Account za cdm kulingana na tovuti yake: www.chadema.or.tz
NBC Corporate Branch (Local currency) 011103010075
NBC Samora Branch (Foreign currency) 012105019310
Pia kuna ile ya kutuma neno CHADEMA kwenda 15710 ambayo ni Ths 350/= kwa sms.
Nashauri CDM ifungue pia account katika NMB na CRDB kwani hizo ndio benki wanazomudu walalahoi.
Asante mkuu. Lakini ni muhimu tujuwe kuwa Majamba wananufaika mno na katiba mbovu tuliyonayo. Ni jukumu letu kudai kuandikwa kwa katiba mpya ambayo italeta Tume Huru ya Uchaguzi, Mahakama huru, Bunge huru na uhuru wa vyombo vya habari.