema tu) matokeo ya Igunga yamenifanya nije na wazo. Huu si wakati wa sie kutulia na kuacha hili jambo linapita bila kulifanyia kazi.
Kifupi ushauri wangu harakati za chama ziendelee chini ya viongozi hapo wilayani kwa kuimarisha chama kama walivyoshauri watu wengi mikutano mijini na vijijini watu wapewe elimu ya uraia.
Kukubalika kwa CHADEMA kumenistua sana na hili jambo lisiachwe hivi hivi, mwalimu aendelee na mikutano ya kushukuru wananchi na kuendelea kuwapa taarifa wale 22000 na zaidi ambao hawaitaki CCM.
Wana CHADEMA tuwe tayari kusapport juhudi kama hizi. Maeneo mengine wameweza kwa kutumia michango toka kwa wanachama na changizo mbalimbali. Hili linawezekana wana CHADEMA tujitoe hata kwa mali ili ukombozi upatikane.
Naomba kuwasilisha
Account za cdm kulingana na tovuti yake: www.chadema.or.tz
NBC Corporate Branch (Local currency) 011103010075
NBC Samora Branch (Foreign currency) 012105019310
Pia kuna ile ya kutuma neno CHADEMA kwenda 15710 ambayo ni Ths 350/= kwa sms.
Nashauri CDM ifungue pia account katika NMB na CRDB kwani hizo ndio benki wanazomudu walalahoi.
Tumekubaliana wasio na hoja ya msingi hatuwajibu. Hili swala ni muhimu tuko tayari kuchangia. Mimi niko mbali Karagwe vijijini,ukweli elimu ya uraia ni muhimu sana. Fanyafanya tuchangie. Anzisha na tawi hapa JF. Asante nawasilisha.Mie hizo zote nazijua , hizo akaunti hazina kitu hv sasa hela yote iliishia igunga mkuu ! waulizeni watu wa benki hizo watawaambia
Mie hizo zote nazijua , hizo akaunti hazina kitu hv sasa hela yote iliishia igunga mkuu ! waulizeni watu wa benki hizo watawaambia
Account za cdm kulingana na tovuti yake: www.chadema.or.tz
NBC Corporate Branch (Local currency) 011103010075
NBC Samora Branch (Foreign currency) 012105019310
Pia kuna ile ya kutuma neno CHADEMA kwenda 15710 ambayo ni Ths 350/= kwa sms.
Nashauri CDM ifungue pia account katika NMB na CRDB kwani hizo ndio benki wanazomudu walalahoi.
kachicken mbona unaingia bila hodi ?for sure
Ndugu zangu wana CHADEMA( nasisitiza ni chadema tu) matokeo ya Igunga yamenifanya nije na wazo. Huu si wakati wa sie kutulia na kuacha hili jambo linapita bila kulifanyia kazi.
Kifupi ushauri wangu harakati za chama ziendelee chini ya viongozi hapo wilayani kwa kuimarisha chama kama walivyoshauri watu wengi mikutano mijini na vijijini watu wapewe elimu ya uraia.
Kukubalika kwa CHADEMA kumenistua sana na hili jambo lisiachwe hivi hivi, mwalimu aendelee na mikutano ya kushukuru wananchi na kuendelea kuwapa taarifa wale 22000 na zaidi ambao hawaitaki CCM.
Wana CHADEMA tuwe tayari kusapport juhudi kama hizi. Maeneo mengine wameweza kwa kutumia michango toka kwa wanachama na changizo mbalimbali. Hili linawezekana wana CHADEMA tujitoe hata kwa mali ili ukombozi upatikane.
Naomba kuwasilisha
Chadema wote na wanachama wake ni mashoga wote hamna jipya mume wenu ccm.bisha sasa uone!
mtoa uzi kaandika wanacdm tu,kumbe nawewe ni mwanachadema au kama kawaida yako kuchafua hali ya hewa.nipenda hapo kwenye red.Naunga mkono hoja, umesahau kitu kimoja. Kususa kama kawa, mpaka kieleweke!