Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Acha kudanganya watu, wewe mwenyewe unapata support kutoka CDM , vipi ww ukisupport tena?
Hivi kwanini tusifungue tawi hapa kwenye jf?
ndugu zangu wana cdm( nasisitiza ni chadema tu) matokeo ya igunga yamenifanya nije na wazo.Huu si wakati wa sie kutulia na kuacha hili jambo linapita bila kulifanyia kazi.Kifupi ushauri wangu harakati za chama ziendelee chini ya viongozi hapo wilayani kwa kuimarish chama kama walivyoshauri watu wengi mikutano mijini na vijijini watu wapewe elimu ya uraia .kukubalika kwa cdm kumenistua sana na hili jambo lisiachwe hivi hivi.mwalimu aendelee na mikutano ya kushukuru wananchi na kuendelea kuwapa taarifa wale 22000 na zaidi ambao hawaitaki ccm.wana cdm tuwe tayari kusapport juhudi kama hizi. Maeneo mengine wameweza kwa kutumia michango toka kwa wanachama na changizo mbalimbali. Hili linawezekana wana cdm tujitoe hata kwa mali ili ukombozi upatikane naomba kuwasilisha
- mipango yote ni bora iambatane na vitendo itasaidia sana pia huu uzi ukae agalau week moja first pg wengine wauone nadhani wataunga mkono hoja
- tatizo ni nani atakaye kuwa msimamizi mwadilifu, anaye aminika NA kukuballika na CHADEMA JAMII FORUMS
hayo yanawezekana kama harusi tunaweza kuchangia je chama chetu tutashindwa kuchangia? pia tisheti, skafu hata begi zinaweza kutengenezwa tukanunua vitu hivyo kwa mnada ili kuimairisha chama kifedha .nina mawazo mengi lakini sina ukaribu na viongozi wa cdm hivyo wenye kuongea nao tafadhali wapeni mawazo. Hii nchi itakombolewa na wenye uchungu.naunga mikono na miguu!! tena ingetakiwa CDM waanzishe ka mfuko fulani wa kuimarisha chama!! ili watu wenye mapenzi mema na cdm wakiwezeshe ili kiweze kuwafikia watu wa kijijini ili wapate elimu ya uraia.au unaonaje.
Asante leo nimegongelewa like nyingi nashukuru kama na yako ipo.Maeneo ya kuyapa kipaumbele ni yale matokeo ya 2010 yalionyesha tulifanya vizuri tukashindwa kwa kura chache au kwa kuchakachuliwa, huko tupeleke nguvu hadi vijijini.Maeneo korofi yashughulikiwe kwa namna yake yote yanawezekana watu wamechoka na wako tayari kwa mabadilikoNaunga mikono na miguu yote, kwanza hoja yako nimeipa kipaumbele kuliko zote zilizotangulia, pili nimekugongea like, na tatu mimi naanza kwa mfano kwa kuwaelimisha watakao elewa na wale wasio waelewa nitaweka utaratibu wa kununua shahada zao siku chache kabla ya uchaguzi wowote na kuzichoma moto, namshauri Dr aungurumishe chopa tena igunga awaite wananchi wote kwenye mkutano mkubwa zaidi ya ambayo imeshawahi kufanyika ili kuwashukuru wanaigunga na pia kuwatia moyo pamoja na mgombea wao ili wajue kuwa cdm haikuwa kwao kwa ajili ya madaraka au ubunge bali kwa mapenzi ya cdm kwao...kama bajeti ya chopa hamna wana cdm tuko wengi huku jf tunaweza kujichanga na kufanikisha hilo ni mtazamo wangu tuu....nawasilisha
Hivi hatuwezi kumwajiri Mwalimu Kashindye kufanya hii kazi kwa mkoa mzima wa Tabora? Nadhani si ngumu kumlipa japo allowance sawa na ule mshahara na malupulupu aliyokuwa anapata wakati akiwa afisa elimu.
Tujiulizeni jamani mchango wetu ni upi katika ukombozi wa nchi hii? Wenzetu wanatumia matajiri kufadhiri chama lakini cdm haina matajiri hivyo ni sisi walalahoi tutawafadhiri cdm mpaka kieleweke.
Tunaomba viongozi wa cdm watupatie ile namba ya kutuma neno 'CHADEMA' kwenda kwenye short code ya wasp ili tuchangie kwa airtime. Ni pesa ndogo sana lakini kama kila mtu atafanya hivyo mara kwa mara anapo recharge simu yake itasaidia sana kupata kiasi fulani kikatumika kwa ajili ya Elimu ya uraia vijijini.
Hayo mawazo ni mazuri sana, wala hakuna haja ya kuwa na wasiwasi bora kuna watu wameipenda CDM fedha si tatizo Obama wa USA alichukua nchi kwa one dollar campaign. Tunaweza kuanza kuchanga kuanzia sasa tukilenga 2015 bora good accountability and transparency!!!!!!!!!!!ndugu zangu wana cdm( nasisitiza ni chadema tu) matokeo ya igunga yamenifanya nije na wazo.Huu si wakati wa sie kutulia na kuacha hili jambo linapita bila kulifanyia kazi.Kifupi ushauri wangu harakati za chama ziendelee chini ya viongozi hapo wilayani kwa kuimarish chama kama walivyoshauri watu wengi mikutano mijini na vijijini watu wapewe elimu ya uraia .kukubalika kwa cdm kumenistua sana na hili jambo lisiachwe hivi hivi.mwalimu aendelee na mikutano ya kushukuru wananchi na kuendelea kuwapa taarifa wale 22000 na zaidi ambao hawaitaki ccm.wana cdm tuwe tayari kusapport juhudi kama hizi. Maeneo mengine wameweza kwa kutumia michango toka kwa wanachama na changizo mbalimbali. Hili linawezekana wana cdm tujitoe hata kwa mali ili ukombozi upatikane naomba kuwasilisha
Faiza vipi umepotea njia au hila zako tuu!!!!!!!!!!!!Naunga mkono hoja, umesahau kitu kimoja. Kususa kama kawa, mpaka kieleweke!
CHADEMA wenyewe makao makuu wa introduce mtu atakaye coordinate hii mipango ya one dollar campaign kukomboa Tanzania yetu!!!!!!!!!!
- mipango yote ni bora iambatane na vitendo itasaidia sana pia huu uzi ukae agalau week moja first pg wengine wauone nadhani wataunga mkono hoja
- tatizo ni nani atakaye kuwa msimamizi mwadilifu, anaye aminika NA kukuballika na CHADEMA JAMII FORUMS