Obe
JF-Expert Member
- Dec 31, 2007
- 9,982
- 34,476
labda kama hujaisoma kwa makini.....ipitie tena utakutana na aya hii
''Ni kweli kwamba yeye si mtumishi wa Serikali, hivyo hakustahili kuwa sehemu ya majadiliano haya. Kulikuwa na rai ya kutaka asiwepo, lakini nilisema wamuache maadam Madaktari wanamuamini kuwa anaweza kuwasemea vizuri zaidi kuliko wao wenyewe walioajiriwa na Serikali.Na, kuhusu mgomo, Mahakama Kuu imekwishatoa amri ya kusitisha mgomo. Anayekaidi amri ya Mahakama ananunua lugomvi na mhimili huo wa dola ambao wenyewe una mamlaka ya kumtia adabu mtu huyo. ''
Hapo palipokolezwa, panajieleza vizuri zaidi, na kumfanya kuwa mtu anayefahamu yote kuhusu Dr Uli.