Bambanza jr.
JF-Expert Member
- Aug 6, 2011
- 355
- 36
Unazaidi ya upeo!
Hivi hatuwezi kumwajiri Mwalimu Kashindye kufanya hii kazi kwa mkoa mzima wa Tabora? Nadhani si ngumu kumlipa japo allowance sawa na ule mshahara na malupulupu aliyokuwa anapata wakati akiwa afisa elimu.
Tujiulizeni jamani mchango wetu ni upi katika ukombozi wa nchi hii? Wenzetu wanatumia matajiri kufadhiri chama lakini cdm haina matajiri hivyo ni sisi walalahoi tutawafadhiri cdm mpaka kieleweke.
Tunaomba viongozi wa cdm watupatie ile namba ya kutuma neno 'CHADEMA' kwenda kwenye short code ya wasp ili tuchangie kwa airtime. Ni pesa ndogo sana lakini kama kila mtu atafanya hivyo mara kwa mara anapo recharge simu yake itasaidia sana kupata kiasi fulani kikatumika kwa ajili ya Elimu ya uraia vijijini.
Atiiii????? bwahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaa:hat:dah!! wazo zuri, mm ningechangia trilion 3 lakini naogopa Mbowe asizifyeke kwenye miradi yake ya mafuso mabovu!!!!!!!!!
HIVI chadema ina wanachama walio hai? ci huwa mnagawa bure kadi za chama chenu? mnaogopa kutengeneza wanachama hai kwa sababu mwanachama hai atadai haki zake katika chama kama vile kugombea uongozi pamoja na kuhoji matumizi ya ruzuku kitu ambacho chadema hamtapenda. tuliona jinsi chacha (RIP) alivyojitutumua kuhoji matumizi ya ruzuku pamoja na kutaka kugombea uwenyekiti mwisho wa siku tuliona alipoishia!
dah!! wazo zuri, mm ningechangia trilion 3 lakini naogopa Mbowe asizifyeke kwenye miradi yake ya mafuso mabovu!!!!!!!!!
itakuwa kosa la jinai kwenda Igunda 2015 Igunga has to remain active area to win in 2015. CCM tumewaazima. Wakati wa kuboresh daftari lazima timu ya ya vijana ya chadema iende Igunga. Pia nashauri ifunguliwe akaunt ya Chama Igunga ili mwalimu afanye kazi hiyo. Wale wanaojitolea kuacha kazi lazima wapewe nafsi ili wengine wasisiite kutuunga mkono tu bali hata kujitoa mhanga kama mwalimu alivyofanya.viongozi wa cdm ni wa sikivu sana naimani haitakuwa mwisho bali utakuwa mwanzo wa mapambano,kwangu huo ni ushindi mkubwa kwa cdm ,tuhamasishane tujiandikishe tupige kura tufanye mageuzi
Hivi kwanini tusifungue tawi hapa kwenye jf?
HIVI chadema ina wanachama walio hai? ci huwa mnagawa bure kadi za chama chenu? mnaogopa kutengeneza wanachama hai kwa sababu mwanachama hai atadai haki zake katika chama kama vile kugombea uongozi pamoja na kuhoji matumizi ya ruzuku kitu ambacho chadema hamtapenda. tuliona jinsi chacha (RIP) alivyojitutumua kuhoji matumizi ya ruzuku pamoja na kutaka kugombea uwenyekiti mwisho wa siku tuliona alipoishia!
hivi hatuwezi kumwajiri mwalimu kashindye kufanya hii kazi kwa mkoa mzima wa tabora? Nadhani si ngumu kumlipa japo allowance sawa na ule mshahara na malupulupu aliyokuwa anapata wakati akiwa afisa elimu.
Tujiulizeni jamani mchango wetu ni upi katika ukombozi wa nchi hii? Wenzetu wanatumia matajiri kufadhiri chama lakini cdm haina matajiri hivyo ni sisi walalahoi tutawafadhiri cdm mpaka kieleweke.
Tunaomba viongozi wa cdm watupatie ile namba ya kutuma neno 'chadema' kwenda kwenye short code ya wasp ili tuchangie kwa airtime. Ni pesa ndogo sana lakini kama kila mtu atafanya hivyo mara kwa mara anapo recharge simu yake itasaidia sana kupata kiasi fulani kikatumika kwa ajili ya elimu ya uraia vijijini.